Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga sio atheist ni non-believer

Wale wajinga eti wanapiga dua mvua inyeshe dar hivi wanajua effect yake?

Mimi niliwaambia wamwambie huyo mufti apige dua ije baridi joto litoke



Sent using unknown device
Mambo ya kiimani inabidi ujitoe ufahamu...

Hawa ndugu zetu wamechagua kutohoji masuala ya imani kwa kuwa wameaminishwa kufanya hivyo ni dhambi....

"Tell people there's an invisible man in the sky who created the universe, and the vast majority will believe you. Tell them the paint is wet, and they have to touch it to be sure."

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mambo ya kiimani inabidi ujitoe ufahamu...

Hawa ndugu zetu wamechagua kutohoji masuala ya imani kwa kuwa wameaminishwa kufanya hivyo ni dhambi....

"Tell people there's an invisible man in the sky who created the universe, and the vast majority will believe you. Tell them the paint is wet, and they have to touch it to be sure."

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaaaa utasikia lazima uwe na roho mtakatifu hivi hivi hauwezi, yaani wanavituko hawa watu

Sent using unknown device
 
Mambo ya kiimani inabidi ujitoe ufahamu...

Hawa ndugu zetu wamechagua kutohoji masuala ya imani kwa kuwa wameaminishwa kufanya hivyo ni dhambi....

"Tell people there's an invisible man in the sky who created the universe, and the vast majority will believe you. Tell them the paint is wet, and they have to touch it to be sure."

Sent using Jamii Forums mobile app
Sote tunaishi kwenye ulimwengu mmoja ila tunatofautiana mitazamo na uelewa wa mambo,kutofautiana huku kunafanya tuwe kama tunaishi dunia tofauti.mfano kuna watu hawaamini uchawi na kusema haupo kabisa ila kuna wengine hushinda kwa waganga kutatua matatizo yao ya kichawi hivyo mtu huyu ukimwambia hakuna uchawi atakushangaa tu. Lakini pamoja na kutofautiana kote huko ila maisha yanaenda kila mtu anaona athari zake wa uelewa na mitazamo yake.
 
Hapo utafurukuta lakini huwezi kujibu hilo swali hata kama unaakili za kuvukia barabara

Sent using unknown device
Kisichokuwepo ni hakipo,hakielezeki,hakihisiki,akijulikani na hakijadiliki.


Sasa kwa nini mnamjadili MUNGU ambaye mnadai hayupo?.

Ila kwa kuwa mnajadili MUNGU, basi mmekubali uwepo wake.

Yaani wewe fanya mbwembwe zako weee,lakini MUNGU ni muumba wa vyote.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom