Ahmet
JF-Expert Member
- Oct 15, 2019
- 1,537
- 3,404
Hivi kwanini Hawa atheists wa JF wamekuwa na uchungu sana pindi mtu unapozungumzia uwepo wa Mungu na jambo jengine linalohusiana na Imani?
Yaani wanautetea huo u-atheism wao kwamba kama hukuufuata basi Kuna adhabu itakukuta. Mambo yamebadilika sasa yaani wao ndio wanaongea Kwa uchungu kuliko watu wenye kuamini Mungu. Tunaoamini uwepo wa Mungu tumetulia tuli na tumeridhika na Imani yetu.
Sasa huwa najiuluza kama wewe huamini Mungu, Wala maisha baada ya kifo, kwanini utumie nguvu kubwa kuwaamisha watu katika hilo. Ni kweli Imani katika Mungu huleta vita, umaskini na Migongani? Hata kama kweli but dunia hii ingekuwa mbaya zaidi bila Imani katika Mungu. Kwasababu hofu ya Mungu Kwa kiasi kikubwa imefanya watu walimit baadhi ya matendo yao.
Si kweli kwamba Imani katika Mungu huleta umaskini. Angalia nchi kama UAE, Qatar, Saudi Arabia na nyengine nyingi asilimia kubwa ya raia wake wanaamini katika Mungu. Hata hizo nchi nyingi ambazo zina atheists wengi, zilipata maendeleo kipindi raia wake wengi walikuwa waamini Mungu, angalia nchi za Ulaya na Amerika.
Angalia hata mabilionea wetu wakina Mo Dewj, Rostam Aziz, Bakhresa na wengine wanaamini katika Mungu. Tajiri namba Moja Afrika ni muumini wa uwepo wa Mungu. Na wamefanikiwa kuliko atheists.
Sasa nini kinawasukuma hawa mabwana kuwa na uchungu sana pindi mtu aletapo habari za Mungu, miujiza na maisha baada ya kifo. Tena wengine hawalali, ni kama marobot, wako active muda wote, ukiandika tu mada kuhusu mambo ya Mungu, basi watakujibu kwa ma-essay marefuu kukupinga.
Kama unaamini hakuna Mungu basi relax kwasababu unaamini hakuna kitakachotokea. Umesha-confirm kile unachokiamini kwanini utake kuwa-drag watu katika msimamo wako.
Kama unahisi kuamini hivyo unavyoamini Kuna faida, basi tumia hiyo fursa wewe, make changes, boresha maisha yako alafu waache wenye kuamini katika tabu zao, na kutapeliwa kwasababu mimi naamini utakuwa na nafasi kubwa ya kufanya makubwa katika group la wajinga wengi kama mnavyosema.
Yaani wanautetea huo u-atheism wao kwamba kama hukuufuata basi Kuna adhabu itakukuta. Mambo yamebadilika sasa yaani wao ndio wanaongea Kwa uchungu kuliko watu wenye kuamini Mungu. Tunaoamini uwepo wa Mungu tumetulia tuli na tumeridhika na Imani yetu.
Sasa huwa najiuluza kama wewe huamini Mungu, Wala maisha baada ya kifo, kwanini utumie nguvu kubwa kuwaamisha watu katika hilo. Ni kweli Imani katika Mungu huleta vita, umaskini na Migongani? Hata kama kweli but dunia hii ingekuwa mbaya zaidi bila Imani katika Mungu. Kwasababu hofu ya Mungu Kwa kiasi kikubwa imefanya watu walimit baadhi ya matendo yao.
Si kweli kwamba Imani katika Mungu huleta umaskini. Angalia nchi kama UAE, Qatar, Saudi Arabia na nyengine nyingi asilimia kubwa ya raia wake wanaamini katika Mungu. Hata hizo nchi nyingi ambazo zina atheists wengi, zilipata maendeleo kipindi raia wake wengi walikuwa waamini Mungu, angalia nchi za Ulaya na Amerika.
Angalia hata mabilionea wetu wakina Mo Dewj, Rostam Aziz, Bakhresa na wengine wanaamini katika Mungu. Tajiri namba Moja Afrika ni muumini wa uwepo wa Mungu. Na wamefanikiwa kuliko atheists.
Sasa nini kinawasukuma hawa mabwana kuwa na uchungu sana pindi mtu aletapo habari za Mungu, miujiza na maisha baada ya kifo. Tena wengine hawalali, ni kama marobot, wako active muda wote, ukiandika tu mada kuhusu mambo ya Mungu, basi watakujibu kwa ma-essay marefuu kukupinga.
Kama unaamini hakuna Mungu basi relax kwasababu unaamini hakuna kitakachotokea. Umesha-confirm kile unachokiamini kwanini utake kuwa-drag watu katika msimamo wako.
Kama unahisi kuamini hivyo unavyoamini Kuna faida, basi tumia hiyo fursa wewe, make changes, boresha maisha yako alafu waache wenye kuamini katika tabu zao, na kutapeliwa kwasababu mimi naamini utakuwa na nafasi kubwa ya kufanya makubwa katika group la wajinga wengi kama mnavyosema.