Atheists wameanza kuwa na uchungu na misimamo yao

Ahmet

JF-Expert Member
Oct 15, 2019
1,537
3,404
Hivi kwanini Hawa atheists wa JF wamekuwa na uchungu sana pindi mtu unapozungumzia uwepo wa Mungu na jambo jengine linalohusiana na Imani?

Yaani wanautetea huo u-atheism wao kwamba kama hukuufuata basi Kuna adhabu itakukuta. Mambo yamebadilika sasa yaani wao ndio wanaongea Kwa uchungu kuliko watu wenye kuamini Mungu. Tunaoamini uwepo wa Mungu tumetulia tuli na tumeridhika na Imani yetu.

Sasa huwa najiuluza kama wewe huamini Mungu, Wala maisha baada ya kifo, kwanini utumie nguvu kubwa kuwaamisha watu katika hilo. Ni kweli Imani katika Mungu huleta vita, umaskini na Migongani? Hata kama kweli but dunia hii ingekuwa mbaya zaidi bila Imani katika Mungu. Kwasababu hofu ya Mungu Kwa kiasi kikubwa imefanya watu walimit baadhi ya matendo yao.

Si kweli kwamba Imani katika Mungu huleta umaskini. Angalia nchi kama UAE, Qatar, Saudi Arabia na nyengine nyingi asilimia kubwa ya raia wake wanaamini katika Mungu. Hata hizo nchi nyingi ambazo zina atheists wengi, zilipata maendeleo kipindi raia wake wengi walikuwa waamini Mungu, angalia nchi za Ulaya na Amerika.

Angalia hata mabilionea wetu wakina Mo Dewj, Rostam Aziz, Bakhresa na wengine wanaamini katika Mungu. Tajiri namba Moja Afrika ni muumini wa uwepo wa Mungu. Na wamefanikiwa kuliko atheists.

Sasa nini kinawasukuma hawa mabwana kuwa na uchungu sana pindi mtu aletapo habari za Mungu, miujiza na maisha baada ya kifo. Tena wengine hawalali, ni kama marobot, wako active muda wote, ukiandika tu mada kuhusu mambo ya Mungu, basi watakujibu kwa ma-essay marefuu kukupinga.

Kama unaamini hakuna Mungu basi relax kwasababu unaamini hakuna kitakachotokea. Umesha-confirm kile unachokiamini kwanini utake kuwa-drag watu katika msimamo wako.

Kama unahisi kuamini hivyo unavyoamini Kuna faida, basi tumia hiyo fursa wewe, make changes, boresha maisha yako alafu waache wenye kuamini katika tabu zao, na kutapeliwa kwasababu mimi naamini utakuwa na nafasi kubwa ya kufanya makubwa katika group la wajinga wengi kama mnavyosema.
 
Hivi kwanini Hawa atheists wa JF wamekuwa na uchungu sana pindi mtu unapozungumzia uwepo wa Mungu na jambo jengine linalohusiana na Imani?

Yaani wanautetea huo u-atheism wao kwamba kama hukuufuata basi Kuna adhabu itakukuta. Mambo yamebadilika sasa yaani wao ndio wanaongea Kwa uchungu kuliko watu wenye kuamini Mungu. Tunaoamini uwepo wa Mungu tumetulia tuli na tumeridhika na Imani yetu.

Sasa huwa najiuluza kama wewe huamini Mungu, Wala maisha baada ya kifo, kwanini utumie nguvu kubwa kuwaamisha watu katika hilo. Ni kweli Imani katika Mungu huleta vita, umaskini na Migongani? Hata kama kweli but dunia hii ingekuwa mbaya zaidi bila Imani katika Mungu. Kwasababu hofu ya Mungu Kwa kiasi kikubwa imefanya watu walimit baadhi ya matendo yao.

Si kweli kwamba Imani katika Mungu huleta umaskini. Angalia nchi kama UAE, Qatar, Saudi Arabia na nyengine nyingi asilimia kubwa ya raia wake wanaamini katika Mungu. Hata hizo nchi nyingi ambazo zina atheists wengi, zilipata maendeleo kipindi raia wake wengi walikuwa waamini Mungu, angalia nchi za Ulaya na Amerika.

Angalia hata mabilionea wetu wakina Mo Dewj, Rostam Aziz, Bakhresa na wengine wanaamini katika Mungu. Tajiri namba Moja Afrika ni muumini wa uwepo wa Mungu. Na wamefanikiwa kuliko atheists.

Sasa nini kinawasukuma hawa mabwana kuwa na uchungu sana pindi mtu aletapo habari za Mungu, miujiza na maisha baada ya kifo. Tena wengine hawalali, ni kama marobot, wako active muda wote, ukiandika tu mada kuhusu mambo ya Mungu, basi watakujibu kwa ma-essay marefuu kukupinga.

Kama unaamini hakuna Mungu basi relax kwasababu unaamini hakuna kitakachotokea. Umesha-confirm kile unachokiamini kwanini utake kuwa-drag watu katika msimamo wako.

Kama unahisi kuamini hivyo unavyoamini Kuna faida, basi tumia hiyo fursa wewe, make changes, boresha maisha yako alafu waache wenye kuamini katika tabu zao, na kutapeliwa kwasababu mimi naamini utakuwa na nafasi kubwa ya kufanya makubwa katika group la wajinga wengi kama mnavyosema.
Inashangaza kwa kweli, kama dini yao ni njema basi badala ya kuponda za wenzao, watoe hoja zenye ushawishi ili watubwafuate, sio unapiga ya wenzio wakati wewe huna cha kusema juu ya dini lako bwana.... Kama huko mnambingu bora tuelezee huenda tukajiunga sio kubisha bisha za wenzio na wewe sio muumini wa Imani yao...

Ila naelewa, shetani yuko kazini kushambulia kanisa... Na madini yote yasio ya kweli kazi yao kuchallange wengine.... Maana kwao ni kuzimu hamna wanalojua juu ya Mbingu ya kweli😁😁
 
Hivi kwanini Hawa atheists wa JF wamekuwa na uchungu sana pindi mtu unapozungumzia uwepo wa Mungu na jambo jengine linalohusiana na Imani?

Yaani wanautetea huo u-atheism wao kwamba kama hukuufuata basi Kuna adhabu itakukuta.

Sasa huwa najiuluza kama wewe huamini Mungu, wala maisha baada ya kifo, kwanini utumie nguvu kubwa kuwaamisha watu katika hilo?

Sasa nini kinawasukuma hawa mabwana kuwa na uchungu sana pindi mtu aletapo habari za Mungu, miujiza na maisha baada ya kifo? Tena wengine hawalali, ni kama marobot, wako active muda wote, ukiandika tu mada kuhusu mambo ya Mungu, basi watakujibu kwa ma-essay marefuu kukupinga.

Kama unaamini hakuna Mungu basi relax kwa sababu unaamini hakuna kitakachotokea. Umesha-confirm kile unachokiamini kwanini utake kuwa-drag watu katika msimamo wako.
Point sana!!!

If God doesn't exist, why even bother about anything at all?

Kiranga
Infropreneur
 
Wala sio uchungu, mkileta mambo ya kusadikika humu lazima watu wahoji!
Vinginevyo andika kwenye ukuta wa choo chako, hakuna mtu atahangaika na wewe!
Hujaelewa swali, Br/Sis. Atheist.

Hoja ni kwamba kama Mungu hayupo, kwa nini hata usukumwe kuhangaikia jambo lolote maishani mwako?

Sisi kwetu, proof namba moja kwamba Mungu yupo ni pale tunapokuoneni mkipigania maisha yenu deile, ili mwendelee kuwa hai.

Vinginevyo, kama mwisho wa siku sote tunakufa na kutoweka for good, kuna haja gani ya kula??? Kwenda hospital kucheck afya??? Kwenda sokoni na kujichagulia maparachichi na matufaha bora ili kudumisha afya mtononoko???

Again, huku kupigania uhai kila siku, ni ushahidi tosha wa wazi kwamba Mungu yupo.

Otherwise, tusingewaona Ma-atheists wowote, maana wangekuwa wamesitisha uhai wao mara tu baada ya kutambua kwamba Mungu hayupo.

Kwa nini hata wawe na huruma??? Upendo??? What is the moral basis for that???
 
Ulitaka usipingwe hata ukileta mavi ndani ya jamii na kuwaaminisha ni wali ? Pumbavu kabisa
Yaani upinge ili iweje??? Kwamba jamii ifaidike ili iweje??? Maana, kwa mujibu wenu, hakuna Mungu, na mwisho wa siku sote tunatoweka -- milele na milele!!!

Fikirieni vizuri, labda hamjawahi kuelewa kisawasawa implications za nadharia yenu potofu ya kutowepo kwa Mungu.

It actually means NOTHING -- ABSOLUTELY NOTHING ELSE -- counts, if God doesn't exist!!!

Kama Mungu hayupo, hakuna sababu yoyote ya kula, kulala, wala kuamka. The only logical thing to do is to die, and cease to exist!!!
 
Yaani upinge ili iweje??? Kwamba jamii ifaidike ili iweje??? Maana hakuna Mungu, na mwisho wa siku sote tunatoweka -- milele na milele!!!

Fikirieni vizuri, labda hamjawahi kuelewa kisawasawa implications za kutowepo kwa Mungu.

It actually means NOTHING -- ABSOLUTELY NOTHING ELSE -- counts, if God doesn't exist!!!

Kama Mungu hayupo, hakuna sababu yoyote ya kula, kulala, wala kuamka. The only logical thing to do is to die, and cease to exist!!!
Ulitaka kusema nini ?
 
Iman ni kutarajia jambo lisilokuepo
Baba na mama yako ni wazazi wako wala huitaji iman kuaminishwa ni wazazi wako
Ila kwann inaitaji imani kuamin Mungu yuko sa km yupo why uniaminishe
 
wa na frustration.
Mungu haitaji kutetewa. Amejitambulisha kwa kila kiumbe. Ndio maana kila mtu huwa anamsukumo wa kutaka kuabudu higher authorities hata kabla hajajua mambo ya Mungu.
Ili uwe atheist inakubidi ujikane nafsi na Mungu ubebe mzigo wa ujinga wako ujifuate.
 
wa na frustration.
Mungu haitaji kutetewa. Amejitambulisha kwa kila kiumbe. Ndio maana kila mtu huwa anamsukumo wa kutaka kuabudu higher authorities hata kabla hajajua mambo ya Mungu.
Ili uwe atheist inakubidi ujikane nafsi na Mungu ubebe mzigo wa ujinga wako ujifuate.
Point hii mzee
 
Hujaelewa swali, Br/Sis. Atheist.

Hoja ni kwamba kama Mungu hayupo, kwa nini hata usukumwe kuhangaikia jambo lolote maishani mwako?

Sisi kwetu, proof namba moja kwamba Mungu yupo ni pale tunapokuoneni mkipigania maisha yenu deile, ili mwendelee kuwa hai.

Vinginevyo, kama mwisho wa siku sote tunakufa na kutoweka for good, kuna haja gani ya kula??? Kwenda hospital kucheck afya??? Kwenda sokoni na kujichagulia maparachichi na matufaha bora ili kudumisha afya mtononoko???

Again, huku kupigania uhai kila siku, ni ushahidi tosha wa wazi kwamba Mungu yupo.

Otherwise, tusingewaona Ma-atheists wowote, maana wangekuwa wamesitisha uhai wao mara tu baada ya kutambua kwamba Mungu hayupo.

Kwa nini hata wawe na huruma??? Upendo??? What is the moral basis for that???
Kwani maisha hayawezi kwenda bila Mungu?

Bakteria na Fungus Wana muhitaji Mungu kwa lipi?

Lengo kuu la maisha ni nini?

Kwa nini viumbe viliendelea kuishi kuishi kwa takribani 3.5 billion?

Kulikuwa na Mungu?

Kuna Miungu zaidi ya 5,000 duniani iliyoundwa na Mwanadamu ila usijari wako ndio sahihi
 
Hivi kati ya sisi Atheists na nyie wafia dini, Nani ana ongoza kuandika nyuzi za Mungu?

Wafia dini nyie kila kukicha ni kuanzisha nyuzi mara kuokoka, mara kupokea upako, mara kufunguliwa, mara kusilimu, mara kumjua Yesu, mara kumjua Allah!!! n.k

Ninyi ndio wajinga mnao lazimisha imani zenu na Dini zenu za huyo Mungu zifuatwe na kila mtu.

Ndio maana kutwa kucha threads za Udini haziishi hapa JF, Mara uislamu ni dini ya kweli kuliko ukristo, mara ukristo ndio njia ya kweli..!!!

Ninyi wafia dini ndio hamjielewi na dini zenu hizo, mmepumbazwa na kuwa Brainwashed.

Mko Mentaly enslaved na dini zenu.

Atheists, we are very intelligent and free thinkers.
 
Kwani ni sentient beings?
Unafahamu baadhi ya bakteria ni unicellular? Sawasawa na seli za ngozi yako?

Je zinahitaji Mungu ili kujiendesha na kuzaliana?
Nani kasema Bacteria na fungus sio sentient beings?!

Simply ni kwamba huna elimu juu ya namna wanavyo communicate,.. basi hizo nyingine ni opinions zako tu na sio 100% facts.

Maana hata seli za ngozi yako tafiti za kisayansi zinaonyesha zina namna ya kuwasiliana vizuri tu..,

Hivyo basi usiwasemee Bakteria, fungus wala seli za ngozi yako Kwa kuwa huwezi kuchukua maoni toka kwao,. Kwa kuwa huwezi kuwasiliana nao utaishia kutupa informations kuhusu wao ambazo hazina ukweli.

So, itabidi uulize Bakteria, fungus na seli za ngozi yako kama zinahitaji Mungu ili kujiendesha na kuzaliana? Kama huwezi kuwauliza na kutuletea majibu toka kwao basi kuwa mpole tu mkuu.
 
Hivi kwanini Hawa atheists wa JF wamekuwa na uchungu sana pindi mtu unapozungumzia uwepo wa Mungu na jambo jengine linalohusiana na Imani?

Yaani wanautetea huo u-atheism wao kwamba kama hukuufuata basi Kuna adhabu itakukuta. Mambo yamebadilika sasa yaani wao ndio wanaongea Kwa uchungu kuliko watu wenye kuamini Mungu. Tunaoamini uwepo wa Mungu tumetulia tuli na tumeridhika na Imani yetu.

Sasa huwa najiuluza kama wewe huamini Mungu, Wala maisha baada ya kifo, kwanini utumie nguvu kubwa kuwaamisha watu katika hilo. Ni kweli Imani katika Mungu huleta vita, umaskini na Migongani? Hata kama kweli but dunia hii ingekuwa mbaya zaidi bila Imani katika Mungu. Kwasababu hofu ya Mungu Kwa kiasi kikubwa imefanya watu walimit baadhi ya matendo yao.

Si kweli kwamba Imani katika Mungu huleta umaskini. Angalia nchi kama UAE, Qatar, Saudi Arabia na nyengine nyingi asilimia kubwa ya raia wake wanaamini katika Mungu. Hata hizo nchi nyingi ambazo zina atheists wengi, zilipata maendeleo kipindi raia wake wengi walikuwa waamini Mungu, angalia nchi za Ulaya na Amerika.

Angalia hata mabilionea wetu wakina Mo Dewj, Rostam Aziz, Bakhresa na wengine wanaamini katika Mungu. Tajiri namba Moja Afrika ni muumini wa uwepo wa Mungu. Na wamefanikiwa kuliko atheists.

Sasa nini kinawasukuma hawa mabwana kuwa na uchungu sana pindi mtu aletapo habari za Mungu, miujiza na maisha baada ya kifo. Tena wengine hawalali, ni kama marobot, wako active muda wote, ukiandika tu mada kuhusu mambo ya Mungu, basi watakujibu kwa ma-essay marefuu kukupinga.

Kama unaamini hakuna Mungu basi relax kwasababu unaamini hakuna kitakachotokea. Umesha-confirm kile unachokiamini kwanini utake kuwa-drag watu katika msimamo wako.

Kama unahisi kuamini hivyo unavyoamini Kuna faida, basi tumia hiyo fursa wewe, make changes, boresha maisha yako alafu waache wenye kuamini katika tabu zao, na kutapeliwa kwasababu mimi naamini utakuwa na nafasi kubwa ya kufanya makubwa katika group la wajinga wengi kama mnavyosema.
Na wewe unayeamini uwepo wa mungu just relax, usitumie nguvu kubwa kuwaaminisha watu juu ya mungu wako unayemwabudu.
 
Hujaelewa swali, Br/Sis. Atheist.

Hoja ni kwamba kama Mungu hayupo, kwa nini hata usukumwe kuhangaikia jambo lolote maishani mwako?

Sisi kwetu, proof namba moja kwamba Mungu yupo ni pale tunapokuoneni mkipigania maisha yenu deile, ili mwendelee kuwa hai.

Vinginevyo, kama mwisho wa siku sote tunakufa na kutoweka for good, kuna haja gani ya kula??? Kwenda hospital kucheck afya??? Kwenda sokoni na kujichagulia maparachichi na matufaha bora ili kudumisha afya mtononoko???

Again, huku kupigania uhai kila siku, ni ushahidi tosha wa wazi kwamba Mungu yupo.

Otherwise, tusingewaona Ma-atheists wowote, maana wangekuwa wamesitisha uhai wao mara tu baada ya kutambua kwamba Mungu hayupo.

Kwa nini hata wawe na huruma??? Upendo??? What is the moral basis for that???
Duuh umeishia darasa la ngapi
 
Back
Top Bottom