Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 52,858
- 131,512
Nawewe fanya mbwembwe zako zote ila jua tayari ushakubali kua elisha ni mume wakoKisichokuwepo ni hakipo,hakielezeki,hakihisiki,akijulikani na hakijadiliki.
Sasa kwa nini mnamjadili MUNGU ambaye mnadai hayupo?.
Ila kwa kuwa mnajadili MUNGU, basi mmekubali uwepo wake.
Yaani wewe fanya mbwembwe zako weee,lakini MUNGU ni muumba wa vyote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using unknown device