Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga sio atheist ni non-believer

"Tumekadili mara zote hizo kwa sababu hutaki kukubali kwamba unaamini usichojua.



Ndiyo maana huwezi juthibitisha Mungu yupo."


Wewe ndio uliyoniambia mimi naamini nisichokijua na ndiyo maana siwezi kuthibitisha Mungu yupo,kwa maana mie naamini Mungu hali ya kuwa simjui na ndio maana siwezi kuthibitisha kama yupo.

Sasa wewe unayesema Mungu hayupo unamjua huyo Mungu? Kama humjui basi unapinga usichokijua.
Najua Mungu ni hadithi ya uongo iliyotungwa na watu.

Ndiyo maana wewe huwezi kuthibitisha yupo.

Kama unabisha, thibitisha Mungu yupo.
 
Unajua kuwa Hujitambui ?
Hujajibu niliyokuuliza na kama kuna ulichojibu sijakuuliza hicho.

Unaelewa "akili yako haina akili" ni contradiction?

Ukibadikiaha Allah iwe Mungu, shahada inasema "Hakuna Mungu ila Mungu".

Which is nonsense.

Because it is a logical tautology.
 
Najua Mungu ni hadithi ya uongo iliyotungwa na watu.

Ndiyo maana wewe huwezi kuthibitisha yupo.

Kama unabisha, thibitisha Mungu yupo.
Mimi sijakuuliza mambo ya hadithi hapa bali nimekuuliza unamjua Mungu? Ulivyoniambia naamini kitu nisichokijua ulikuwa na maana naamini hadithi au naamini hadithi ya uongo?

Mimi nabisha dai lako la kuwa hakuna Mungu,je unaweza kuelezea ni vp umeweza kujua hakuna Mungu kwa kutumia hiyo contradiction ?
 
Mimi sijakuuliza mambo ya hadithi hapa bali nimekuuliza unamjua Mungu? Ulivyoniambia naamini kitu nisichokijua ulikuwa na maana naamini hadithi au naamini hadithi ya uongo?

Mimi nabisha dai lako la kuwa hakuna Mungu,je unaweza kuelezea ni vp umeweza kujua hakuna Mungu kwa kutumia hiyo contradiction ?
Nikueleze mara ngapi?

Unajua kusoma?
 
Nikueleze mara ngapi?

Unajua kusoma?
Nisingejua kusoma nisingeweza kujua kuwa katika maelezo yako unayoeleza hakuna ulipoeleza ni vp umeweza kujua hakuna Mungu,kama unabisha eleza ni vp umeweza kujua hakuna Mungu kwa kutumia contradiction.
 
Nisingejua kusoma nisingeweza kujua kuwa katika maelezo yako unayoeleza hakuna ulipoeleza ni vp umeweza kujua hakuna Mungu,kama unabisha eleza ni vp umeweza kujua hakuna Mungu kwa kutumia contradiction.

Utaelewaje hayo kama hata jambo lenye contradiction maana yake ni nini?
 
Ndio umeandika sasa? Unapiga vyombo ni nini maana umeshanichimba hadi mikwara ya kunitukana matusi ya nguoni bila sababu.
Learn to deal with him... Usikubali akutoe kwenye reli... Ni silaha yake muhimu kwake unapombana kwenye hoja jadidi....
 
Yaani ukimchukua Kiranga na mbwa. Mwenye thamani apo ni mbwa Huyo mwengine hana thamani kabisa.

Yaaani unamfananisha mshana na huyu mkosefu.


Mku huyu kiumbe kapewa macho, masikio, Akili lakini kashindwa kutanabai uwepo wa muumba.

Anashindwa kuelewa kuwa yeye katokana na maji dhaifu kabisa tena yenye kuchupa, akakalishwa kwenye tumbo la mama yake na siku ya kutoka akatoka kupitia sehemu za siri zinazofichwa kwa nguvu zote.

Huyu mtu hata neema ya pumzi hajaiyona na bado anaitumia kupoteza watu hapa kwa ubishi wake.

Na akiendelea hivyoo atayazomba mazambi ya kuwapoteza watu na yake na mafikio yatakuwa ni motonii.

Wewe unamsifia mshana wakati huo Mshana ni mtu wa jehanam

Anafundisha watu uchawi au ww hujui kama uchawi ni dhambi?

"Wakayafata yale walioyafata mashetani wakidai yalikuwa ktk ufalme wa sulemani na hakukufuru sulemani wamekufuru mashetani wakiwafundisha watu uchawi waliokuwa wakiujua wao wenyewe tokea zamani na uchawi ulioteremshwa na malaika wawili haruta na maruta katika mji wa babeli" quran al-baqra 102

Mashetani wanawafundisha watu uchawi ili wapate kumuasi mungu

Hatuwezi jua kama Mshana anatumiwa na LUSIFA AU ndio BELZEBUL mwenyewe kuwafundisha watu uchawi


"YA AYUHAL NNASU KULUU MIMMAA FIL ARDHWI HALALA TWAYIBBAN WALA TATTABIHU KHUDHUWATI SHAYTWANI INNAHU LAKUMU ADUUWIN MUNIIN" Al baqra 168

"Enyi watu kuleni vilivyomo ktk ardhi halali na vizuri wala msifuate nyayo za shetani hakika yeye ni adui yenu aliye dhahiri

Kwa mujibu wa qurani shetani ni adui wa watu sasa ww unamsifia mtu anayefundisha watu uchawi hivi kweli ww unaijua quran kweli au ndio muislam jina?
 
Ndio umeandika sasa? Unapiga vyombo ni nini maana umeshanichimba hadi mikwara ya kunitukana matusi ya nguoni bila sababu.
You are an imbecile. An idiot.

That is why you can't even establish the basic tenets of logical cinstructs such as contradiction.

Freakin nincompoop.
 
You are an imbecile. An idiot.

That is why you can't even establish the basic tenets of logical cinstructs such as contradiction.

Freakin nincompoop.
Wewe uongea utakavyo ila mie nataka ueleze tu umewezaje kujua hakuna Mungu kupitia hiyo contradiction? Basi ni hivyo tu.
 
Wewe unamsifia mshana wakati huo Mshana ni mtu wa jehanam

Anafundisha watu uchawi au ww hujui kama uchawi ni dhambi?

"Wakayafata yale walioyafata mashetani wakidai yalikuwa ktk ufalme wa sulemani na hakukufuru sulemani wamekufuru mashetani wakiwafundisha watu uchawi waliokuwa wakiujua wao wenyewe tokea zamani na uchawi ulioteremshwa na malaika wawili haruta na maruta katika mji wa babeli" quran al-baqra 102

Mashetani wanawafundisha watu uchawi ili wapate kumuasi mungu

Hatuwezi jua kama Mshana anatumiwa na LUSIFA AU ndio BELZEBUL mwenyewe kuwafundisha watu uchawi


"YA AYUHAL NNASU KULUU MIMMAA FIL ARDHWI HALALA TWAYIBBAN WALA TATTABIHU KHUDHUWATI SHAYTWANI INNAHU LAKUMU ADUUWIN MUNIIN" Al baqra 168

"Enyi watu kuleni vilivyomo ktk ardhi halali na vizuri wala msifuate nyayo za shetani hakika yeye ni adui yenu aliye dhahiri

Kwa mujibu wa qurani shetani ni adui wa watu sasa ww unamsifia mtu anayefundisha watu uchawi hivi kweli ww unaijua quran kweli au ndio muislam jina?
[emoji23][emoji23][emoji23]matendo ya Mungu si ya mwanadamu. .. Angalia.... Usihukumu usije ukahukumiwa...... Ya kaisari mpe kaisari na ya Mungu mpe Mungu
 
Wewe uongea utakavyo ila mie nataka ueleze tu umewezaje kujua hakuna Mungu kupitia hiyo contradiction? Basi ni hivyo tu.
Contradiction ni nini?

Nikikueleza habari za contradiction wakati hujui hata definition ya contradiction, utazielewaje?
 
Contradiction ni nini?

Nikikueleza habari za contradiction wakati hujui hata definition ya contradiction, utazielewaje?
Contradiction haiwezi kuwa nna maana moja kwa watu wote.

Wewe unaweza kuwa na maana yako na mwingine anaweza kuwa na maana yake.

Sasa wewe unataka kuaminisha watu kwamba maana utakayoitoa wewe ndo iwe hiyo dunia nzima?

Haya tuambie maana ya contradiction hapa..
 
Learn to deal with him... Usikubali akutoe kwenye reli... Ni silaha yake muhimu kwake unapombana kwenye hoja jadidi....
Reli iko wapi hapa?

Mtu anayejitoa kwenye reli yeye mwenyewe kwa kusema hajui jambo lililo na contradiction likoje, mimi nitamtoaje kwenye reli?

Hata reli ataijuaje iko wapi kama hajui contradiction ni nini?
 
Reli iko wapi hapa?

Mtu anayejitoa kwenye reli yeye mwenyewe kwa kusema hajui jambo lililo na contradiction likoje, mimi nitamtoaje kwenye reli?

Hata reli ataijuaje iko wapi kama hajui contradiction ni nini?
Reli ni huu mjadala mpya unaotaka kuanzisha hapa
 
Reli ni huu mjadala mpya unaotaka kuanzisha hapa
Mjadala mpya upi?

Na kumtoa katika reli ni kumtoa wapi? Kwenye mjadala mpya ninaotaka kuanzisha?

Nitamtoaje kwenye mjadala mpya ninaotaka kuanzisha kabla sijauanzisha?
 
Mjadala mpya upi?

Na kumtoa katika reli ni kumtoa wapi? Kwenye mjadala mpya ninaotaka kuanzisha?

Nitamtoaje kwenye mjadala mpya ninaotaka kuanzisha kabla sijauanzisha?
@kiranga unafilisika sasa.... Hata wale team kiranga wakiona maswali kama haya aibu wataona wao
 
@kiranga unafilisika sasa.... Hata wale team kiranga wakiona maswali kama haya aibu wataona wao
I'm bouncing off of this joint.

There is no debate worth having if people can't even read with comprehension.

You don't have to be concerned about seeing me here.

Peace.
 
Back
Top Bottom