Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga sio atheist ni non-believer

UTHIBITISHO WA UWEPO WA MUNGU.
Mungu yupo kwa wanaoamini. Wewe kama huna hiyo IMANI, siyo rahisi kuuona uwepo wake [hapa hatuna deni](period)

Wanaoabudu ng'ombe na wanyama wengine, wanakiona wanachokiabudu. Nenda ukawaulize ni kwa jinsi gani 'huyo' wanayemwabudu anajibu 'maombi' yao! Kisha omba uthibitisho. Ukipewa uthibitisho wa jinsi wanavyojibiwa 'maombi' yao (nje ya imani) karibu tena mezani tujadili.

Unajua Simba ni mnyama wa porini ambae ni hatari sana. Eagle ni ndege mkubwa mwenye nguvu na vipawa vya pekee miongopi mwa viumbe vya jamii yake. Ukitaka kuwapambanisha fahari hawa wawili ili umpate 'A stand-out winner' kati yao (to be fair) utalazimika utafute 'fair ground' kwaajili ya 'Pambano'...usimpeleke Simba angani akapambane na Eagle, atapigwa, kwasababu mazingira siyo rafiki kwake (fairly). Usimpeleke Eagle porini akapigane na Simba, atachakazwa vibaya mno, kwasababu mazingira siyo rafiki kwake (fairly). Swali ni mazingira gani yatakua 'fair ground' kwa miamba hii miaili kupambana ili mshindi apatikane fairly?!

Now, kwakua wewe bwana #Kiranga ni (Simba) na watu wanoamini uwepo wa Mungu ( Mi ntawaita Eagle, for the sake of this case) ili watu wa kiroho/kiimani (spiritual folks) waweze kukuelezea wewe uwepo aa Mungu, naomba utafute 'fair ground' ya discussion(pambano) ili mshindi apatikane on a fair basis! Ukwel usipingika ni kwamba #Kiranga you're not spiritual, why are you demanding the proof of a Spiritual feature (God)?! Be fair, mtu wa kiroho aki claim uwepo wa Mungu, assume kwamba haongei na wewe because you aren't into their profile! And apparently, they may not be into your profile either!

EXTRA
Kwavile CONTRADICTIONS ndizo zinakufanya u question uwepo wa Mungu, na unaamini pia kua Uwepo wa Mungu upo tu by CONTRADICTION, kwa kutumia maswali haya hapa chini naomba uondoe contradictions unazoziona kwenye holly books ulizozipitia...

1. Assuming umepewa nafasi ya kumchagua your 'Ideal God'...angekua na sifa gani?!

2. Assuming wewe ni Engineer mkuu na CEO wa kampuni kubwa inayomiliki viwanda vya utengenezaj wa robots na kuuza robots hapa duniani, what will be the essential features of your creation.
(essential feature of God's creation is a 'will'-your will which place at hand even the ability of choosing against God who gave u the will-Mungu hakutaka uwe robot-hakutaka aku programme ili uishi (kwa lazma) in accordance with His will.
Mungu yupo kwa wanaoamini, lakini kwa wasioamini hayupo?
 
Mkuu AKILI ZAKO HAZINA AKILI.

We utafuti unachikitaka bali unatafuta ubishani usioo na tija na wewe huwezi kufaulu na hii kutokana na unavyojiona kuwa kichwa wakati ndani yake hakuna kitu.

Unaelewa "akili zako hazina akili" ni contradiction?

Unelewa kuniita Mkuu na hap hapo kuniambia akili zangu hazina akili ni contradition?

Unaelewa kwamba kukubali kwamba kuna Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote aliyeumba mtu mwenye akili zizizo na akili ni contradition?

Unaelewa contradiction ni nini?
 
Mkuu umesoma sarufi (matumizi ya Lugha) ?
Siyo sarufi tu, na unyambuzi wake, nimesoma grammar na rhetoric.

Unataka tuanzishe mjadala wa grammar na rhetoric hapa?

Unaelewa "logical consistency" ni nini?
 
Wala sina nia hiyo kabisa.

Nafikirisha tu.

Tatizo, kufikirisha panzi na nyungunyungu tabu.

I see, nakumbuka kujadili nawe mada ya Mungu miaka kumi iliyopita. Umeshakua mbobezi na wafuasi tupo kiaina. Binti zangu hunibana kwenye mambo ya dini na masuala ya uwepo wa Mungu kwa kunijia na hoja kama zako.
 
I see, nakumbuka kujadili nawe mada ya Mungu miaka kumi iliyopita. Umeshakua mbobezi na wafuasi tupo kiaina. Binti zangu hunibana kwenye mambo ya dini na masuala ya uwepo wa Mungu kwa kunijia na hoja kama zako.
Binti zako ndiyo future ya dunia hii, na wanauliza maswali muhimu.

Nashukuru kwamba, kwa mijadala yangu hapa, tyliweza kujitayarisha, angalau kwa miaka kumi iliyopita, kujua maswali haya yatajibiwa vipi.

Tatizo ninaloliina hapa JF, kwa kiasi kikubwa, ni kwamba, hata maswali hayaeleweki.

Sasa nitapataje majibu, ikiwa hata maswali hayaeleweki?

Nauliza, kama ulimwengu umeumbwa na Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, kweli, kwa nini Mungu kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana, wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?

Halafu, mtu anakujibu, anakwambia Mungu hakutaka kuumba ulimwengu wenye mabaya.

Ni sisi watu tu tumekataa matakwa yake, na tumemfuata shetani, ndiyo maana ulimwengu una mabaya.

Huyu mtu anaonekana hata swali lenyewe hajalielewa.

Na kwa hivyo, hawezi kulijibu.
 
Mungu yupo kwa wanaoamini, lakini kwa wasioamini hayupo?
Mimi bado sijakiona ambacho hakieleweki kwenye nilichokiandika hapo awali. Watu walio katika ulimwengu wa kiroho wanajua Mungu yupo [kwasababu, katika imani: Mungu hana physical suit (a body) Mungu ni spirit]. Kwahiyo, ukitaka kumtoa kutoka katika spiritual world ili aje kijidhihirisha kwenye physical world (hususan kwa non-spiritual being kama wewe) haiwezekani!
Mazungumzo ya believer na non believer juu ya uwepo wa Mungu ni equivalent to mazungumzo ya kipofu na bubu (asiesikia wala kuongea kwa maneno)
 
Nisichokijua ni nini?

Na unajuaje unachosema sikijui, ni kweli kipo na sikujui, kwa sababu ya mapungufu yangu tu, na si kwamba hakipo na siwezi kukijua, kwa sababu hakipo ili kijulikane.

Unaweza kuthibitisha unachosema sikijui kipo at all?

Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?

Hakuna mmoja wa wanaosema Mungu yupo aliyeweza kuthibitisha Mungu yupo.

Kwa nini?

Nikikwambia ni kwa sababu Mungu hayupo, utajibu vipi?

Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?
"Tumekadili mara zote hizo kwa sababu hutaki kukubali kwamba unaamini usichojua.



Ndiyo maana huwezi juthibitisha Mungu yupo."


Wewe ndio uliyoniambia mimi naamini nisichokijua na ndiyo maana siwezi kuthibitisha Mungu yupo,kwa maana mie naamini Mungu hali ya kuwa simjui na ndio maana siwezi kuthibitisha kama yupo.

Sasa wewe unayesema Mungu hayupo unamjua huyo Mungu? Kama humjui basi unapinga usichokijua.
 
Kama kweli ww muislam kwanini unazidi kumpoteza mwenzio Mshana maana unamsifia kwa ujinga wakati ataingia Jehanam KHALIDIINA FIHA ABADA ameshakuwa addicted na uchawi

Huoni hiyo jehanam unayoitaja mwenzako ndio inamngoja kwanini usimshauri halafu unamuona Kiranga ndio ataingia jehanam wakati Kiranga yupo ktk haki ya kutaka kujua habari za kweli

Unajua uchawi kauleta nani?
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mbavu zangu eeeh... What a beautiful Saturday morning....
 
Binti zako ndiyo future ya dunia hii, na wanauliza maswali muhimu.

Nashukuru kwamba, kwa mijadala yangu hapa, tyliweza kujitayarisha, angalau kwa miaka kumi iliyopita, kujua maswali haya yatajibiwa vipi.

Tatizo ninaloliina hapa JF, kwa kiasi kikubwa, ni kwamba, hata maswali hayaeleweki.

Sasa nitapataje majibu, ikiwa hata maswali hayaeleweki?

Nauliza, kama ulimwengu umeumbwa na Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, kweli, kwa nini Mungu kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana, wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?

Halafu, mtu anakujibu, anakwambia Mungu hakutaka kuumba ulimwengu wenye mabaya.

Ni sisi watu tu tumekataa matakwa yake, na tumemfuata shetani, ndiyo maana ulimwengu una mabaya.

Huyu mtu anaonekana hata swali lenyewe hajalielewa.

Na kwa hivyo, hawezi kulijibu.
Huyo unayemuuliza maswali yeye ni nani na wewe ni nani? Wote mmezaliwa na kukuta watu wanaoamini Mungu na wanaoamini hakuna Mungu,na wengi mmekulia katika familia zenye kuamini Mungu kwa maana mlikuwa mkiamini Mungu.

Sasa hao watu unaosema wanashindwa kujibu maswali ndio walianzisha kusema kuna Mungu? Vp wewe unayesema hakuna Mungu lakini hadi sasa umeshindwa kueleza ni vp hakuna Mungu na ndiyo maana unakimbilia kusema watu hawawezi kuthibitisha Mungu yupo.
 
Huyo unayemuuliza maswali yeye ni nani na wewe ni nani? Wote mmezaliwa na kukuta watu wanaoamini Mungu na wanaoamini hakuna Mungu,na wengi mmekulia katika familia zenye kuamini Mungu kwa maana mlikuwa mkiamini Mungu.

Sasa hao watu unaosema wanashindwa kujibu maswali ndio walianzisha kusema kuna Mungu? Vp wewe unayesema hakuna Mungu lakini hadi sasa umeshindwa kueleza ni vp hakuna Mungu na ndiyo maana unakimbilia kusema watu hawawezi kuthibitisha Mungu yupo.

Hapa hata pointi yako sijaipata kwa kweli.

Unaweza kunipa msingi wa unachoandika?

Maana umeanza kwa kuniuliza ninayemuuliza mswali ni nani na mimi ni nani, swali halijikiti kwenye hoja, linajikita kwenye watu.

Hili ni swali la kutaka mimba kwa punyeto.

Mpaka hapo nimekuona hujui hata pa kuelekea.
 
Hapa hata pointi yako sijaipata kwa kweli.

Unaweza kunipa msingi wa unachoandika?

Maana umeanza kwa kuniuliza ninayemuuliza mswali ni nani na mimi ni nani, swali halijikiti kwenye hoja, linajikita kwenye watu.

Hili ni swali la kutaka mimba kwa punyeto.

Mpaka hapo nimekuona hujui hata pa kuelekea.
Ni wewe ndiye basi ulikuwa unajadili watu kwa kuanza kuzungumzia watu kuwa wanashindwa kujibu maswali yako,ina maana ni suala la msingi sana hilo kwa hao watu kushindwa kujibu maswali yako unaowauliza.

Ndio maana nikakuuliza hao watu kwani ni nani (hadi uzungumzie kushindwa kwao kujibu maswali yako?) Na wewe ni nani?
 
Ni wewe ndiye basi ulikuwa unajadili baada ya kusema watu wanashindwa kujibu maswali yako,ina maana ni suala la msingi sana hilo kwa hao watu kushindwa kujibu maswali yako unaowauliza.

Ndio maana nikakuuliza hao watu kwani ni nani (hadi uzungumzie kushindwa kwao kujibu maswali yako?) Na wewe ni nani?
Mpaka hapo ushatoka kwenye swali, umeangalia watu wanaolijibu.

Unapiga punyeto.

Halafu unategemea mimba.
 
Mpaka hapo ushatoka kwenye swali, umeangalia watu.

Unapiga punyeto.

Halafu unategemea mimba.
Ni wewe ndiyo unayezungumzia watu ndiyo maana unasema watu wameshindwa kujibu maswali,kama hao watu kushindwa kujibu maswali lisingekuwa suala la muhimu kwako basi usingezungumzia kuhusu watu kushindwa kujibu maswali yako.
 
Siyo sarufi tu, na unyambuzi wake, nimesoma grammar na rhetoric.

Unataka tuanzishe mjadala wa grammar na rhetoric hapa?

Unaelewa "logical consistency" ni nini?
Mi sina kwambia wewe hata kiswahili hukijui.. Kwanza tazama unavyoharibu kiswahili !
 
Unaelewa "akili zako hazina akili" ni contradiction?

Unelewa kuniita Mkuu na hap hapo kuniambia akili zangu hazina akili ni contradition?

Unaelewa kwamba kukubali kwamba kuna Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote aliyeumba mtu mwenye akili zizizo na akili ni contradition?

Unaelewa contradiction ni nini?
Unajua kuwa Hujitambui ?
 
Mimi bado sijakiona ambacho hakieleweki kwenye nilichokiandika hapo awali. Watu walio katika ulimwengu wa kiroho wanajua Mungu yupo [kwasababu, katika imani: Mungu hana physical suit (a body) Mungu ni spirit]. Kwahiyo, ukitaka kumtoa kutoka katika spiritual world ili aje kijidhihirisha kwenye physical world (hususan kwa non-spiritual being kama wewe) haiwezekani!
Mazungumzo ya believer na non believer juu ya uwepo wa Mungu ni equivalent to mazungumzo ya kipofu na bubu (asiesikia wala kuongea kwa maneno)
Unaweza kuthibitusha roho ipo kweli na si uongo mwingine tu?
 
Back
Top Bottom