Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga sio atheist ni non-believer

Hiyo ni gia ya kuondoka kwa sababu huwezi kuthibitisha unayoandika tu.

Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na uoendo wote hayupo.

Ulimwengu huu tulio nao, kwa kuweza kuwa na mabaya, unakanusha kuwepo kwake huyo Mungu.

Unaelewa hilo?
Yaani mi nankubali Sana'a muumba Wa mbingu na Ardhi. Siwezi kukimbia katika njia ya mwenyezi mungu.

Tatizo wewe umekwenda kusoma hali ya kuwa tayari una mawazo ya utofauti ndani ya hicho kitabu so hapa utatumia nguvu nyingi kuleta utofauti.
 
Hiyo ni gia ya kuondoka kwa sababu huwezi kuthibitisha unayoandika tu.

Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na uoendo wote hayupo.

Ulimwengu huu tulio nao, kwa kuweza kuwa na mabaya, unakanusha kuwepo kwake huyo Mungu.

Unaelewa hilo?
We umebainishiwa wema na mabaya. Ukifanya mabaya utalipwa ukifanya mema utalipwa. Yaani mkuu lazima ulipwee kwq matendo yako yote
 
Yupi ? Umejuaje ? Naweza kuonana naye ?
Yule aliekuumba wewe na akili zako hizo.

Nimemjua kutokana na ishara zake alizosambamba ulimwengu mzima


Uwezi kuonana nae kwa mwenendo wako huo. Ila juwa kuwa waja wema watamuona muumba siku ya Kiyama live ni tukio adhwim sana.
 
We umebainishiwa wema na mabaya. Ukifanya mabaya utalipwa ukifanya mema utalipwa. Yaani mkuu lazima ulipwee kwq matendo yako yote
Kwa nini Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na uoendo wote hakuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani kufanyika?

Alishindwa kuumba hivyo?
 
Yule aliekuumba wewe na akili zako hizo.

Nimemjua kutokana na ishara zake alizosambamba ulimwengu mzima


Uwezi kuonana nae kwa mwenendo wako huo. Ila juwa kuwa waja wema watamuona muumba siku ya Kiyama live ni tukio adhwim sana.
Ishara gani?
 
Kwa nini Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na uoendo wote hakuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani kufanyika?

Alishindwa kuumba hivyo?
Tambua kuwa Mabaya hayatokani na Mungu. Yanatokana na sisi Fuji zetu. We umeumbwa umuabudu yeye tu na wala usimshirikishe basi.. Haya mabaya unayoyaona ni zao la ushetani
 
Tambua kuwa Mabaya hayatokani na Mungu. Yanatokana na sisi Fuji zetu. We umeumbwa umuabudu yeye tu na wala usimshirikishe basi.. Haya mabaya unayoyaona ni zao la ushetani
Unaelewa kwamba hata hujaelewa swali nililouliza, na hivyo hujaweza kulijibu.

Umejibu kitu tofauti kabisa.

Unaelewa hilo?
 
Ishara gani?
Ishara ya kuumbwa mbingu na Ardhi.


Ishara ya kuumba viumbe vyote unaovyovijua na usivyo vijua.


Ishara ya kuunganisha bahari ya maji chumvi na ya maji matamu pasipo kuchanganyika.


Ishara ya kuumba jua na mwezi vikipiga kazii kwa ajili yetu sisi.


Ishara ni nyingi na mtengenezaji ni mmoja huyo ndiyo mungu muumba Wa vyote, chochote unachokiona asili yake ni yeye.


Yatazame maji unayokunywa mkuu na tazama yalivyo muhimu katika mwili wako .
 
Habari za Allah kuwa Mungu ni uongo.

Ndiyo maana nimeweka contradictions zaidi ya mia za kutoka katika Quran, hapa JF, na hakuna aliyezijibu.

Na wewe huwezi kuzijibu.
Kaka mimi ni shabiki wa uwezo wako wa akili na elimu ulonayo (kutoka kwenye hoja zako na uwezo wa kuchanganua mambo humu JF!). Nakiri!

Mimi ni 'Small Thinker'. And I am proud of it! Mimi ni Muislam. And I am proud of it. At times hua naziona hizi 'you so-call contradictions' kwenye vitabu vitakatifu. (Kwa hekima alonipa Mungu, ambae wewe huamini uwepo wake!) nimeamua kuichukua dini kama Lifetyle yngu).
Km hutojali, na ww tafuta imani yako (yoyote ile, be it paganism, etc!). Ifanye iwe dini itakayo shape your Lifestyle.
#Ghandi #Luther #Dr Hellen (Sabath) #Muhammad (May P.B.U.H) walizitafuta zao, zikawavutiwa watu, watu wakazifuata. Na ww tafuta yako.
 
Kaka mimi ni shabiki wa uwezo wako wa akili na elimu ulonayo (kutoka kwenye hoja zako na uwezo wa kuchanganua mambo humu JF!). Nakiri!

Mimi ni 'Small Thinker'. And I am proud of it! Mimi ni Muislam. And I am proud of it. At times hua naziona hizi 'you so-call contradictions' kwenye vitabu vitakatifu. (Kwa hekima alonipa Mungu, ambae wewe huamini uwepo wake!) nimeamua kuichukua dini kama Lifetyle yngu).
Km hutojali, na ww tafuta imani yako (yoyote ile, be it paganism, etc!). Ifanye iwe dini itakayo shape your Lifestyle.
#Ghandi #Luther #Dr Hellen (Sabath) #Muhammad (May P.B.U.H) walizitafuta zao, zikawavutiwa watu, watu wakazifuata. Na ww tafuta yako.
Kwanza kabisa, nataka ksema kwamba, mimi sina nia ya ku bughudhi watu wanaoamini Mungu, wanaoamini dini.

Nina kawaida ya kuandika vitu kwa nuance, kama huelewi, kunichanganya ni rahisi sana.

Narudia, sina tatizo na wanaoamini dini, wanaoamini Mungu.

Naelewa imani ni jambo la faragha, ni jambo la uamuzi wa mtu binafsi.

Na zaidi, nikiona watu wanaoamini Mungu na dini wanaonewa, wananyimwa haki yao hiyo ya kimsingi, nitawatetea.

Nitawatetea hata kwenye jambo nisilokubaliana nao, kuhusu wai kuabudu Mungu anbaye sikubali yupo. Kwa sababu kwangu mimi, uhuru wa kuabudu kwa watu wote ni kitu cha msingi kuliko kama wanachoabudu ni kweli au si kweli.

Hivi karibuni rais Kagame wa Rawanda alisema atapiga marufuku makanisa ywenye wachungaji wasio na degree. Nilishutumu kauli ile kwamba inaingikia uhuru wa kuabudu, na watu wanatakiwa wawe na uhuru wa kuabudu kanisa lolote wanalitaka bila vikwazo.

Ungawa sikubali Mungu yupo, natetea uhuru wa juabudu wa watu wanaoamini Mungu yupo.

Mimi napenda uhuru wa kuabudu. Katiba ya Tan,ania inatoa uhuru huu.

Naoenda sana "The Universal Declaration of Human Rights" iliyopitishwa December 10 1948. Hii ni document ya UN inayotoa uhuru wa juabudu, iki nradi watu wasiingikie uhuru wa wengine na kuvunja sheria.

Kwa hiyo, nataka nikuhakikishie, sinatatizo na mtu anayesema ana imani fulani.

Nina tatizo na mtu anayesema anajua ukweli huyo Mungu wake yupo.

Huyu sasa anakuwa kajitoa katika imani, kajiingiza katika fact.

Na akishajiingiza katika fact tu, kanipa ruhusa kumuhoji.

Kwa hiyo ukiniambia niamini ninavyotaka, mimi sitaki kuamini vyovyote, nataka kujua.

Na ukiniambia nikuache unavyoamini, watu wanaoamini sijawahi kutaka kuwagusa, nawagusa wanaosema wanajua Mungu yupo.

Ukisema unaamini tu, that is not so special kwangu. Unaruhusiwa kuamini chochote.

Ukisema unajua Mungu yupo kweli, hapo nakuomba uthibitisho.
 
Kwa nini Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na uoendo wote hakuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani kufanyika?

Alishindwa kuumba hivyo?
Boss, kwani mabaya ni mambo gani kwa mtazamo wako?!

Kwa sababu, unaloliona baya, huenda ni jema lisilo na faida kwako ila likawa na faida kwingine. Hivyo, kusema jambo ni baya ni very relative.

Ni vyema tukajadiliana kwamba haya mabaya ni mabaya kwa kipimo gani?!
 
Kwanza kabisa, nataka ksema kwamba, mimi sina nia ya ku bughudhi watu wanaoamini Mungu, wanaoamini dini.

Nina kawaida ya kuandika vitu kwa nuance, kama huelewi, kunichanganya ni rahisi sana.

Narudia, sina tatizo na wanaoamini dini, wanaoamini Mungu.

Naelewa imani ni jambo la faragha, ni jambo la uamuzi wa mtu binafsi.

Na zaidi, nikiona watu wanaoamini Mungu na dini wanaonewa, wananyimwa haki yao hiyo ya kimsingi, nitawatetea.

Nitawatetea hata kwenye jambo nisilokubaliana nao, kuhusu wai kuabudu Mungu anbaye sikubali yupo. Kwa sababu kwangu mimi, uhuru wa kuabudu kwa watu wote ni kitu cha msingi kuliko kama wanachoabudu ni kweli au si kweli.

Hivi karibuni rais Kagame wa Rawanda alisema atapiga marufuku makanisa ywenye wachungaji wasio na degree. Nilishutumu kauli ile kwamba inaingikia uhuru wa kuabudu, na watu wanatakiwa wawe na uhuru wa kuabudu kanisa lolote wanalitaka bila vikwazo.

Ungawa sikubali Mungu yupo, natetea uhuru wa juabudu wa watu wanaoamini Mungu yupo.

Mimi napenda uhuru wa kuabudu. Katiba ya Tan,ania inatoa uhuru huu.

Naoenda sana "The Universal Declaration of Human Rights" iliyopitishwa December 10 1948. Hii ni document ya UN inayotoa uhuru wa juabudu, iki nradi watu wasiingikie uhuru wa wengine na kuvunja sheria.

Kwa hiyo, nataka nikuhakikishie, sinatatizo na mtu anayesema ana imani fulani.

Nina tatizo na mtu anayesema anajua ukweli huyo Mungu wake yupo.

Huyu sasa anakuwa kajitoa katika imani, kajiingiza katika fact.

Na akishajiingiza katika fact tu, kanipa ruhusa kumuhoji.

Kwa hiyo ukiniambia niamini ninavyotaka, mimi sitaki kuamini vyovyote, nataka kujua.

Na ukiniambia nikuache unavyoamini, watu wanaoamini sijawahi kutaka kuwagusa, nawagusa wanaosema wanajua Mungu yupo.

Ukisema unaamini tu, that is not so special kwangu. Unaruhusiwa kuamini chochote.

Ukisema unajua Mungu yupo kweli, hapo nakuomba uthibitisho.
Kuna mtu anaamini Mungu ila anajua ukweli hayupo?
 
Boss, kwani mabaya ni mambo gani kwa mtazamo wako?!

Kwa sababu, unaloliona baya, huenda ni jema lisilo na faida kwako ila likawa na faida kwingine. Hivyo, kusema jambo ni baya ni very relative.

Ni vyema tukajadiliana kwamba haya mabaya ni mabaya kwa kipimo gani?!
Sawa. Naomba nijibu maswali yangu tuelewane.

Wewe unakubali Mungu yupo?
 
Unaweza kunipa mfano wa mtu yeyote anayeamini na kujua chochote kwa wakati mmoja?

Mimi hapa huyo mtu naamini Mungu na najua Mungu yupo.

Mtu anayeamini kitu halafu hakijua maana yake huyo mtu anaamini kitu asichokijua.
 
Mimi hapa huyo mtu naamini Mungu na najua Mungu yupo.

Mtu anayeamini kitu halafu hakijua maana yake huyo mtu anaamini kitu asichokijua.
Wewe hujui kuamini ni nini, wala kujua ni nini.

Unawayawaya na kutapatapa tu.
 
Back
Top Bottom