Kipondo havi kwa shemeji....

Asee Paw pamoja na kusoma kwa woga woga hii post yako (haikawii kuwa ya kumpa mtu ban) unamaanisha kuwa anyefanya izo mambo ni kaka yako au ndugu wa damu? hebu fanya mpango bana umtoe huko kuzimu shemeji yako na hatakusau!
Shemeji ambaye ni ndugu wa nanihii wangu.
Naamini kwamba mwanaume anayeinua mkono kumpiga mkewe AMEKOSA HOJA mbele ya hoja za mkewe.
Jamii kuhamasika kupinga hivi vitendo ni muhimu
 
je huwa unawatembelea mara kwa mara??
je walishawahi kukuhusisha katika magomvi mengine??
wewe maelewano yako na shemejio yakoje???

nilishamtembelea mara mbili tu na zote sikuwahi kumkuta mumewe mana wao wapo dom na mm naishi dar na kingine huyo jamaa anamaelewano na ndugu wachache sana
 
Shemeji ambaye ni ndugu wa nanihii wangu.
Naamini kwamba mwanaume anayeinua mkono kumpiga mkewe AMEKOSA HOJA mbele ya hoja za mkewe.
Jamii kuhamasika kupinga hivi vitendo ni muhimu

This is surefire to induce one of those trademarked,uncontrollably intense orgasms.

Before you foam at the mouth with vengeful rage, take a deep breath and say wuuuuusaaaa....then count 1,2,3,4,5,6,7,8,9,....then take another deep breath. You should now be okay because after-all, this is meant to be a jokey joke!
 
nilishamtembelea mara mbili tu na zote sikuwahi kumkuta mumewe mana wao wapo dom na mm naishi dar na kingine huyo jamaa anamaelewano na ndugu wachache sana

nadhani pia hapa ni tatizo

kwenye ndoa mara nyingi wana ndoa hupenda kutoa CV za ndugu zao kwa wenza wao kwa mabaya au mazuri kwa hiyo hata unapotembelewa tayari mwenza wako anakuchukulia kama ulivyo au alivyoelezwa ..
 
Swali la msingi ambalo nadhani kijana mpiga mume wa dada yako na baba wa hao wanaokuita mjomba,hiyo ni ndoa ya Kikristu au Kiislamu? Ole uniambie ni ndoa ya Kikristu utakiona cha moto. Swali la nyongeza, ulishawahi kumwuliza dada yako akakuambia siri ya yeye kuendelea kuwepo na mumewe licha ya vipigo?
 

hapo red ni kweli wana namna
zao za kuwapiga, na hata kama
ana matatizo yake utaona
anaanza kujirekebisha.
 
unahitaji pongezi-watu jamii hiyo hayo ndio malipo yao-naami atakapo pona ndipo atakapo behave vizuri nakuishi vyema na wife wake nakuheshimu kila mtu
 

Ahaaaaaaaaaaaaaaaa


ndio maana na wewe unatoa ban namna ile, unajua nilikua najiuliza huyu PAW katoka wapi na ana genes gani katili hivi... kumbe iko kwenye blood!!!

Nampa pole sana shem wako na membaz wote uliowalamba ban
 

Yaani wewe una akili, sijui uko wapi nikunulie kinywaji ukipendacho...
 
Ahaaaaaaaaaaaaaaaa


ndio maana na wewe unatoa ban namna ile, unajua nilikua najiuliza huyu PAW katoka wapi na ana genes gani katili hivi... kumbe iko kwenye blood!!!

Nampa pole sana shem wako na membaz wote uliowalamba ban

MTN umeona eeh? Yani huyu kaiweka siku yangu fresh sijui nimtafute wapi nimpe kinywaji...BTW WEWE JAMBO?
 
Ahaaaaaaaaaaaaaaaa


ndio maana na wewe unatoa ban namna ile, unajua nilikua najiuliza huyu PAW katoka wapi na ana genes gani katili hivi... kumbe iko kwenye blood!!!

Nampa pole sana shem wako na membaz wote uliowalamba ban
Shemeji na mumewe siyo ndugu zangu wa damu mkuu.
Mimi ni mtiifu wa taratibu, kanuni na sheria zilizopo.
Tukirejea kwenye mada, ni wazi wanandoa wengi wanahitaji clinic za ndoa zao ili waweze kuenenda na dhana nzima ya mke na mume ama sivyo kila siku tutakuwa tunapata masimulizi yanayofanana hasa ya kuumizana na kusalitiana. This must stop iwapo wahanga watakubali kufunguka na kuzungumza ili wapate msaada.
Jamii inapaswa pia kuwasaidia wahanga hasa akina mama ambao hawana sauti wala majukwaa ya kusemea masaibu yao.

Kuhusu Ukatili:
Sidhani kama Invisible na team yake walikuwa wanasaka jitu moja katili kwa kazi ya kuwa moderator, Bali uwezo wa kupambanua, kuchuja na kufanya maamuzi sahihi kwa mujibu wa kanuni na taratibu za JF.
 
mkwe my son akikupiga,aisee nitakuja tumchangie kumdunda hadi akome! kama amekushindwa hata kama kosa lako si akurudishe kwenu,ebooo! halafu na yeye namchukua home namtandika viboko manake hajakua. mwanaume muoga na dhaifu ndo anampiga mkewe. halafu anategemea heshimiwe na kupendwa na mkewe!
 
Kingasti tatizo wengi huwa hawasemi, laiti kama zingekusanywa data za kweli ni wanawake wangapi ambao wako kwenye ndoa na hawajawahi kunyanyuliwa hata mkono na waume zao ungeshangaa majibu ambayo ungesikia.

 
Safi kabisa, kuna mijitu inajifanyaga miungu mtu
 
ooppss, usije nipa ban bure, ngoja nisepe kimyakimya
 

Sasa wewe umemsaidiaje huyo mama?
 
Reactions: Paw

aisee mkwe ngoja nikuandalie kitenge cha batiki. Lol.
Wanaume wa hivyo ni wavivu wa kufikiri kabisa. Mi najiuliza hadi kipindi cha uchumba alikuwa anamdunda au?
 
kweli umenena ukidai kitu huku unalegeza saut kamwe hupati. Aidha dada yangu mara ya mwisho aliponea amana hosp. baada mlugaruga kupiga ile mbaya hom tukamweleza kuwa tumekuonya ukaona tuna haribu basi linywe we ci alichomoka mwenyewe maana watu tumesusa hatuna muda wa kufatilia warugaruga
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…