Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,043
- 2,000
Nipokea msg.Dia habari za masiku,mbona kimya sana atuwasiliani,Je unayo nafasi nikuone.? I miss u
mwambie tutaonana baada ya hz sikukuu kupita.
Nipokea msg.Dia habari za masiku,mbona kimya sana atuwasiliani,Je unayo nafasi nikuone.? I miss u
dia kuna mtindo flani ntaka nisuke afu bei rahisi ni sh laki moja tu frm Mwajuma ndala ndefu.
Mimi nina bahati sijapata sms yo yote !!!
una bahati mbaya.
Fafanuwa pls,.......!!!una bahati mbaya.
Ur so funny,
Fafanuwa pls,.......!!!
"Dear Kodi ya pango inaisha tarehe 11-January 2012, na halafu mwenye nyumba ameongeza kodi.." I Love You..
"Baby Xmass itakuwaje? Nataka nikafanye shopping Mariedo, na pia nataka kwenda kusuka ILALA, naomba 500,000" XOXO
"Mpenzi sasa "Kova" utamdanganya vipi kuhusu ile safari yetu ya Zanzibar on New year Eve?" Missing You badly..
"Sweetie naomba uniongezee 600,000 niweze kumalizia school fees ya mdogo wangu kule Kantalamba.." Kiss & Hug...
"Mama na wadogo zangu watakuwepo wakati wa sikukuu hizi kwahiyo naomba hela ya shopping ya chakula my love.."..Bye
"Sweetheart nimeishiwa naomba pesa ya mafuta kama 200,000 ukiweza pliz..." Chat later baby..