Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 47,182
- 32,660
Wewe unaambiwa mtaani kuna chizi halafu unatembea huku ukiwa umefumba macho?
Dawa ya chizi si kumpuuza inakuaje chizi anakutoa povu hivyo leo utasema yote.
Wewe unaambiwa mtaani kuna chizi halafu unatembea huku ukiwa umefumba macho?
Sawa, Nyerere sio Mungu wala malaika. Huyo mzee Mohamed Said kashadadia tu ubaya wa mwalimu, aseme basi na mabaya ya hao akina Abdul Sykes, Aziz Dosa na Hamza Mwapachu. Hakuna balance kwenye hizo tathmini zake. Radio ina wajibu wa kuongea vitu vya kuwaunganisha watanzania, sio kuwaeleza vitu visivyo na tija kama hivi. Ni aibu sana kwa mzee kama huyu kushadadia mijadala ya vijiweni
humu JF si huwa anakimbia hoja kumbuka kuna thread kamkimbia Nguruvi3 baaada ya kushushiwa nondo nzito.. Na hao radio imaan mbna huwa hawa' balance hoja zao kwa kuita watu wa upande mwingine wao kila siku wanaita watu wasiompenda Nyerere kama mohamed said, sheikh mohamed issa na sheikh ponda?
ingekuwa wakristo wanafanya hizi ungesikia mijitu inaandamana na kuuwa watu
Iko Msikitini....ni maombi kwa kwenda mbele,hii Redio ingekuwa ya Kikristo..........any way Wakristo hatuna huo ujingaPia wanasema shule za wakristo mfano Itaga seminary, Marian girls huwa zinapendelewa na NECTA.
Jamni ni chuki over chuki.
Serkali mko wapi kuwachia waganga njaa kama hawa.
Huyu hakika sio mzima anasema itikadi ya kiislamu ndio iliyoleta uhuru.. Huyu mzee ni hopeless ngoja nizime radio
endelea kuotaInshaAllah sharia ipo karibu
Tatizo lililopo ni wengi wenu kumuona Nyerere kama ni Mungu au Malaika kuwa yeye hakuweza kufanya makosa. Lakin katika moja ya hotba zake aliwahi kukiri hadharani kuwa katika uongozi wake aliweza kufanya makosa ya kibin'Adam na kuomba radhi kwayo.
Lazima mjua siku zote UKWELI unasimama hivyo ni vibaya kumsingizia mtu ima awe hai au maiti. LAKIN ni vizuri atajwe kwa swifa zake au matendo yake alofanya duniyani iwe mazuri au mabaya.
Sasa msichukia akitajwa kwa mabaya kwani ni funzo kwa wengine kujisahihisha kwayo. Kwani MS alichosema kipo katika kitabu chake (ameweka katika fasihi andishi) hivyo dahal na dahal watapita na kusoma na kugundua ukweli upo wapi.
Narudi pale pale kusema NYERERE SI MUNGU WALA MALAIKA
tatizo watu wengi humu jf wanabwabwaja bila kutoa hoja za kupinga kinachoongelea.
Inakuaje mtu awe mdini kwa kusema ukweli?
Kama anachosema ni uongo hao wanaoujua ukweli mbona wapo kimya?
Angalia kichwa cha habari kinahusu nini?
lakin ukweli lazima usemwe hata kama kuna watu utawaudhi na kuwakera.
Pole sana. Tumwache MS amwage data.
Mohamed Said anawadanganya ninyi mliokuwa wavivu wa kufuatilia historia ya nchi hii. Wakati tunaelekea kuadhimisha miaka 50 ya uhuru alikuja hapa JF na propaganda zake za udini tukampiga maswali hadi akakimbia.
Tafuta thread yake ya harakati za waislamu na uhuru wa Tanganyika, pia tafuta thread ya Mag3 inayokanusha upotoshaji wa Mohamed Said uone alivyoshindwa kujibu hoja za msingi akaishiwa kucopy na kupaste majarida na machapisho yake ya chuki dhidi ya Nyerere na Ukristo hasa Ukatoliki.
Barubaru,WC,
Usiseme hivyo kwani naweza kupa mifano hai na wewe mwenyewe ukaona wazi kuwa alikuwa mbaguzi wa Rangi.
Mfano. Kumbuka kuwa katika Tanzania kuna watu wa rangi tofauti yaani kuna wahindi, waarabu, wazungu na watu weusi lakin wote ni watanzania.
Kumbuka na watu hao bila kujali rangi zao walipelekwa JKT mwaka mmoja mara walipokuwa wanamaliza Form six au vyuo kwa mujibu wa Sharia.
Suala langu Je umewahi kumuona Mhindi au Mwarabu kuwa katika vyombo vyenu vya ulinzi kama Jeshi, polisi, magereza n.k
Kumbuka Kwenye chombo cha kutunga Sharia yaani Bungeni wapo tena wametokana na kuchaguliwa na wananchi. Je unajuwa kwanini? au mtu akilisemea hilo kuwa amemsingizia?
Kumbuka kuwa NYERERE SI MUNGU WALA MALAIKA
Tolerance yenu iko ZERO na MUNGU angekuwa Muislam angekuwa ameshatuteketeza tusio waislam. Kuna filamu nyingi saaaana zinazomkashifu/zinazomtusi YESU KRISTO lakini kwa vile tumezipuuzia zimekufa natural death. Tunafanya hivi simply because MUNGU wetu yu hai na kama jambo limemuudhi, then ata-act accordingly. Angalia reaction yenu kwa 'Innocence of Muslim' imefanya mamilioni ya watu (including me) tuitafute na kui-watch. Nimeshaitazama mara mbili na kuisambaza kwa baadhi ya rafiki zangu kama 25.
Muongozwe na hekima na uvumilivu ndugu zangu.
Dawa ya chizi si kumpuuza inakuaje chizi anakutoa povu hivyo leo utasema yote.