Kipindi cha kumbukumbu ya Mwl Nyerere; mgeni Mohamed Said - Radio Imaan

Status
Not open for further replies.
acha ujinga we pwagu! Hili sio jukwaa lenu la Mapenzi bali humu tunajadili mstakabali wa taifa letu pamoja na kuelezana ukweli mchungu´

idiot.

sasa we kilichokutuma usikilize hiyo redio ni nini kama huwezi kuvumilia wanayoyasema?.
TENA UCHUNGE ADABU YAKO NIKIAMUA KUKUTUKANA hautanisahau.
 
radio imani ebu kaa chini muangalie swala lenu la udini ni radio ambayo ni miongoni mwa radio ambazo zina mvuto mdogo zaidi kuliko radio zote hapa nchini na ni kijiredio chenye vipindi vya uchochezi tu,nashauri hivi tuweni wastaarabu kama wakristo kwani ni watu wanaojua dini ni nini,wana busara zaidi,wana hekma zaidi,sio kwamba fujo hawawezi bali wanatanguliza busara ikipindukia basi wanaweza kuingia mtaani nakufanya wanaloweza.naiomba radio hii zungumzieni mambo ya mungu zaidi na kuitangaza dini ya kiislam ili iweze kupiga hatua.wenzetu wanabuni miradi na taasis zao zinakua kila kukicha na maendeleo yao yanatisha.sie tupo kurumbana tu je,tutafika kweli waislam.wabillah taqfiq.
 
No evidance no right to speak ni hivi mkubwa TAA ilianzishwa 1929 chini ya abdul sykes na dosa aziz wakati huo nyerere ana miaka 7 mwaka 1953 abdul sykes alitumwa UNO kudai uhuru akanyimwa kwa kua yeye ni muislamu waingereza wakamwambia watafute mkristo halafu watafute na chama kingine ndio watapewa uhuru ndio wazee wakamtafuta nyerere toka shule ya pugu na chama kikabadilika jina ndio ikazaliwa tanu na badae ccm na hadi uhuru.
KWANINI WAISLAMU WANALALAMIKA.
wanachodai waislamu ni hoja za msingi wanaomba wakae meza moja na wakristo wawaonyesha ushahidi lakini wakristo hawataki kujua yaliyopo nyuma ya pazia mfano soma kitabu cha HISTORIA YA JIMBO KUU DSM ukr 52 msikiti ulivunjwa likajengwa kanisa halafu uk 163 siasa ya ujama na kujitegemea ilipotokea.halafu soma na uk 185.soma ukr 26 mkwawa alinyongwa wala hakujiua nadhani umepata mwanga kidogo.
 
Kama kichwa cha habari kina husika muda huu kipindi cha kidokezo radio imaana ndio kimeanza na mwana JF Mohamed Said ndio mgeni rasmi akichambua historia ya wagombea uhuru

Ameanza kuzungumzia wanaharakati wa kiislamu kina skyes na wenzake kutokuwepo kwenye historia ya wagombea uhuru na badala yake Nyerere amehodhi historia yote na kikubwa anachosema hawakuwekwa kwenye historia kwasababu wao ni waislamu na Nyerere ni mkatoliki

.
Kuna mtu humu jamvini mwenya signature ''Wasio soma ni chakula cha wasomi''
.
 
Last edited by a moderator:
radio imani ebu kaa chini muangalie swala lenu la udini ni radio ambayo ni miongoni mwa radio ambazo zina mvuto mdogo zaidi kuliko radio zote hapa nchini na ni kijiredio chenye vipindi vya uchochezi tu,nashauri hivi tuweni wastaarabu kama wakristo kwani ni watu wanaojua dini ni nini,wana busara zaidi,wana hekma zaidi,sio kwamba fujo hawawezi bali wanatanguliza busara ikipindukia basi wanaweza kuingia mtaani nakufanya wanaloweza.naiomba radio hii zungumzieni mambo ya mungu zaidi na kuitangaza dini ya kiislam ili iweze kupiga hatua.wenzetu wanabuni miradi na taasis zao zinakua kila kukicha na maendeleo yao yanatisha.sie tupo kurumbana tu je,tutafika kweli waislam.wabillah taqfiq.

isingekua na mvuto ungejadili redio WAPO. Na sio redio imani.
 
radio imani ebu kaa chini muangalie swala lenu la udini ni radio ambayo ni miongoni mwa radio ambazo zina mvuto mdogo zaidi kuliko radio zote hapa nchini na ni kijiredio chenye vipindi vya uchochezi tu,nashauri hivi tuweni wastaarabu kama wakristo kwani ni watu wanaojua dini ni nini,wana busara zaidi,wana hekma zaidi,sio kwamba fujo hawawezi bali wanatanguliza busara ikipindukia basi wanaweza kuingia mtaani nakufanya wanaloweza.naiomba radio hii zungumzieni mambo ya mungu zaidi na kuitangaza dini ya kiislam ili iweze kupiga hatua.wenzetu wanabuni miradi na taasis zao zinakua kila kukicha na maendeleo yao yanatisha.sie tupo kurumbana tu je,tutafika kweli waislam.wabillah taqfiq.

isingekua na mvuto ungejadili redio WAPO. Na sio redio imani.
 
No evidance no right to speak ni hivi mkubwa TAA ilianzishwa 1929 chini ya abdul sykes na dosa aziz
Hivi kumbe kuna watu bado wanaendelea kusoma na kusikiliza hizo porojo za huyo mpuuzi na mchochezi wa kidini anayejiita Mohamed Said, duh! Sasa wewe buraro, hiyo TAA kiongozi wake wa kwanza aliitwa nani maana hao unaowataja walikuwa tu maruga ruga wake...kwa nini mnamruhusu huyo Mohamed Said anaendelea kuwajaza umbea na ujinga?
 
Last edited by a moderator:
naomba hiyo filamu uniambie uliipataje au unipe jina lake. hata mimi nataka niione!
 
Kwa waliosoma historia angalau kwa level ya shahada anajua ktk historia lazima kuwe na noble heroes na commoners. Noble hero alikuwa Nyerere, wengine walisaidia kumkuza. Jamani kusoma kunasaidia sana!
 
Eti muasisi wa TANU Nyerere! kumbe hata jina la TANU lilitungwa na Sykes.

Nyerere alivyokuja Dar. alikaribishwa na kuwa mgeni nyumbani kwa kina Sykes, waasisi wa TAA na TANU.
 
hivi chuo kikuu cha kiislamu moro (MUM) sijasikia hata wamefungua kijitawi sehemu nyingine. au kimewashinda. waende SAUT wakajifunze namna ya kupanua chuo chao
 
nimawazo yake huyo mwanahakati lakini akumbuke kuwa hata libya gadafi ndio yupo kwenye kumbukumbu za mapinduzi aliyofanya wengine hatuwajui atuambie napia atuambia alioshirikiana na kenyata ni akina nani? Na historia inawakumbuka?
hii ni tabia ya wasingiziaji. Shida zote watasingizia hata mfadhili wao. Ila sijawahi kusikia hawa wanaodai walileta uhuru wakiwalaumu wakoloni waliowaDumaza kwa karne nyingi. Ila ni maprofessa wa kusingizia wakristo ndo waliwaDumaza. Mwarabu kaingia hapa karne ya 8 kama kungekuwa na la maana basi hata mzungu asijeingia hapa. Waswahili wa pwani walidumazwa na ilimu ahera ambayo haijawaletea ufumbuzi wa maisha yao hapa duniani. Wazungu walipokuja walimix ilimu ahera na ilimu duniani. Hata mfanyeje mmufkue mwalimu bado matatizo yatabaki kuanzia kwenu wenyewe. Someni quran surat 3: 82
 
sasa we kilichokutuma usikilize hiyo redio ni nini kama huwezi kuvumilia wanayoyasema?.
TENA UCHUNGE ADABU YAKO NIKIAMUA KUKUTUKANA hautanisahau.
kwanini waislamu wasijenge vyuo na shule nyingi ili kuelimisha waumini wao kuliko kulalamika muda wote wanaonewa.wakristo wamejenga ndio maana wako kimya wanafikiria maendeleo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom