kuna wakiristo wanapiga simu redio imani wanasema wanaomba wao wasichanganywe na wakatoliki maana kuna wakatoliki na wakiristo wengine wanasema wakatoliki ndio wanamiliki serikali na wengine ndio wanaumia kwa hio wanakubalali kuwa kanisa katoliki ndilo linatesa waisilamu hilo wanalikubali
Kipindi cha mkapa ilikuwepo na haikufungiwa,inshu hapa vitu wanavyoongea kwenye hii radio vinaushahidi ndio maana wanashindwa kuifungia
kuna wakiristo wanapiga simu redio imani wanasema wanaomba wao wasichanganywe na wakatoliki maana kuna wakatoliki na wakiristo wengine wanasema wakatoliki ndio wanamiliki serikali na wengine ndio wanaumia kwa hio wanakubalali kuwa kanisa katoliki ndilo linatesa waisilamu hilo wanalikubali
Kipindi cha mkapa ilikuwepo na haikufungiwa,inshu hapa vitu wanavyoongea kwenye hii radio vinaushahidi ndio maana wanashindwa kuifungia
kipiindi kimeanza live wanaanza kumchambua mwalim nyerere
kuna wakiristo wanapiga simu redio imani wanasema wanaomba wao wasichanganywe na wakatoliki maana kuna wakatoliki na wakiristo wengine wanasema wakatoliki ndio wanamiliki serikali na wengine ndio wanaumia kwa hio wanakubalali kuwa kanisa katoliki ndilo linatesa waisilamu hilo wanalikubali
Mimi hapa hata siipati.nawashangaa tu mnavyokoromeana.
Kuna uhuru wa maoni,hao imani wanao uhuru wa maoni.kama wanachosema kinawaume si unaipotezea.kwanini ujenge chuki kama kwamba unalazimishwa kusikiliza.
Nyerere(RIP)hakua mungu wala mtume.iweje leo watu wanapomsema na pengine na ushahidi juu wewe uanze kudhihaki dini ya mwenzako?.
Halafu bado unasema eti umesoma...WAPI?.
Ukisikiliza hio radio unaweza kupata majini
ujinga unawauma hawa,Wana Takibiro hamjambeee?sheikh pondo anawapa mapepo na kuwachanganya sana, mtaishia kubaya, jamani vichwa ni kwa ajili ya akili sio vya kufugia nywele na kufungia vilemba, acheni kukurupuka kama nyati,
Kwahiyo na wewe unameza kama kidonge hizo pumba? Utajuaje huyo anayejiita mkristo ni mkristo kweli au ni wale wanywa viroba waliochoma makanisa?kuna wakiristo wanapiga simu redio imani wanasema wanaomba wao wasichanganywe na wakatoliki maana kuna wakatoliki na wakiristo wengine wanasema wakatoliki ndio wanamiliki serikali na wengine ndio wanaumia kwa hio wanakubalali kuwa kanisa katoliki ndilo linatesa waisilamu hilo wanalikubali
wakatoliki sio wakristo maana hawamwamini Yesu bali mama Maria (mwokozi wao)hakuna wakristo na wakatoliki...
Sawa...?!
Unasema sawa thn naendelea kukupanga wazee wa vipedo..