Hii picha inanichekeshaga sana nikiiona yaani hawa watu kwa ubwabwa ni balaa..
ina wasikilizaji kibao, kuna nyumba nilikuwa nimepanga bac early in the mornie jiran m1 anafungua tena full imagine saa 11 alfajir soon nikahama!
Hivi kusanyiko la wajinga nalo unaweza kuita ni umati? subilini mitihani ya Form 4 iishe halafu ngojeni wakati wa kutangazwa matokeo ndio mtajijuwa kama nyinyi mlipaswa mtafutiwe nchi yenu mkae wajinga watupu.Kuna tamasha la sikukuu ya eid lhaji limeandliwa na radio imani mtaona umati unaosikiliza redio imani
Kuna tamasha la sikukuu ya eid lhaji limeandliwa na radio imani mtaona umati unaosikiliza redio imani
kipiindi kimeanza live wanaanza kumchambua mwalim nyerere
Usitoe ushindi kwa mapepo kiurahisi namna hiyo, next time uni-PM nije na vijana wa Charismatic tuje tuombe pamoja humo chumbani kwako halafu uone nani kati yenu angehama.
Ni kweli wengi mtasikiliza, lkn lengo si jingine zaidi ya hili pichani hapo chini
View attachment 68179
Matumaini ni kwamba mwisho wa kipindi kuna mwarabu atatangaza upatikanaji wa ubeche kwenye kaya yake. Bila shaka mtasikiliza mkiwa tayari mmeshajiandaa na vifaa muhimu kwa kazi yenu adhimu
View attachment 68181 bila kusahau View attachment 68182
Sunnat ahly. Mwenye busara hushona kanzu yenye mifuko mirefu