Kipindi kinaendeshwa na clouds TV.
Nimebahatika kuangalia japo kidogo kipindi hiki na kuona hakina maudhui mazuri vilevile wale vijana au sijui ni majaji wanawauliza bibi zetu maswali ya kuwadhalilisha.
Mfano:
Swali: Yule jirani yako snacks hajambo na bibi mmoja aliyeulizwa akajibu hamfahamu na akataja kuwa yeye kabila lake ni Fulani.
Kilichofuata hapo ni vicheko kwa maana ya bibi huyo kutofaamu maana ya snacks,na maswali mengine ya kipuuzi ambayo si ya kuangalia kweli bibi zetu wana uelewa gani.
Cha kusikitisha zaidi kuna watu kama Regina Mwalekwa ambaye zamani alipokuwa redio one alikuwa ni mtu wa kuuliza maswali yenye ufahamu nay a kiudadisi lakini tangu ajiunge huku nay eye amepoteza heshima yake, pole sana dada.
Tafadhali tusiwaruhusu bibi zetu kwenda kwenye shindano kama hili la kuwadhalilisha na kuendeshwa na wahuni.
Nimebahatika kuangalia japo kidogo kipindi hiki na kuona hakina maudhui mazuri vilevile wale vijana au sijui ni majaji wanawauliza bibi zetu maswali ya kuwadhalilisha.
Mfano:
Swali: Yule jirani yako snacks hajambo na bibi mmoja aliyeulizwa akajibu hamfahamu na akataja kuwa yeye kabila lake ni Fulani.
Kilichofuata hapo ni vicheko kwa maana ya bibi huyo kutofaamu maana ya snacks,na maswali mengine ya kipuuzi ambayo si ya kuangalia kweli bibi zetu wana uelewa gani.
Cha kusikitisha zaidi kuna watu kama Regina Mwalekwa ambaye zamani alipokuwa redio one alikuwa ni mtu wa kuuliza maswali yenye ufahamu nay a kiudadisi lakini tangu ajiunge huku nay eye amepoteza heshima yake, pole sana dada.
Tafadhali tusiwaruhusu bibi zetu kwenda kwenye shindano kama hili la kuwadhalilisha na kuendeshwa na wahuni.