Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 51,993
- 69,391
Tutammiss sana Mwalimu JK Nyerere, misingi yake bado tunaikumbuka
tatzo lako moja una tafiti ,,maprofesa wenye akili wapo wengi tu tatzo mfumo ndio kikwazo? ,,,naweza kukutajia maprofesa ambao waliondka nchni kwasababu ya mambo mbalimbali,
Ila Tanzania tuna kazi hasaAliyeacha milango wazi anamsingizia aliyepiga yowe la weziwezi kuwa anawasaidia wezi kuiba. Muingie mikata wenyewe kwa ndiyooooo kisha muwatupie watu lawama
Swali dogo tu kama polepole angekuwa profesa kwa kipndi kile na polepole wa sasa wewe ungemwka katika % ipi kati ya 10% na 90%Kama wapo basi ndiyo hao waliopo katika hiyo 10% yangu niliyoisema hapo juu ila wengi wao 90% ni wa ' hovyo hovyo ' watupu. Nina uhakika na ninachokisema na ndiyo maana katika Wanataaluma ambao naongoza kwa ' kuwadharau ' ni hawa wenye ' Titles ' za Uprofesa kutokana na kwamba wameshindwa kuisaidia Tanzania Kitaaluma na kuelekeza mawazo yao katika kusaidia kuijenga nchi na wamebaki tu kujisifia kumiliki huo ' Uprofesa ' wao. Kuna tofauti kubwa mno ya Maprofesa wa Ulaya, Asia, Middle East na America dhidi ya Maprofesa wa Afrika hasa hawa wa Sub Saharan Africa ( Tanzania ) ikiwemo.
Naangalia kipima joto hapa, Ndg. Pole Pole kawekwa katikati ya Proffesa Baregu na Proffesa mwingine hapa kuongelea miaka kumi na nane bila Baba wa Taifa, je misingi ya utaifa aliyoasisi inaenziwa!?
Ndg Pole Pole hapa anayoongea ki uhalisia hayaendani na Mada na amepwaya mbele ya wachangia Mada wengine.
Hili linaweza lisiwe kosa lake maana watu alionao sio level yake! Ni kosa la muandaa kipindi! Huwezi kumuweka Pole Pole katikati ya wazee tena maprofesa kujadili jambo! Huyu alitakiwa kukaa pembeni na kuwasikiliza kujifunza kutoka kwao
Tatizo la vijana wa tanzania ni kuoneana wivu na.mambo yasiyo ya msingi,
Si kwamba pole pole kaenda nje ya mada kabisa kuna mazuri pia kachangia ,
Ila.kwakuwa.tumezoea kuja na ID fake na kupinga kila.kitu basi mnadhani mnajenga kumbe tunadumaza akili zetu,
Jamii yetu imemzunguka majungu na pointi pembeni,
Humphrey si ndo huyu mlikuwa mnamshangilia akiwa na warioba?
Tuwe fair
Pole Pole nae ni Mzee kimwili ila hana mvi na umri pia unakataa sema mwili na akili vishaukubali Uzee.