Ni kweli, kipindi cha majadiliano kama kile huyu dada hakiwezi!..miye naona hata mwendesha kipindi hakimudu vizuri..Ingekuwa Paskali (yule wa ENZI za KITIMOTO) au Majura, kipindi kingeenda vena na ndugu Harakaharaka asingebishana ili kupoteza muda..
Form two..azaniaMiaka 18 iliyopita HP alikua Darasa la ngapi sijui...
Narudia tena kusema na safari hii kwa jeuri na nyodo zote kabisa kwamba 90% ya Maprofesa wa Tanzania ni ' Mabogasi ' utake usitake. Tunashinda nao 24/7 na tunawaona hivyo binafsi nazungumzia kwa upande wangu kwakuwa nina bahati kubwa sana ya kutatana nao sehemu mbalimbali za Kitaaluma. Uprofesa wao ni wa katika Vyeti vyao tu ' thinking ' yao ipo chini mno na kuna muda ukiwabatisha kuwa nao unaweza usione tofauti ya Mimi GENTAMYCINE niliyeishia darasa la Saba tu na Wao waliobahatika kufika huko Kwenu Chuo Kikuu.
Hayo ni maoni yako tu na wala sio facts ni ukosefu wa akili wa daraja A kuongea pumba kwa ujasiri namna hiyo.Kwa vigezo vipi unasema maprofesa ni watupu wewe umefundishwa na maprofesa vilaza ndio maana na wewe ni kilaza ndio maana stereotipically unawaza kwa namna hiyo
Hivi Darasa la Saba huwa anafundishwa na Profesa? You're hopeless Creature on earth.
Kwenye tume kulikuwa na nafasi ya kuelekezana, kufafanuliana na kufundishana ikibidi ili kuwa na uelewa mpana wa pamoja. Kwa ufupi hata ww ungefit kwenye hiyo tume kwa sababu usichojua ungepata nafasi ya kuelekezwaMbona kwenye Tume ya Warioba hukushauri akae pembeni?!!
kama 10% basi bdo wapo maprofesa wenye akili.Narudia tena kusema na safari hii kwa jeuri na nyodo zote kabisa kwamba 90% ya Maprofesa wa Tanzania ni ' Mabogasi ' utake usitake. Tunashinda nao 24/7 na tunawaona hivyo binafsi nazungumzia kwa upande wangu kwakuwa nina bahati kubwa sana ya kutatana nao sehemu mbalimbali za Kitaaluma. Uprofesa wao ni wa katika Vyeti vyao tu ' thinking ' yao ipo chini mno na kuna muda ukiwabatisha kuwa nao unaweza usione tofauti ya Mimi GENTAMYCINE niliyeishia darasa la Saba tu na Wao waliobahatika kufika huko Kwenu Chuo Kikuu.
kama 10% basi bdo wapo maprofesa wenye akili.
tatzo lako moja una tafiti ,,maprofesa wenye akili wapo wengi tu tatzo mfumo ndio kikwazo? ,,,naweza kukutajia maprofesa ambao waliondka nchni kwasababu ya mambo mbalimbali,Sasa 10% na 90% ni sawa Mkuu?
Aliyeacha milango wazi anamsingizia aliyepiga yowe la weziwezi kuwa anawasaidia wezi kuiba. Muingie mikata wenyewe kwa ndiyooooo kisha muwatupie watu lawamaAmesema hayo alipokua akijibu hoja za Baregu kuhusu Hali ya uhuru wa kujieleza nchini ambapo alitolea mfano wa kujeruhiwa kwa Tundu lisu