Kipimajoto ITV miaka 18 bila Baba wa Taifa; Je, misingi ya utaifa aliyosimamia inaenziwa na kuendelezwa

..miye naona hata mwendesha kipindi hakimudu vizuri..Ingekuwa Paskali (yule wa ENZI za KITIMOTO) au Majura, kipindi kingeenda vena na ndugu Harakaharaka asingebishana ili kupoteza muda..
Ni kweli, kipindi cha majadiliano kama kile huyu dada hakiwezi!
 
Gentamycine.......unamaanisha hawa ma prof wawili au hata wale wateuleee....???
Vyovyote vile nikuombe uwatake Radhi wao na pia mamlaka iliyowateuwa na sisi wenye nchi tunao ongozwa na aliyewateuwa...
 
Narudia tena kusema na safari hii kwa jeuri na nyodo zote kabisa kwamba 90% ya Maprofesa wa Tanzania ni ' Mabogasi ' utake usitake. Tunashinda nao 24/7 na tunawaona hivyo binafsi nazungumzia kwa upande wangu kwakuwa nina bahati kubwa sana ya kutatana nao sehemu mbalimbali za Kitaaluma. Uprofesa wao ni wa katika Vyeti vyao tu ' thinking ' yao ipo chini mno na kuna muda ukiwabatisha kuwa nao unaweza usione tofauti ya Mimi GENTAMYCINE niliyeishia darasa la Saba tu na Wao waliobahatika kufika huko Kwenu Chuo Kikuu.

Hayo ni maoni yako tu na wala sio facts ni ukosefu wa akili wa daraja A kuongea pumba kwa ujasiri namna hiyo.Kwa vigezo vipi unasema maprofesa ni watupu wewe umefundishwa na maprofesa vilaza ndio maana na wewe ni kilaza ndio maana stereotipically unawaza kwa namna hiyo
 
Ila Polepole si anawakilisha CCM Mpya so haina shida kama chama chake kilimuona ndiyo anayefaa zaidi kuliko wale wengine. Afu ujue toka wastaafu waambiwe wengine wanawashwa wengi wamekwepa kutoa kauli au kushiriki kwenye mambo mengi
 
Hayo ni maoni yako tu na wala sio facts ni ukosefu wa akili wa daraja A kuongea pumba kwa ujasiri namna hiyo.Kwa vigezo vipi unasema maprofesa ni watupu wewe umefundishwa na maprofesa vilaza ndio maana na wewe ni kilaza ndio maana stereotipically unawaza kwa namna hiyo

Hivi Darasa la Saba huwa anafundishwa na Profesa? You're hopeless Creature on earth.
 
Mbona kwenye Tume ya Warioba hukushauri akae pembeni?!!
Kwenye tume kulikuwa na nafasi ya kuelekezana, kufafanuliana na kufundishana ikibidi ili kuwa na uelewa mpana wa pamoja. Kwa ufupi hata ww ungefit kwenye hiyo tume kwa sababu usichojua ungepata nafasi ya kuelekezwa
 
Narudia tena kusema na safari hii kwa jeuri na nyodo zote kabisa kwamba 90% ya Maprofesa wa Tanzania ni ' Mabogasi ' utake usitake. Tunashinda nao 24/7 na tunawaona hivyo binafsi nazungumzia kwa upande wangu kwakuwa nina bahati kubwa sana ya kutatana nao sehemu mbalimbali za Kitaaluma. Uprofesa wao ni wa katika Vyeti vyao tu ' thinking ' yao ipo chini mno na kuna muda ukiwabatisha kuwa nao unaweza usione tofauti ya Mimi GENTAMYCINE niliyeishia darasa la Saba tu na Wao waliobahatika kufika huko Kwenu Chuo Kikuu.
kama 10% basi bdo wapo maprofesa wenye akili.
 
Hua najiuliza hivi ingekuwaje kama Mwinyi angepiga marufuku wastaafu kuongea ongea!?
Mana Hotuba nyingi za Nyerere alizitoa baada ya kustaafu.

Kwa kweli waasisi wa Taifa hili walilijenga katika misingi ya demokrasia.

Nyerere alikua anatoa maoni yake kwa uhuru kabisa hata baada ya kustafu. Mwinyi naye aliheshimu mani yake bila kujibizana naye wala kumtolea vitisho.
Demokrasia iliyokuwepo nchini inafaa kuenziwa na kuwa mfano wa kuigwa.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom