lukesam
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 12,362
- 25,422
Ni kweli, kipindi cha majadiliano kama kile huyu dada hakiwezi!..miye naona hata mwendesha kipindi hakimudu vizuri..Ingekuwa Paskali (yule wa ENZI za KITIMOTO) au Majura, kipindi kingeenda vena na ndugu Harakaharaka asingebishana ili kupoteza muda..