mtotowamjini
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 4,525
- 1,177
sio kwamba siku hiyo hukufanya jitihada za kutosha kumpulizia? maana Asprin kazi kweli mpaka umuimbie 'simama dede nikupe mkate' na kapenseli kake kakiinuka unakaimbia 'kasimama peke yake kaona mchumba wake'.
Naskia ka wivu flan hivi.........
Kwa mtaji huu hakika kuna siku seva ya jf tutaivunjavunja maana kuna siku kitawaka hapa.my dear Erickb52, my dearest Bishanga my hazbendi Asprin, my baby loya klorokwini, my hubby buchanan, asali wangu TANMO, my hanni Teamo, my lavu platozoom, Judgement wangu, na wengineo ambao nimewahifadhi kwa sababu maalum........
every woman should have four pets in her life,
- a mink in her closet
- a jaguar in her garage
- a tiger in her bed and;
- a Jackass Penguin who pays for everything.............
baada ya kusema hayo, napenda kuwajulisha kuwa nawapenda sana..... mkimuona mzee wa mia. mwambieni chakula hakishuki kwa kumwaza yeye.....
BADILI TABIA siku hizi unahonga wanaume eh?
Kwa mtaji huu hakika kuna siku seva ya jf tutaivunjavunja maana kuna siku kitawaka hapa.
Heheheheee BADILI TABIA si tunayakubali yote
Hatuna mgogoro cha msingi unatupa raha kwa nafasi
Sana tu,lunch twenzetu coral beach.
Huna wivu erick? Mi siwezi, najumuvuzisha pembeni.
- N, Nilipoenda kumtembelea na mume wangu, alitwambia atatununulia BMW Z4, but tukakataa sababu tunalo tayari (mi mwenyewe nina misifa misifa ya kihaya hapa)
- H (Linapanda nimgongeapo like)
- S ila inawezekana
- H, kachanga damu ya mchina na mmasai
- S
- S
- H, hajauchuna, anatumia mchina
- H. Msinichonganishe na King'asti
- H, sio kwamba hataki. kuna tofauti kati ya kutaka na kuweza.
- S, ngoja nimuulize AshaDii
Ngoja nimshtue kama mambo yenyewe ndo haya,platozooooooooooooo