The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 9,170
- 20,202
Yes of courseIs that Abbreviation for TISS???????
Yes of courseIs that Abbreviation for TISS???????
Mkuu nilitaka kukupita bila kukufsham. Kwa nini umebadilisha avatar Picha yako tuliyokuzoea?
Dah mkuu yani ulivyokuwa na ile avatar Picha yako tya malcolm X ilipendeza sana yani sasa hivi tunaweza kukupita tu
Mkuu hupooooMovie zinakudanganya dogo
Kwenye kazi ingine ndipo kunasubiriwatutampangia kazi nyingine ..tutampa hata uafisa elimu
Wakijibu sis nitagKesi ya Membe kumshitaki Musiba inaendaje?
Uko vizuriMusiba anatumika ili Kapilimba ang'olewe
Unaweza kurudia tena haya maneno leo hii?Wewe wa.kumfundusha Kipilimba kazi ?. dunia imekwisha![]()
Hebu rudia tena kwa sauti kubwa wote wakusikie!!!!Kipilimba is there to stay, mtabwata na kuhara sana nyie bata bukini!!. Mwenye shida na Musiba, the court doors are open for you!. Kipilimba Kipilimba Kipilimba kila saaa, wehu nini nyie!? You have no chance awamu hii kubalianeni tu na hali halisi!
KAMA HATAKI KU-RESIGN KWA HIARI TUTAMTUMBUA......HAIWEZEKANI MAMBO YA HOVYO YAPEWE KIPAUMBELE NA WATANZANIA TUKAE KIMYAEti anamwambia aresign..
Kuna siku huwa una Uwezo wa kuona mbali Sana aiseeMusiba anatumika ili Kipilimba ang'olewe
ukiwa na fikra huru utaelewa Musiba anatumwa na jina la anayemtuma linafahamikaKuna siku huwa una Uwezo wa kuona mbali Sana aisee
ni kwa vile walikuwa msaada kwa Taifa , hawakutumika kuteka watuZamani kumjua Afisa usalama wa Taifa lilikuwa jambo gumu Sana.
Labda atasababisha vita vya kimbari kwa wafungwa!Musiba atasababisha vita ya kimbari.Anaeneza chuki kila kukicha
Hili goma halikuwa la kitoto......JF huwa ina watabiri wengi sanaaLeo tena mimi na wewe mzee wangu, usije kudhani nakuchukia baada ya wiki iliyopita kukuandikia makala nyingine. La hasha, ila nakuonea huruma sana. Ni Kama hujui umuhimu na uzito wa kazi ulionao.
Musiba si mjinga wala kichaa kama watu wanavyodhania, bali kuna mtu mwenye nguvu kubwa kuliko wote Tanzania ndo yupo nyuma ya Musiba.
Maneno anayoongea Musiba, hayaongei kwa bahati mbaya au kwa kuhisi, bali ni mkakati maalumu mzito ili kufanikisha jambo maalumu zito.
Bahati mbaya zaidi ofisi yako inadhalilishwa na Musiba, huyu ni mtu Hatari sana ambaye idara yako ilitakiwa kumnyamazisha kimya hata kwa njia zisizojulikana Kwa ajili ya usalama wa nchi.
Musiba amekuwa msiba Kwa watu, hivi hujui athari ya kauli zake na tuhuma zake Kwa watu zinaweza kuchafua usalama wa nchi?
Huyu mtu amefikia hatua ya kuwagusa hadi marais wastaafu. Unadhani ni hali ya kawaida hiyo?
Wewe Kama Mkurugenzi mkuu wa TISS, unajua majukumu yako, hakuna wa kukufundisha kazi, ila hali ilivyo inaonyesha kabisa unafundishwa kazi.
Hivi unajua kuwa vita vya ghuba vilisababishwa na mtu kama Musiba, mkimbizi wa Iraq aliyekuwa akiishi Germany?
Musiba kaumiza wengi, na anaendelea kuwaumiza, na hakuna wa kumgusa huyu mtu, yupo juu ya sheria, a strong man is behind him.
Kwanini TISS imekosa uadilifu mikononi mwako?
Nakushauri u resign ili ulinde heshima yako, vinginevyo utaendelea kuvuliwa nguo.
Nilitarajia ungeiendesha Idara kwa muundo wa CIA, MI6 au Mossad, haya mashirika yapo Kwa maslahi ya mataifa yao na watu wao, na hayatumiki na wanasiasa uchwara.
Watu wanahangaika kuipasua Tanzania, upo umekaa unawatizama tu.
Kwa hiyo unasubiri kushuhudia Tanzania ikipasuliwa na wakati uwezo wa kuzuia unao? Ni kituko cha karne mtu mmoja tu anayejiita mwanaharakati anafanya lolote atakalo na hakuna wa kumgusa.
Yetu macho, siku mkianza kuvuna mnachopanda msikimbie.
Hahahahahahahahahahaha.......balaaMajuzi Musiba kamtaja huyo Kipilimba "kiaina" kuwa "mkuu wa idara/taasisi nyeti anayempa Membe siri za serikali" (of course it is true lakini Musiba si mtu stahili kusema haya)
I knew it would one day come to haunt them. Walimfuga chatu, wakamlisha sumu ya kutukana #WatuHatari, leo chatu huyo huyo kawageukia wamiliki wake.
View attachment 1152921