SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 49,975
- 75,059
Wewe wa kuwa msemaji wa Kipilimba , basi Kipilimba hana kazi.Wewe wa.kumfundusha Kipilimba kazi ?. dunia imekwisha![]()
Wewe wa kuwa msemaji wa Kipilimba , basi Kipilimba hana kazi.Wewe wa.kumfundusha Kipilimba kazi ?. dunia imekwisha![]()
Hajui kuwa huenda musiba ni kazi ya kipilimbaWewe wa.kumfundusha Kipilimba kazi ?. dunia imekwisha![]()
Kwa hiyo na wewe unauna mkono kuwa Musiba anatumwa na bosi wa Kipilimba. Haya twende kazini.huyo Kapilimba lazima asikilize matakwa ya bosi wake aliemteua
Kwa vile iko mahakamani ngoja tuiache kama ilivyo, ila hii tabia ya Musiba kuwakashifu na kuwaingiza viongozi wastaafu kwenye ndoto zake lazima ikemewe.Kesi ya Membe kumshitaki Musiba inaendaje?
Nilitaka kuuliza vivyo hivyoMkuu ni wewe kabisa uliyeandika kitu hiki au umeandikiwa na batu bakongo?.
Ina maana hukusoma mada? Na mitihani ulikuwa unafaulu vipi?Kosa la kipilimba ni lipi hapo?
Eti anamwambia aresign..Wewe wa.kumfundusha Kipilimba kazi ?. dunia imekwisha![]()
jamaa halina knowledge yoyote ya matukio makubwa ya kisiasa yaliyowahi kutokea duniani.Mavi wewe!
Jinga kabisa!
Malcolm X,Patrice Lumumba,MLK Jnr,Ghadafi,etc wameuwawa na mavi yako?
Punguani wewe!
aisee harafu mnasema katiba tuliyonayo inatosha,sisi kweli ni vichaahuyo Kapilimba lazima asikilize matakwa ya bosi wake aliemteua
Nilitaka kuuliza vivyo hivyo
usalama wa viongozi wa ccm.Maana viongozi wengine tulionao hasa kutoka vyama vingine,hii idara si rafiki kwaoTz kuna usalama wa Taifa au usalama wa viongozi?
Umesema serikali imzime Musiba kwa njia zisizojulikana kwa usalama wa Taifa halafu unagusia CIA na MI6 kama mifano, don't be ridiculous, ongelea mambo yenu ya third world huku kunakonuka damu za raia chini ya mikono ya dola, sio Marekani,sio UK!
It is against Federal Law, ni kinyume cha sheria, kwa serikali ya Marekani ku assasinate mtu yeyote, raia, foreigner , kiongozi wa nchi nyingine, n.k., unless ametangazwa wazi wazi bungeni au na rais kwamba ni adui mpiganaji, enemy combatant!
Kwa hiyo tafadhali tumia mifano ya kwenu huku Burundi, Tanzania, Uganda, Kenya, Rwanda, Sudan, na kwingine Afrika kuchafu huku kunakovunda damu za wananchi.
Akina Lissu wakitoa maoni yao wanaitwa wasaliti,akina Ben saa 8 wakitoa maoni yao wanaishia kupotea,sisi tukitoa maoni yetu hapa,Max anaishia kuburuzwa mahakamani,nadhani maoni ya Msiba mkuu ni specialKila mtu ana haki ya kutoa maoni yake Musiba acha atoe maoni yake siasa ina mambo mengi ukiifatilia utaumiza kichwa usishangae Lissu ukamkuta CCM ndio maisha
jariibu kufanya tadhimini though si utaratibu wetu,kwamba hayo unayoyaona ya muhimu kwako umeyafanya kwa muda gani na umepata nini,na unadhani ukiendelea na maisha hayo ni lini utakuwa na uhakika na milo mitatu?Kupata misosi yote mitatu bado sina uwakika, harafu nije ni comment hapa si ntakuwa najidanganya!!
Bora muda huu nimsaidie Mama watoto kuosha vyombo au kufua Nepi za Mtoto.
Vilaza wa UVCCM ndio wawe na akili za kutisha, acha vichekesho Basi!!!TISS huwa hawafanyi kazi kwa shinikizo,kuna watu wabobezi na wa ana akili za kutisha
Kama Musiba ana kuudhi mpeleke mahakamani kama membe alivyofanya
Kisa melo katoa na wewe ndo umeamua kutoa. ...mwenzio melo anaijua vizuri ligi ya msiba inavomsumbuaMkuu, ngoja nikupe like nimeona chief Maxence Melo ametoa ya kwake hapo