Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 57,214
- 128,976
Kuna vitu ukisingiziwa ni bora kudharau na kupotezea kuliko kukanusha.Je ukikanushwa?
P
Kuna vitu ukisingiziwa ni bora kudharau na kupotezea kuliko kukanusha.Je ukikanushwa?
Mkuu Shikamoo..Musiba anatumika ili Kapilimba ang'olewe



Hakika sasa yametimia!Leo tena mimi na wewe mzee wangu, usije kudhani nakuchukia baada ya wiki iliyopita kukuandikia makala nyingine. La hasha, ila nakuonea huruma sana. Ni Kama hujui umuhimu na uzito wa kazi ulionao.
Musiba si mjinga wala kichaa kama watu wanavyodhania, bali kuna mtu mwenye nguvu kubwa kuliko wote Tanzania ndo yupo nyuma ya Musiba.
Maneno anayoongea Musiba, hayaongei kwa bahati mbaya au kwa kuhisi, bali ni mkakati maalumu mzito ili kufanikisha jambo maalumu zito.
Bahati mbaya zaidi ofisi yako inadhalilishwa na Musiba, huyu ni mtu Hatari sana ambaye idara yako ilitakiwa kumnyamazisha kimya hata kwa njia zisizojulikana Kwa ajili ya usalama wa nchi.
Musiba amekuwa msiba Kwa watu, hivi hujui athari ya kauli zake na tuhuma zake Kwa watu zinaweza kuchafua usalama wa nchi?
Huyu mtu amefikia hatua ya kuwagusa hadi marais wastaafu. Unadhani ni hali ya kawaida hiyo?
Wewe Kama Mkurugenzi mkuu wa TISS, unajua majukumu yako, hakuna wa kukufundisha kazi, ila hali ilivyo inaonyesha kabisa unafundishwa kazi.
Hivi unajua kuwa vita vya ghuba vilisababishwa na mtu kama Musiba, mkimbizi wa Iraq aliyekuwa akiishi Germany?
Musiba kaumiza wengi, na anaendelea kuwaumiza, na hakuna wa kumgusa huyu mtu, yupo juu ya sheria, a strong man is behind him.
Kwanini TISS imekosa uadilifu mikononi mwako?
Nakushauri u resign ili ulinde heshima yako, vinginevyo utaendelea kuvuliwa nguo.
Nilitarajia ungeiendesha Idara kwa muundo wa CIA, MI6 au Mossad, haya mashirika yapo Kwa maslahi ya mataifa yao na watu wao, na hayatumiki na wanasiasa uchwara.
Watu wanahangaika kuipasua Tanzania, upo umekaa unawatizama tu.
Kwa hiyo unasubiri kushuhudia Tanzania ikipasuliwa na wakati uwezo wa kuzuia unao? Ni kituko cha karne mtu mmoja tu anayejiita mwanaharakati anafanya lolote atakalo na hakuna wa kumgusa.
Yetu macho, siku mkianza kuvuna mnachopanda msikimbie.
Good analysis of the situation that existed then. Tunajionea wenyewe sasa.Leo tena mimi na wewe mzee wangu, usije kudhani nakuchukia baada ya wiki iliyopita kukuandikia makala nyingine. La hasha, ila nakuonea huruma sana. Ni Kama hujui umuhimu na uzito wa kazi ulionao.
Musiba si mjinga wala kichaa kama watu wanavyodhania, bali kuna mtu mwenye nguvu kubwa kuliko wote Tanzania ndo yupo nyuma ya Musiba.
Maneno anayoongea Musiba, hayaongei kwa bahati mbaya au kwa kuhisi, bali ni mkakati maalumu mzito ili kufanikisha jambo maalumu zito.
Bahati mbaya zaidi ofisi yako inadhalilishwa na Musiba, huyu ni mtu Hatari sana ambaye idara yako ilitakiwa kumnyamazisha kimya hata kwa njia zisizojulikana Kwa ajili ya usalama wa nchi.
Musiba amekuwa msiba Kwa watu, hivi hujui athari ya kauli zake na tuhuma zake Kwa watu zinaweza kuchafua usalama wa nchi?
Huyu mtu amefikia hatua ya kuwagusa hadi marais wastaafu. Unadhani ni hali ya kawaida hiyo?
Wewe Kama Mkurugenzi mkuu wa TISS, unajua majukumu yako, hakuna wa kukufundisha kazi, ila hali ilivyo inaonyesha kabisa unafundishwa kazi.
Hivi unajua kuwa vita vya ghuba vilisababishwa na mtu kama Musiba, mkimbizi wa Iraq aliyekuwa akiishi Germany?
Musiba kaumiza wengi, na anaendelea kuwaumiza, na hakuna wa kumgusa huyu mtu, yupo juu ya sheria, a strong man is behind him.
Kwanini TISS imekosa uadilifu mikononi mwako?
Nakushauri u resign ili ulinde heshima yako, vinginevyo utaendelea kuvuliwa nguo.
Nilitarajia ungeiendesha Idara kwa muundo wa CIA, MI6 au Mossad, haya mashirika yapo Kwa maslahi ya mataifa yao na watu wao, na hayatumiki na wanasiasa uchwara.
Watu wanahangaika kuipasua Tanzania, upo umekaa unawatizama tu.
Kwa hiyo unasubiri kushuhudia Tanzania ikipasuliwa na wakati uwezo wa kuzuia unao? Ni kituko cha karne mtu mmoja tu anayejiita mwanaharakati anafanya lolote atakalo na hakuna wa kumgusa.
Yetu macho, siku mkianza kuvuna mnachopanda msikimbie.
Sasa nimekuelewa Mkuu. Hongera sana.Leo tena mimi na wewe mzee wangu, usije kudhani nakuchukia baada ya wiki iliyopita kukuandikia makala nyingine. La hasha, ila nakuonea huruma sana. Ni Kama hujui umuhimu na uzito wa kazi ulionao.
Musiba si mjinga wala kichaa kama watu wanavyodhania, bali kuna mtu mwenye nguvu kubwa kuliko wote Tanzania ndo yupo nyuma ya Musiba.
Maneno anayoongea Musiba, hayaongei kwa bahati mbaya au kwa kuhisi, bali ni mkakati maalumu mzito ili kufanikisha jambo maalumu zito.
Bahati mbaya zaidi ofisi yako inadhalilishwa na Musiba, huyu ni mtu Hatari sana ambaye idara yako ilitakiwa kumnyamazisha kimya hata kwa njia zisizojulikana Kwa ajili ya usalama wa nchi.
Musiba amekuwa msiba Kwa watu, hivi hujui athari ya kauli zake na tuhuma zake Kwa watu zinaweza kuchafua usalama wa nchi?
Huyu mtu amefikia hatua ya kuwagusa hadi marais wastaafu. Unadhani ni hali ya kawaida hiyo?
Wewe Kama Mkurugenzi mkuu wa TISS, unajua majukumu yako, hakuna wa kukufundisha kazi, ila hali ilivyo inaonyesha kabisa unafundishwa kazi.
Hivi unajua kuwa vita vya ghuba vilisababishwa na mtu kama Musiba, mkimbizi wa Iraq aliyekuwa akiishi Germany?
Musiba kaumiza wengi, na anaendelea kuwaumiza, na hakuna wa kumgusa huyu mtu, yupo juu ya sheria, a strong man is behind him.
Kwanini TISS imekosa uadilifu mikononi mwako?
Nakushauri u resign ili ulinde heshima yako, vinginevyo utaendelea kuvuliwa nguo.
Nilitarajia ungeiendesha Idara kwa muundo wa CIA, MI6 au Mossad, haya mashirika yapo Kwa maslahi ya mataifa yao na watu wao, na hayatumiki na wanasiasa uchwara.
Watu wanahangaika kuipasua Tanzania, upo umekaa unawatizama tu.
Kwa hiyo unasubiri kushuhudia Tanzania ikipasuliwa na wakati uwezo wa kuzuia unao? Ni kituko cha karne mtu mmoja tu anayejiita mwanaharakati anafanya lolote atakalo na hakuna wa kumgusa.
Yetu macho, siku mkianza kuvuna mnachopanda msikimbie.
Mission completed!Musiba anatumika ili Kapilimba ang'olewe
Mkuu upo?Nyie wazee pambaneni na hali zenu, msimtume mkuu wa taasisi nyeti kiaina kushughulikia hali zenu, pambaneni na Musiba wenyewe!!!
Umekuja kutetea ugali wako, mbona zamani haukuwa hivi Mkuu?Kumbe Rais Magufuli ni msikivu sana.
P
Mkuu kumbe wajamaa umeshamtambua eeeh? Alikuwa mzuri sana zamani, siku hizi kawa wa hovyo, naona anatafuta Ukuu wa Mkoa.Uzi ungekuwa ni wako Leo tungekoma na link zako ungezijaza hapa.tatizo lako upo upande wa kutukuza ndipo nyuzi zako zinaegemea
Nilipokuwa nafundishwa topic ya Logic kidato cha nne kwenye somo la Addition Mathematics. Nilifundishwa uongo ukirudiwa rudiwa unakuwa ukweli(F----->F =T), nilipofika kidato cha sita kwenye somo la Basic Applied Mathematics(BAM) nikafundishwa hivyo hivyo tena.Uongo na uzushi, usipokanushwa, unayeyuka wenyewe.
P
Sasa Kabendera kafunguliwa kesi ya kutakatisha pesa ambapo mwanzoni alikamatwa kwa madai ya utata wa urai wake. Na yeye adharau na kupotezea?Kuna vitu ukisingiziwa ni bora kudharau na kupotezea kuliko kukanusha.
P
hii ni kwa sababu Kapilimba ni team Kikwete
Yupo tu anajamberjamber tu huko alipoMkuu upo?
Mkuu nilitaka kukupita bila kukufsham. Kwa nini umebadilisha avatar Picha yako tuliyokuzoea?Nilipokuwa nafundishwa topic ya Logic kidato cha nne kwenye somo la Addition Mathematics. Nilifundishwa uongo ukirudiwa rudiwa unakuwa ukweli(F----->F =T), nilipofika kidato cha sita kwenye somo la Basic Applied Mathematics(BAM) nikafundishwa hivyo hivyo tena.
Dah mkuu yani ulivyokuwa na ile avatar Picha yako tya malcolm X ilipendeza sana yani sasa hivi tunaweza kukupita tuyaani...