Kipilimba, Umekubali kuvuliwa nguo?

Kipilimba, Umekubali kuvuliwa nguo?

Majuzi Musiba kamtaja huyo Kipilimba "kiaina" kuwa "mkuu wa idara/taasisi nyeti anayempa Membe siri za serikali" (of course it is true lakini Musiba si mtu stahili kusema haya)

I knew it would one day come to haunt them. Walimfuga chatu, wakamlisha sumu ya kutukana #WatuHatari, leo chatu huyo huyo kawageukia wamiliki wake.

View attachment 1152921
Nakumbuka ww ndo umewai sema kua kapilimba aliwekwa na membe usalama wa taifa na kila nafasi ambazo alikua akiacha membe kapilimba anaingia leo ndo mkubwa kashituka na kumtengua kitachofuata ni kupangiwa ubalozi
 
Majuzi Musiba kamtaja huyo Kipilimba "kiaina" kuwa "mkuu wa idara/taasisi nyeti anayempa Membe siri za serikali" (of course it is true lakini Musiba si mtu stahili kusema haya)

I knew it would one day come to haunt them. Walimfuga chatu, wakamlisha sumu ya kutukana #WatuHatari, leo chatu huyo huyo kawageukia wamiliki wake.

View attachment 1152921
 
Nakumbuka ww ndo umewai sema kua kapilimba aliwekwa na membe usalama wa taifa na kila nafasi ambazo alikua akiacha membe kapilimba anaingia leo ndo mkubwa kashituka na kumtengua kitachofuata ni kupangiwa ubalozi
Boss hujambo Lakini?? Leo tumekutana Hapa..
 
Uko sahihi kabisa, kwa Mara ya kwanza naona kumbe wakati mwingine unajivisha joho lisilo lako.

Ni kweli kabisa mbinu ya kupambana na anayetaka kugombea au watu wake ni makosa ya kiufundi kabisa, lakini pia yanasababisha watu wahisi kuwa ni aliyeko ndiye anamtumia, na huo ni woga mkubwa.
yetu macho. mi nadhani kama nchi tunahitaji system overhaul. Alishawahi kuandika humu Paschal Mayalla one day
 
Unaweza kumsema kumbe ndiye aliye nyuma yake, haya mambo yana mkono wa idara yote. Sifia zote ukandamizaji wa upinzani, mabadiliko na utungwaji wa sheria za takwimu, makosa ya mtandaoni, sheria ya habari, na sasa sheria ya mashirika ya kujitolea.
Ili kumnyosha mtu anatakiwa asikie sauti yako tu, unalosema kuwa anavuliwa nguo siyo kweli. Baada ya 2020 kutakuwa na vibweka zaidi. Taarifa na sifia zitatoka huko vijijini na watunga sheria ambao watakuwa wa upande mmoja na wachache sana kutoka kwa mamluki wa vyama vya siasa wanaenda kutunga nyongeza ya miaka ya utawala.
Na huyuhuyu huenda akawa mbunge na kuwa waziri wa mambo ya ndani na atakunyosha. Kuna jeshi linaandaliwa kuwamaliza kabisa wapinzani linaitwa green nini sijui, litaua na kuharibu wapinzani waziwazi hasa wenye ushawishi mbele yake mkuu wa idara.
Kwa nini watoa maoni, wenye kutafakari na wenye mawazo mbadala wanapingwa kwa nguvu zote hata kuuliwa ni sawa kuna jambo kubwa acha tusibiri.
Maneno yako yamenifikirisha sana mkuu, inaonekana tuna tatizo kubwa juu ya matatizo yote haya. Mimi nadhani kama nchi umefika wakati tutafakari namna ya kuwatengeneza viongozi wetu kutoka kila eneo.
Tunahitaji systems and not dramas katika kuiendesha nchi. Inaonekana dhahiri tuna matatizo ya kitaasisi kama taifa na kama tusipoyatibu kitaasisi basi tutazidi kubaki nyuma
 
Maneno yako yamenifikirisha sana mkuu, inaonekana tuna tatizo kubwa juu ya matatizo yote haya. Mimi nadhani kama nchi umefika wakati tutafakari namna ya kuwatengeneza viongozi wetu kutoka kila eneo.
Tunahitaji systems and not dramas katika kuiendesha nchi. Inaonekana dhahiri tuna matatizo ya kitaasisi kama taifa na kama tusipoyatibu kitaasisi basi tutazidi kubaki nyuma
Mkuu sana.

Janga la Viongozi niladunia nzima sio Tanzania pekee, kwaiyo mjadala uwepo na ninamna gani tutawatambua viongozi wa kweli katika wengie walio wanafiki.
 
Back
Top Bottom