Kipilimba, Umekubali kuvuliwa nguo?

Kipilimba, Umekubali kuvuliwa nguo?

Majuzi Musiba kamtaja huyo Kipilimba "kiaina" kuwa "mkuu wa idara/taasisi nyeti anayempa Membe siri za serikali" (of course it is true lakini Musiba si mtu stahili kusema haya)

I knew it would one day come to haunt them. Walimfuga chatu, wakamlisha sumu ya kutukana #WatuHatari, leo chatu huyo huyo kawageukia wamiliki wake.

View attachment 1152921
Nakumbuka ww ndo umewai sema kua kapilimba aliwekwa na membe usalama wa taifa na kila nafasi ambazo alikua akiacha membe kapilimba anaingia leo ndo mkubwa kashituka na kumtengua kitachofuata ni kupangiwa ubalozi
 
Back
Top Bottom