emma.ngwiza
New Member
- Aug 8, 2015
- 1
- 0
sitaki kabisa kusikia kitu mwanamke duh!
Piga papuchi kana kwamba hujaiona miaka kadhaa...
unajua hata sisi pia wengi tunavutiwa sana na wanawake wacheshi, so ukikuta mwanaume serious sana katika mazingira ya kawaida hawezi akawa amenuna all the time akiwa kwa mpenzi wake lazima kuna time ya jokes coz zinaimarisha sana mapenzi.Hahaha so mpaka anipe hiyo nafasi ya kushika kidevu chake?? Nyie mahusiano acheni ni balaaa!!
Hahaaaaaa!! Naona umeniamulia na huo ukorofi, wakati hapo nimejikaza angalau kapost kawe na upole kidogo.
Serious kwani unalipa mishahara? Hasamehewi mtu, unatupa kuleee unaangalia application nyingine.
Kumbe ndio zenuuuuu eeeeh,kwahyo tukikosa Mawe basiii.
Sasa ulikuwa unazunguka nini? Ucheshi sijui nini.
niweke kwenye shortlist ready for interview
Yaani sio pesa tu ndio umalize!! Na vingine viambatane
Ngoja nikuulize. Hivi mki-post picha zenu zile za kubetua midomo au migongo insta, na tuki-double tap, hiyo si ni pia kuwa romantic?
Ngoja nikuulize. Hivi mki-post picha zenu zile za kubetua midomo au migongo insta, na tuki-double tap, hiyo si ni pia kuwa romantic?
Kishapo ukikikamata kipochi manyoya kisulubu kisawasawa uone kaa utaachwa...ukiingia huko upole peleka kureeee...ire ni vita mura
Wanawake tuambieni maana imekuwa taaaaabu kuwaelewa mnachokpenda.Kidume ht uwe na pesa,mpole na mwenye mapenzi ya kweli pia waweza achwa.Valentina,masai dada,Lara0(1) tupeni ya moyoni
Kila mtu ana vigezo vyake........nikikupa vyangu utasema mie jini........wacha tu......
Mwanaume unakosaje mawe?
sitaki kabisa kusikia kitu mwanamke duh!
Mgegedo heavy, attention, pesa, appreciation
Tunapenda dyu.dyu zaidi...na pesa ya kubadili mboga pia uwe nayo.