Kipi kinapendwa na wanawake mbali na Status?

Kipi kinapendwa na wanawake mbali na Status?

Ni rahisi kumuelewa mwanamke kama kweli anakupenda,
Ila kuwaelewa wanawake ni vigumu hata uishi miaka 1,000
 
Pamoja na hayo hapo juu lakini
-mpe social life
- mpe muda wa kuongea umbea
-mpe loop holes kwa baadhi ya mambo
Kishapo ukikikamata kipochi manyoya kisulubu kisawasawa uone kaa utaachwa...ukiingia huko upole peleka kureeee...ire ni vita mura

Kumbe bwana semeji kuna muda huwa yale maroroso huyafikirii eeeh? Afadhali maana nilikuwa na mawazo mdogo wangu cute b asijekuwa analala kasimama kila siku kama jana.
 
Last edited by a moderator:
Kweli mkuu mimi hupenda sana utani pia kusikilizwa. Sa unakuta jitu lipo serious kama baba yako. Unapiga chini tuu!

Lingine liko busy kama linaumba watu, hata hakumbuki ana beibe, wa nini huyo sasa!
 
Lingine liko busy kama linaumba watu, hata hakumbuki ana beibe, wa nini huyo sasa!

Ukorofi huu. Msamehe tu, labda ndio kaumbwa hivyo. Mwenyewe niko serious balaa, hakuna masikhara muda wote.
 
Ukorofi huu. Msamehe tu, labda ndio kaumbwa hivyo. Mwenyewe niko serious balaa, hakuna masikhara muda wote.

Hahaaaaaa!! Naona umeniamulia na huo ukorofi, wakati hapo nimejikaza angalau kapost kawe na upole kidogo.

Serious kwani unalipa mishahara? Hasamehewi mtu, unatupa kuleee unaangalia application nyingine.
 
Wanawake wanapenda maneno mazur ata kama ya uongo,kubembelezwa,vizawadi vingivingi,kubwa kabsa uwe mjuz wa kukaza nati unapokuwa kifuan kwake yaan kumpunyua kiufundi zaid Kwa muda usiopungua dakika 45,ukitimiza ivyo utaskia watu jamaa anatumia dawa uyo....haiwezekan demu kudata kiasi icho..


Mmh. Mkuu hawa wadudu hawaelewek unawaweza kumchezeshea ujoka mpaka ajambe na still akakengeuka tena kwa boya tu asie mjuvi wa jando
 
Serious kwani unalipa mishahara? Hasamehewi mtu, unatupa kuleee unaangalia application nyingine.


Aisee! Kwa hiyo sisi tusiojua utani tufanyaje? Hata sisi tunahitaji wenza ujue. Kuwa serious si kupenda kwetu.
 
Pamoja na hayo hapo juu lakini
-mpe social life
- mpe muda wa kuongea umbea
-mpe loop holes kwa baadhi ya mambo
Kishapo ukikikamata kipochi manyoya kisulubu kisawasawa uone kaa utaachwa...ukiingia huko upole peleka kureeee...ire ni vita mura

Vita = bhita
 
Usafi upi? Hebu fafanua.

kinywa, meno, kinywa kusafisha ipasavo akiongea nishamdaka na kiss ahaaaa, kunyoa sehemu zote za siri kila baada ya siku mbili, kichwani saloo kila weekend, kuvaa smart hapa sipendi arudie nguo mara mbili, ni vizuri akiwa anapendelea nguo nyeupe kwa 85%, viatu awe na peya kadhaa ili asirudie alichovaa jana kabla hakijafanyiwa usafi, soksi awe na za kutosha, na malashi kwa mbali, hapo mm ndo nimeozaa,tho kuna mengine muhim.
 
Aisee! Kwa hiyo sisi tusiojua utani tufanyaje? Hata sisi tunahitaji wenza ujue. Kuwa serious si kupenda kwetu.

Khaaaaaah!! Msisingizie ndivyo mlivyoumbwa bwana weeee, we km hauko romantic wht do u expect?
 
Lingine liko busy kama linaumba watu, hata hakumbuki ana beibe, wa nini huyo sasa!

mim najiulizaga inakuwaje mtu anakuwa busy kias hicho? Je akitaka kwenda haja ana mu delegate nani aende kwa niaba yake? Yaann hata mtu awe biz kias gan reception ataenda mwenyewe
 
mim najiulizaga inakuwaje mtu anakuwa busy kias hicho? Je akitaka kwenda haja ana mu delegate nani aende kwa niaba yake? Yaann hata mtu awe biz kias gan reception ataenda mwenyewe

Si ndio hapo sasa, na kwenye social medias unamuona online ila kwa mpz wake ndio anajifanya yuko busy, Mungu mwenyewe pamoja na ubusy wake wote still He has time for each and everyone of us.
 
kunyoa sehemu zote za siri kila baada ya siku mbili, kichwani saloo kila weekend, kuvaa smart hapa sipendi arudie nguo mara mbili, ni vizuri akiwa anapendelea nguo nyeupe kwa 85%, viatu awe na peya kadhaa ili asirudie alichovaa jana kabla hakijafanyiwa usafi, soksi awe na za kutosha, na malashi kwa mbali, hapo mm ndo nimeozaa,tho kuna mengine muhim.

Huh? Lemme see....sinyoi kila baada ya siku mbili, no way. I see my barber every weekend. I rock 2 pairs of pants from Monday to Saturday, hazifuliwi mpaka wiki iishe. Viatu navaa pair moja pia all week, havichafuki. Soksi pair 3 tu wiki nzima. Situmii marashi ya aina yoyote, i don't smell funny. The club i support is white, so you already know the drill.

You mean to tell me that brother isn't lucky in the line?
 
Khaaaaaah!! Msisingizie ndivyo mlivyoumbwa bwana weeee, we km hauko romantic wht do u expect?

Not being romantic, doesn't necessarily mean i can't love and make a chick happy. Wacha hizi stereotypes bana.
 
Not being romantic, doesn't necessarily mean i can't love and make a chick happy. Wacha hizi stereotypes bana.

We achana na hicho kingreza kwanza bwana!!

Kuna mijitu haiko romantic yaani hata ile ya kujilazimisha, yaani ukisikia "i miss you baby" ujue anataka mgegedo, yaani nitakupiga chenga za mwili utaachia ngazi mwenyewe bila kushurutishwa.
 
Mmh. Mkuu hawa wadudu hawaelewek unawaweza kumchezeshea ujoka mpaka ajambe na still akakengeuka tena kwa boya tu asie mjuvi wa jando

hapo xx!!!kwhiyo tuwaache tu kama walivyo au
 
Back
Top Bottom