Kipi kinapendwa na wanawake mbali na Status?

Kipi kinapendwa na wanawake mbali na Status?

Pamoja na hayo hapo juu lakini
-mpe social life
- mpe muda wa kuongea umbea
-mpe loop holes kwa baadhi ya mambo
Kishapo ukikikamata kipochi manyoya kisulubu kisawasawa uone kaa utaachwa...ukiingia huko upole peleka kureeee...ire ni vita mura

Kweli mkuu mimi hupenda sana utani pia kusikilizwa. Sa unakuta jitu lipo serious kama baba yako. Unapiga chini tuu!
 
Kweli mkuu mimi hupenda sana utani pia kusikilizwa. Sa unakuta jitu lipo serious kama baba yako. Unapiga chini tuu!

mmmmh!!mbn hamuwambii ukweli kp unachokipenda ili usikikose!????
 
Wanawake tuambieni maana imekuwa taaaaabu kuwaelewa mnachokpenda.Kidume ht uwe na pesa,mpole na mwenye mapenzi ya kweli pia waweza achwa.Valentina,masai dada,Lara0(1) tupeni ya moyoni

mi pia nashindwa kuwaelewa, yani nilihakikisha nimempa kila kitu alichohitaji lakini kuwa nae mbali miezi mitatu tu, nimeachwa.
 
Wanawake tuambieni maana imekuwa taaaaabu kuwaelewa mnachokpenda.Kidume ht uwe na pesa,mpole na mwenye mapenzi ya kweli pia waweza achwa.Valentina,masai dada,Lara0(1) tupeni ya moyoni

Wanawake wanapenda maneno mazur ata kama ya uongo,kubembelezwa,vizawadi vingivingi,kubwa kabsa uwe mjuz wa kukaza nati unapokuwa kifuan kwake yaan kumpunyua kiufundi zaid Kwa muda usiopungua dakika 45,ukitimiza ivyo utaskia watu jamaa anatumia dawa uyo....haiwezekan demu kudata kiasi icho..
 
Wanawake wanapenda maneno mazur ata kama ya uongo,kubembelezwa,vizawadi vingivingi,kubwa kabsa uwe mjuz wa kukaza nati unapokuwa kifuan kwake yaan kumpunyua kiufundi zaid Kwa muda usiopungua dakika 45,ukitimiza ivyo utaskia watu jamaa anatumia dawa uyo....haiwezekan demu kudata kiasi icho..

tatizo lao ni wepesi kukusahau kwa muda, hasa wanapokuwa mbali.
 
mimi mbali na kazi ya mtu i mean ajishughulishe na kitu napenda ATTENTION napenda mtu anijal anipe muda wake

mtu akikuuliza tu nikufanyie nini wakati wa sex TAYARI YU RADHI KUSPEND MUDA NA WEWE MPAKA URIDHKE
 
tatizo lao ni wepesi kukusahau kwa muda, hasa wanapokuwa mbali.

Mkuu ng'ombe hata aende kuchunga mbali awezi potea zizi lake kikubwa kama unampenda jitahidi sana kuwa na mvuto na mbunifu wakati wa mapenzi kiasi kwamba ajutie mausiano yake ya mwanzo
 
* Mkuu, usihangaike wanawake wanatofautiana..hamna silver bullet itakayowafurahisha wote...kitu fulani kinaweza kupendwa na mwanamke mmoja na kuchukiwa na mwanamke mwingine...

* Cha muhimu wewe msome mwanamke anapenda nini, anafurahishwa na nini, kitu/vitu gani vinamkera/kumuudhi..mara nyingi fanya anavyopenda, uwe unamsikiliza anachosema na ku-discuss naye..sio kila kitu unabisha....

* Hata kwenye kudoo, msome anapenda umfanyaje..mara zote katika eneo lile lengo lako la kwanza liwe kumfurahisha yeye kabla ya kujifurahisha wewe...
 
mimi mbali na kazi ya mtu i mean ajishughulishe na kitu napenda ATTENTION napenda mtu anijal anipe muda wake

mtu akikuuliza tu nikufanyie nini wakati wa sex TAYARI YU RADHI KUSPEND MUDA NA WEWE MPAKA URIDHKE

haya dada masai,ila unawez fnya yote lkn ikawa bureeee
 
Kama unavyo vyote ulivyovitaja hapo juu huwez achwa labda uwe unalako jambo

uwe na vyote alivotaja afu usimgegede vizur utaona habar yake.,............hawa viumbe akili zao wanajua wenyewe na Mungu wao mkuu
 
Back
Top Bottom