Kamanda wa Kweli
JF-Expert Member
- Jul 13, 2014
- 1,448
- 846
Never study a woman. . . . . .There has never been a graduation. . . . .
Lol...so facsinasting boss
Never study a woman. . . . . .There has never been a graduation. . . . .
Kweli mkuu mimi hupenda sana utani pia kusikilizwa. Sa unakuta jitu lipo serious kama baba yako. Unapiga chini tuu!
Hahaha ...no way wapigwe tu maana hakuna namna nyingine, tumechoka sasa.
Kwa kweli sijui kama JK ataweza hii nchi, ni mwoga sana na watu hawamuogopi
kinywa, meno, kinywa kusafisha ipasavo akiongea nishamdaka na kiss ahaaaa, kunyoa sehemu zote za siri kila baada ya siku mbili, kichwani saloo kila weekend, kuvaa smart hapa sipendi arudie nguo mara mbili, ni vizuri akiwa anapendelea nguo nyeupe kwa 85%, viatu awe na peya kadhaa ili asirudie alichovaa jana kabla hakijafanyiwa usafi, soksi awe na za kutosha, na malashi kwa mbali, hapo mm ndo nimeozaa,tho kuna mengine muhim.
nguo nyeupe 85% ?????? Ma trafiki njooni huku.
Napenda MTU anijali anithamin na kuniheshim piaa
mtu unaempenda na kumjali matokeo ya pesa badae tuzitafuteee
Dushelele