Kipi kinapendwa na wanawake mbali na Status?

Kipi kinapendwa na wanawake mbali na Status?

hawa viumbe wanapenda cna hivi

1.pesa mapene

2.mtalimbo wa maana au dudu 6nch na m...

3.kupetiwa petiwa
4.social life

5.mapnz ya dhat heshima kwake na kusikilizwa

6.vidime tupunguze vilev nakuvuta masigara

7.kuwahudumia mahitajaj wanayoitaj kw wakat

.8usafi

###bila kusahau kupiga deki chumvini na kwenye magadi hapo huachiki aiseee
 
hawa viumbe wanapenda cna hivi

1.pesa mapene

2.mtalimbo wa maana au dudu 6nch na m...

3.kupetiwa petiwa
4.social life

5.mapnz ya dhat heshima kwake na kusikilizwa

6.vidime tupunguze vilev nakuvuta masigara

7.kuwahudumia mahitajaj wanayoitaj kw wakat

.8usafi

###bila kusahau kupiga deki chumvini na kwenye magadi hapo huachiki aiseee

Mkuu hpo kwny chumvi na magadi,magonjwa aisee!!!!Candida albicans(fungal) ndo maskani yao.
 
Ni rahisi kumuelewa mwanamke kama kweli anakupenda,
Ila kuwaelewa wanawake ni vigumu hata uishi miaka 1,000

Huwezi kuwaelewa wanawake lakini utamwelewa mwanamke mmoja tu ambaye ni mkeo!
Utamwelewa kwa kumwangalia anavyoitikia katika mambo mbali mbali unayomfanyia, na kwa kumwuliza. Ukijigundulia mwenyewe vitu anavyovipenda mkeo atafurahi zaidi, lakini hata ukimwuliza atafurahi maana ataona unamjali!

ANGALIZO: Usichukue mawazo ya mwanamke mmoja ya vitu anavyopenda yeye halafu ukavitumia kwa mkeo! Unaweza ukaachika! Wanawake wanatofautiana sana! Ikiwa ni pamoja na namna tendo la ndoa linavyopaswa kufanyika japo wote wanapenda kutoshelezwa kwa maana ya kufikishwa kileleni!
Lakini namna wanavyotaka kufanyiwa ili waridhike hadi kufika kileleni wanatofautiana! Kazi kwa mume kumtafiti mkewe ili aweze kumridhisha!
Wanawake wote wanapenda kujaliwa lakini wanatofautiana sana katika mambo wanayohitaji kufanyiwa ili waone kuwa wanajaliwa! Kinachomridhisha mmoja inaweza kuwa kero kwa mwingine!
 
Not being romantic, doesn't necessarily mean i can't love and make a chick happy. Wacha hizi stereotypes bana.

True! being romantic does not necessarily mean you love! Europeans are very romantic but two out of three marriages end up in divorce! That is not love. Romance is an art, it can be learned and perfected through practice!
But love is automatic, it is not learned but it is spontaneous and produced right from the heart! Love cares but romance uses! Love gives but romance is just preparing your wife so that she can yield to your passions! ie preparing her to give you what you need at that particular moment!
Romance is temporal but love is permanent!
A loving husband is more important than a romantic husband! But if you can be both it is more better!
 
Pesa tu hamna kingine,ukiwa nazo utaitwa baby tu hata kama una ndevu mpaka mgongoni.

Wengi wa hawa hawana habari kabisa na mapenzi, we jidanganye na mapenzi na ufundi wa kufundishana humu jf ukikosa pesa hakuna atakayepokea penzi lako! Ukiwa na pesa utabebwa hata mgongoni ukipelekwa bafuni kuoga!
Ndio maana si tatizo kwa mwanamke kuolewa na mzee wakati yeye ni msichana mdogo na akaridhika!
Lakini kama huna pesa hata kama una ufundi Kiasi gani, hiyo ndoa iko mashakani! Ni kweli ukiwa na pesa utaitwa baby hata kama ni babu!
 
hao raia ni PESA NA KUWAFILIMBA VZR bhaaaas mengine yanakuja.na usiwe mbahil km wachaga na wapare utaishia kusugua gaga tuu
 
Duuh.. Mwenyewe Nashindwa Kujua Huwa Wanapenda Nini,. Ila Kuna Mmoja Nimekubali Pointi Yake Hapo.
 
mimi personally kusema ukweli napenda, kupendwa kwa dhati, napenda mtu anijali, pia napenda kuridhishwa tuwapo faragha and last but not least, napenda pesaaaaa( asikudanganye mtu bwana, ina play part kubwa ktk mapenz)
 
mimi personally kusema ukweli napenda, kupendwa kwa dhati, napenda mtu anijali, pia napenda kuridhishwa tuwapo faragha and last but not least, napenda pesaaaaa( asikudanganye mtu bwana, ina play part kubwa ktk mapenz)

Pesaaaaaa,!!
 
unamfataje demu mkali kama huna jala (pesa)??? Kuchezea kadi nyekundu mbona kutakuhusu...Tuliza wenge tafuta size yako jipasulie mbna hata kuoa utaoa tu! True love ipo jamani sema tusitake vitu tusivyoviweza! Kuhangaikia swala la kujua wanataka nini before kujua binafsi we kama mwanaume unataka nini ni useless!
 
unamfataje demu mkali kama huna jala (pesa)??? Kuchezea kadi nyekundu mbona kutakuhusu...Tuliza wenge tafuta size yako jipasulie mbna hata kuoa utaoa tu! True love ipo jamani sema tusitake vitu tusivyoviweza! Kuhangaikia swala la kujua wanataka nini before kujua binafsi we kama mwanaume unataka nini ni useless!

hapo ni kweli ndgu
 
Back
Top Bottom