MLALUKO JR
JF-Expert Member
- May 3, 2015
- 962
- 309
- Thread starter
- #181
Hebu wewe dokita uniambie
nkwambie nn dada
Hebu wewe dokita uniambie
Ninae Shem wako ananifikishaga so sina papara nimetulia tuliiiiii
Tunapenda dyu.dyu zaidi...na pesa ya kubadili mboga pia uwe nayo.
Nikikuita mkorofi unabisha. Kusema sijauona ugali kwa miezi mi-8 maana yake nakula chips? Haya bana.
nkwambie nn dada
tatty DyouDyou
hahahahaha!!!kwann waki-miss kugegedwa hawasemi mpka umwmbie ww
tatty DyouDyou
hahahahaha!!!kwann waki-miss kugegedwa hawasemi mpka umwmbie ww
Ndio Juan...dyu.dyu
mi ntkuwa kidumu akiishiwa nguvu na kubanw n kaz
Pamoja na hayo hapo juu lakini
-mpe social life
- mpe muda wa kuongea umbea
-mpe loop holes kwa baadhi ya mambo
Kishapo ukikikamata kipochi manyoya kisulubu kisawasawa uone kaa utaachwa...ukiingia huko upole peleka kureeee...ire ni vita mura
Wa kwako ndio hakwambii. Mi wangu namwambia kabisa ht km yupo kazini nampigia na namwambia...bae..nataka dyu.dyu
Ha ha ha ha ........mchepuko sio dili
1. Pesa
2.dyudyu sio kibamia niseme poo kitandani
3. Social life.
4.peace .
5.Nibadili mboga, nguo na maisha yenye upendo na amsha amsha. hapo sibanduki ng'o
Usihangaike nao
kudanganywa...wanawake tuambieni maana imekuwa taaaaabu kuwaelewa mnachokpenda.kidume ht uwe na pesa,mpole na mwenye mapenzi ya kweli pia waweza achwa.valentina,masai dada,lara0(1) tupeni ya moyoni