Kipi kinapendwa na wanawake mbali na Status?

Kipi kinapendwa na wanawake mbali na Status?

Sie Wengine Tusiojulikana tutakula wale Wakuokoteza, Hawa Wenyekuangalia Pesa na Hadhi pamoja na Elimu Za wanaowataka Watawapata wenye Status hizo

kawa wqwap wny status.
 
Sie Wengine Tusiojulikana tutakula wale Wakuokoteza, Hawa Wenyekuangalia Pesa na Hadhi pamoja na Elimu Za wanaowataka Watawapata wenye Status hizo

kawa wqwap wny status.
 
Kila mwanamke ana vigezo vyake wengine wanapenda kufikishwa kunako(orgasm) they love a gentleman not a boy sio kwa sababu ya pesa zake but anamheshim na kumthamin
 
Na ana akili ya maisha fighter cos MTU anaweza kuwa na pesa lakn kichwan ovyo na mapenz hajui sasa duh bora furaha napata nachokitaka kwenye umaskini hela tutatafta kwan hakuna aliyezaliwa nazo kuliko utajir na karaha huku nikitamani kutoka nje (michepuko) na magonjwa yalivyo meng duh.........
 
Na ana akili ya maisha fighter cos MTU anaweza kuwa na pesa lakn kichwan ovyo na mapenz hajui sasa duh bora furaha napata nachokitaka kwenye umaskini hela tutatafta kwan hakuna aliyezaliwa nazo kuliko utajir na karaha huku nikitamani kutoka nje (michepuko) na magonjwa yalivyo meng duh.........

nimekuelewa aisee!!!!!
 
Dah mi MTU akinifikisha kunako dah plus akili ya maisha(fighter) pesa tutatafta tutapata cos wote tutaongea lugha moja
 
mwambie kka akuambiaje???!!

Dah! Kudadadeki! Jamaa kaniotea pabaya sana, hakuna noma. Haya mapinduzi ya lugha wengine mpaka tuje humu au kupitia muziki. Sio fair kabisa

MziziMkavu kuna mtu eti hakujui wewe dokita bingwa namna hiyo wakati soon atahitaji huduma yako.

Atoto umeamua kunimaliza kisiasa naona. Kweli umenichoka. Anyway, nina msingi imara sana, so hizo mambo unazozungumzia mi hazitanihusu kamwe. It's too excess that it often brings an excessive amount of fussing.
 
Last edited by a moderator:
Atoto umeamua kunimaliza kisiasa naona. Kweli umenichoka. Anyway, nina msingi imara sana, so hizo mambo unazozungumzia mi hazitanihusu kamwe. It's too excess that it often brings an excessive amount of fussing.

Paulo bwana unaanzaga vizuriiii alafu unaishia kuharibu na hicho kingreza, we endelea tu kula hizo chipsi tu utaona kama hutomtafuta mzizi mkavu soon.
 
Back
Top Bottom