Mzee
Platinum Member
- Feb 2, 2011
- 13,620
- 5,867
Kipi kimemsibu Prof. Mlacha aliyekuwa DVC Udom
Habari za hapa!
Huyu Prof. Mlacha alikuwa ni DVC-Finance & Planning ktk Chuo kikuu Udom....
Huyu mzee anamiliki Shule ya Sekondari huko kwao Same- Kilimanjaro inaitwa Alikachenje S.S... Sasa anafungua chuo kinaitwa Kachenje Training Instute..
Shule zimefunguliwa juzi, Wafanyakazi hawajarudi. Yupo mkuu wa shule pekee..
Wafanyakazi wanadai mshahara tangu mwezi June....
Je huyu nayeye alikuwa ktk kundi la wapiga dili??
===============
Udate kutoka kwa Mlacha.
Leo ni week ya Pili wanafunzi hawajafundishwa baada ya Waalimu kugoma....
Wazazi wenye watoto Alikachenje pamoja na Serikali jarbu kuliingilia kati.
Amefungua Chuo kinaitwa Kachenje Training Institute...... Nacte na Tamisemi walisajili Chuo ambacho hakina Vyoo....
Mnataka wanafunzi na Waalimu wao wakajisaidie Porini???
Bahati nzuri Chuo kimefunguliwa Jumatatu lkn hadi leo hawajapata mtoto hata mmoja.....
More Update to come!
Habari za hapa!
Huyu Prof. Mlacha alikuwa ni DVC-Finance & Planning ktk Chuo kikuu Udom....
Huyu mzee anamiliki Shule ya Sekondari huko kwao Same- Kilimanjaro inaitwa Alikachenje S.S... Sasa anafungua chuo kinaitwa Kachenje Training Instute..
Shule zimefunguliwa juzi, Wafanyakazi hawajarudi. Yupo mkuu wa shule pekee..
Wafanyakazi wanadai mshahara tangu mwezi June....
Je huyu nayeye alikuwa ktk kundi la wapiga dili??
===============
Udate kutoka kwa Mlacha.
Leo ni week ya Pili wanafunzi hawajafundishwa baada ya Waalimu kugoma....
Wazazi wenye watoto Alikachenje pamoja na Serikali jarbu kuliingilia kati.
Amefungua Chuo kinaitwa Kachenje Training Institute...... Nacte na Tamisemi walisajili Chuo ambacho hakina Vyoo....
Mnataka wanafunzi na Waalimu wao wakajisaidie Porini???
Bahati nzuri Chuo kimefunguliwa Jumatatu lkn hadi leo hawajapata mtoto hata mmoja.....
More Update to come!