Kipaumbele Ni kuwa na kiongoz hewa na atawale wananchi hewa na nchi hewa na maamuzi hewa ...kipaumbele kitu kitu hewa
Atcl unachoona Ni hewa utasikia zimekufa
Viwanda huu mwaka sasa Ni hewa havijajengwa
Milion hamsini kila kijiji hakuna nazo hewaaa
Dodoma ndo huzuni tuliona Wazirì jaliwa akihamia ILA kila siku yupo magogoni ofis dodoma Ni hewaaaa
Tiziiiiiii Ni hewaaaaaaaa ndo tunachofikir
Imani yako imekuponya [HASHTAG]#prince[/HASHTAG] Luanda hahahahahahahahahahaUnamtafuta mchochez![]()
![]()
Aliimba hamza kalalaDar es salaama......tutabanana hapa hapa
Dodomaaaaaa
Wanakwenda na kurudi eeeee....
Sijui allimba nani wimbo huu!
Asante mkuu. Wimbo huu unaihusu serikali hii iliyotangaza kwa mbwembwe nyiiingi kuwa inahamia Dodoma. Cha ajabu kila siku tunasikia ving'ora kila siku huku Dar.Aliimba hamza kalala
