Kipaumbele cha Magufuli ni Ilani ya CCM

Kipaumbele cha Magufuli ni Ilani ya CCM

Usiwe mtu wa kuropoka Alishakwambia toka day one kuwa yeye ni mtu wa chama, hivyo ilani ya chama ndimo kuna vipaumble vya chama na si vya magufuri. Vipi ukawa babu ana vipaumbele vyake au vya cdm?

Hata kama kuna ilani ya chama, ni lazima Rais awe na vipaumbele vyake binafsi. Ndiyo maana marais wengine huwa wanafanikiwa zaidi kuliko wengine. Kuongoza nchi siyo kutekeleza irani ya chama tu!!

It seems akina January and the Kingwangallas have more vision of this country than "The Chosen One"
 
... vipao mbele vyake ni ilani ya chama .

Huyu jamaa hana "visheni yake binafsi"

ana fanya pale chama kitakapo muambia

Kwa hyo wakimwambia huu mradi weka gizani na pesa lete huku yani poa tu
 
magufuli hana vision yoyote yakuongoza taifa yan yeye hana alilopanga hatacmoja kchwan mwake anasubili ilani ya kifisadi
 
Hatujasahau na hatutasahau. Tunangoja UKAWA wamtaje jemadari wa kutuvusha. Tuko pamoja. Wana CCM wengi pia wanangoja jina la jemadari huyo kwani kwa mizengwe ya Dodoma, wameelewa kilichokuwa chama chao kilivyo! Watakiadhibu kwenye sanduku la kura kama mbwa mwizi!
 
Usiwe mtu wa kuropoka Alishakwambia toka day one kuwa yeye ni mtu wa chama, hivyo ilani ya chama ndimo kuna vipaumble vya chama na si vya magufuri. Vipi ukawa babu ana vipaumbele vyake au vya cdm?

Ilani ni vitu vilivyolaniwa na Mungu ndio maana Ukawa wanasema Mipango badala ya Ilani
 
Huyu jamaa anayo vision binafsi ila hataki kukurupuka kabla ya wakati na ndicho kilicho msaidia akapita.
... vipao mbele vyake ni ilani ya chama .

Huyu jamaa hana "visheni yake binafsi"

ana fanya pale chama kitakapo muambia
 
Usihukumu kwanza mabadiliko yanaletwa na watu Magufuli nae ni miongoni mwao.
 
Hata kama kuna ilani ya chama, ni lazima Rais awe na vipaumbele vyake binafsi. Ndiyo maana marais wengine huwa wanafanikiwa zaidi kuliko wengine. Kuongoza nchi siyo kutekeleza irani ya chama tu!!

It seems akina January and the Kingwangallas have more vision of this country than "The Chosen One"

Magufuli hana haja ya kuwa na vision. akichukua hotuba za Mwigulu na vitabu vya Tanzania Mpya na Kigwanomics akiunganisha na ilani ya ccm tayari atamaliza miaka kumi kwa amani kabisa
 
Yeye kama yeye hana kipaumbele . kipaumbele chake ni kutoiangusha ccm .
 
Duh! sasa kama yeye ni magufuri a.k.a kufuri asubili ukawa wanayo funguo.
 
Usiwe mtu wa kuropoka Alishakwambia toka day one kuwa yeye ni mtu wa chama, hivyo ilani ya chama ndimo kuna vipaumble vya chama na si vya magufuri. Vipi ukawa babu ana vipaumbele vyake au vya cdm?
Ilani ya chama chenu na maPadlock si utapeli wa wananchi waliowajinga kama wewe,wizi wa kura ambao tunaweza kutafsiri kuwa udikteta.
Yeye sera zake anazo na lazima ataziendeleza mfano barabara mbovu zisizo na viwango,kupenda sifa za kijinga,kuuza na kugawa nyumba za serikali kwa hawara kama alivyofanya pale ubungo.Kuingiza serikali hasara kama alivyofanya ile kesi iliyoitwa samaki wake ( Magufuli).,kesi ya ubomoaji kule mbezi barabara ya Morogoro nk.

 
Pure nomaa umamaanisha tuache kuchagua viongozi kabisa kwa sababu tuna matatizo?
 
Last edited by a moderator:
Magufuri hakuwa na vision yoyote kwa taifa hili na wala hakutegemea kama kuna cku ingetokea apendekezwe na CHAMA chake kuwa MGOMBEA wa Urais.Kwa hiyo tusitegemee jipya kutokea kwa mapadlocks.Ile kwake imetokea kama vile ile nafasi imekosea njia.
 
Hivi Magufuli akitekeleza vipaumbele vyake yeye mwenyewe nani atamu- evaluate hapo mwisho wa uongozi wake???

Magufuli anatumwa na CCM ili ainadi ilani ya CCM!
Na akishinda basi ahakikishe anaitekeleza na mwisho wa siku arudishe ripoti ni jinsi gani ameitekeleza ilani hiyo!
Sasa wewe mtoa mada bado una akili za kitoto na kishabiki ni vyema kama mambo huyajui uka kaa kimya!!
 
Back
Top Bottom