Kipaumbele cha Magufuli ni Ilani ya CCM

Kipaumbele cha Magufuli ni Ilani ya CCM

Fagio la chuma
Kuondoa walioteuliwa kwa ushkaji
Ku restructure govmt instutions
 
Ha ha ha walahi toka tuwe na wagombea Tz ndo tumempata katapila ambaye hana dira wala mwelekeo.
 
Vision ya Tanzania mpaka sasa ni ile ya Vision 2025. strategies ni zile za MKUKUTA, haya development plan hipo. Kama ilani ya uchaguzi ya CCM imezingatia Vision 2025, 15 year Development plan, na MKUKUTA II, mnataka maghufuli asemeje? Aseme tofauti ili mseme haeleweki?
 
Anasubiri ccm wamwambie. Tena atakuwa kama Sita kwenye bunge la katiba au Mama Makinda kwenye uspeaker. Kitakachotakiwa na ccm ndicho atakachokifanya.

"Chama Chetu Kwanza", Taifa baadaye"

"Wapigwe tu maana tumechoka", hakuna katiba wala kanuni za kuongoza nchi.

" Tulindane na kufichiana maovu".

"Mafisadi tuwasafishe"

"Shusha kiwango cha elimu nchini, ili watoto wetu wapate elimu nje, kusudi watawale milele".

"Imarisha udini serikalini ili tujenge support kwenye kundi moja".

"Imarisha ujinga watu wasipate taarifa muhimu ili wasihoji". "Atakayehoji maamuzi yetu, TISS wamalizane naye".

"Hakuna kukubali hoja yoyote ikitolewa na upinzani hata kama inauzito gani, huu ndiyyo msimamo wa chama chetu".

"Ongeza kodi kwa mafanyakazi ili tupate fedha nyingi za kutumia".

"Hakikisha jeshi la polisi muda wote linalinda watawala na ccm kila mahali".

"Weka mahakama mfukoni ili pasiwe na maamuzi mazito dhidi yetu".

"Endeleza mahusiano na kule huwa tunaendaga kucharge nyota zetu".

"Usisahau kuwalinda waganga wetu wa jadi kwa kuwa huwa ni wa msaada sana hasa nyakti ngumu. Ndiyo maana kwemye BMK, tuliwapa kiti maalumu".

"KAMWE USIKUBALI RASIMU YA KATIBA YA WARIOBA KUZUNGUMZIWA. MARA BAADA YA KUAPISHWA, PITISHA ZOEZI LA KURA ZA MAONI YA KATIBA YETU MPYA WAKTI WATANZANAI BADO WANAMAWAZO YA KUSHINDANIA VYAMA, WAKIWA WAMESAHAU UTAIFA. KAMWE KAMWE USIJE UKAKUBALI KUWA NA TUME HURU YA UCHAGUZI, NA USIRUHUU MABADILIKO YOYOTE YA SHERIA YA UCHAGUZI NA MADARAKA YA RAISI YASIGUSWE ILI TUSIJE KUPOTEZA ULINZI WA MFUM WETU TULIOUIMARISHA KWA MIAKA 50 SASA.

Magufli atasema "Chama Chetu Kwanza", kama mlivyosema. Ninakiapo cha kutekeleza matakwa ya ccm na sima lingine. Kama mlivyosema. Atakayekataa kufuata, maagizo yenu, haki ya nani atoroke nchi usiku, ama la, atawafuata wale tuliowashughulikia. Sima masikhara kwa masuala ya chama!.

Feedback mtapata. Kikao kimeahirishwa!. CHAMA CHETU KWANZA, TANZANIA BAADAYE SANA, KAMA FURSA ZIATARUHUSU!.
 
hana lolote, kama kweli ni kiongozi sahihji kwa wakati huu wa tanzania anapaswa awe na cha kuongea ambacho obvious kitapaswa kiwe kwenye ilani pia, mambo ya kuongea kuwa nitatekeleza ilani ya chama bila kuonyesha yeye moyo wake unataka nini ni ishara ya awali kuwa Magufuli is nothing but CCM ile ile iliyotukalia kooni 54 years. Amka Tanzania!
 
Wanajamvi mnisaidieni Magufuri anaulizwa kipaumbele chake,anasema ni Ilani ya CCM.Huyu mtu kweli amejiandaa au anajua anachotakiwa kufanya?

Chanzo: EATV
Dogo soma hii
"Mwanzoni mwa mwezi huu, Jaji Warioba alieleza kasoro mbili zilizoibuka katika mchakato huo (wa kutafuta mgombea wa CCM) kuwa ni pamoja na baadhi ya wagombea kueleza sera zao, wakati wakijua wazi kuwa sera za CCM ziko kwenye ilani yake ya uchaguzi"
Sasa dogo jaribu kushughulisha ubongo kidogo ili kupunguza pumba kama huu Uzi wako hapa!!!
 
Raisi razima awe na jambo atakalokumbukwa.Magufuri hajui atafanya nini?Hii razima tuiangalie kwa makini tusije tukatawaliwa na Roboti.

Atawejengea barabara za juu...
 
Kwani yeye ni mgombea binafsi mpaka awe na vipaumbele vyake ama mlizinguliwa na Lowassa aliyejileta kama ngama iliyokosa dereva?
 
magufuli hana haja ya kuwa na vision. Akichukua hotuba za mwigulu na vitabu vya tanzania mpya na kigwanomics akiunganisha na ilani ya ccm tayari atamaliza miaka kumi kwa amani kabisa

no wonder the country is going nowhere .................!!!
 
Yaani hii nchi cjui nani kailoga na watu wake
Yaani tumesha sahau
ESCROW
EPA
RICHMOND
KAGODA
BUZWAGI
MEREMETA
TEMBO KUUAWA
TWIGA KUPANDA NDEGE
MISAMAHA YA MADINI
MISWADA YA HOVYO YA GESI NA MAFUTA
KUPANDISHWA HOVYO BEI YA MAFUTA
WATOTO KUKAA CHINI
AKINA MAMA KUZALIA CHINI
MATAJIRI KUTHAMINIWA
UBOVU WA BARABARA
UBOVU WA RELLI
UHABA WA MAJI SAFI NA SALAMA
KUUZWA BENKI YA TAIFA
KUUZWA KWA SHIRIKA LA NDEGE
KUUZWA KWA NYUMBA ZA TAIFA
KIWIRA COAL MINE
UKOSEFU WA DAWA HOSPITALI ZA UMMA
KUSHUKA KWA ELIMU
MIGOMO YA WAALIMU NA MADAKTARI
MIGOMO YA WANAFUNZI
MIGOGORO YA ARDHI KUTOKANA NA SERIKALI
KUWATHAMINI WAWEKEZAJI WA KIGENI
KUHODHI VIWANJA VYA MICHEZO
KUHODHI MAJJENGO YA UMMA
KULINDA WEZI, MAFISADI NA WAHUJUMU UCHUMI
KUUA VIWANDA ALIVYO VIJENGA MWALIMU
NYERERE
KUUA MASHIRIKA YA UMMA
KUONGEZA MATABAKA KWA WANANCHI
KUUA WANAHARAKATI NA WAANDISHI WA HABARI
( MWANGOSI)
KUPITISHA RASIMU ISIO YA MUAFAKA
ILIYO
FEKI
HIvyo basi,
nashangazwa na watu waelewa humu wanaosema
magufuli jembe
Wakati yupo serikalini tangu 1995
Ndani ya ccm
Nani ametuloga ??
Hapa magufuli ni pombe ile ile kwenye chupa
mpya.
Maskini Tz
Au elimu ya uraia tatizo ???
 
Ilani ya CCM ni wizi, ufisadi, kutokuwajibika, rushwa.
Wakikumbuka ndo watawaletea maendeleo kiduchi.
 
Ni aibu rais kuonesha nia wakati hana vision na mission ya serikali atakayoiongoza.
CCM wamefanya urais kuwa mwepesi sana.
Aibu sana.
 
Mimi nakubaliana na wewe miamia Mimi nadhani haya ni matumizi mabaya ya vipaji magufuli ana kipaji cha kutumwatumwa na kupewa maagizo na huyasimamia kwa ukamilifu PM ndo ilikuwa saizi yake

teh teh teh hii comment imenichekesha sana
 
j k onyeeeee

mm nimtu wawatu

nitawatumikia watu

sibagu chama wala kabla

walimu wote nitawapa compture

ongeza vyakwako
 
Sitawaangusha wanaccm wenzangu,yale makampuni yenu hewa yataendelea kuwepo kama kawaida kupata faida!
 
Back
Top Bottom