Kipaumbele cha Magufuli ni Ilani ya CCM

Kipaumbele cha Magufuli ni Ilani ya CCM

baada ya kufanya sensa ya samaki nitafanya sensa pia za mbu,panya na nitawapa mpka idada ya nywele zenu kichwani ,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,, ccm oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
John pombe magufuli ameahidi atakapo kuwa raisi atagawa laptops kwa kila mwalimu nchini na pia atagawa sh. 50 mil kwa kila kijiji kwa ajili ya maendeleo ya kijiji.
Je? Unauga mkono kauli yake
 
Ujuavyo sivyo, kuna nchi ilani inatolewa na mgombea kama Marekani, lakini kwa Tanzania mgombea anayewakilisha chama anaenda kuuza kile ambacho chama kimepanga kifanyike, kumbuka chama ni jumuiya ya watu,wanakaa na kukubalina ni kipi kifanyike kwa wakati fulani, juzi wamepitisha ilani ya CCM 2015-2020, anayeibeba ilani hii ni mgombea urais.

Ni wajibu wake kuhakikisha anawaelewesha wananchi kilichopo kwenye ilani na akishinda akatekeleze yote yaliyopo kwenye ilani, ilani inabeba kila kitu unachokiwaza wewe,kipo mle Iwe utawala bora, iwe mapambano ya rushwa, iwe kilimo, iwe fursa kwa vijana na wanawake, elimu n.k vyote vipo mle...wajibu wake ni kuhakikisha hayo anayatekeleza vizuri na kwa kasi

Umejibu vyema, nadhani kwa wakati tulionao mgombea inabidi ajipambambanue yeye mwenyewe na malengo yake na kile atakachofanya akiwa Rais. Chama kinaweza kuwa na vipaumbele ambavyo sio muhimu kwa wananchi, sasa akija na mipango/sera/ilani ya chama ambayo haikidhi haja za wananchi ni wazi kuwa
''He is preparing to fail''
Kwa chama hichi hichi kilichoshindwa kutekeleza ilani yake kwa miaka 20 iliyopita, Magufuli alipaswa kuona mbali na kuja na ''ilani'' yake japo ingesimama kama ilani ya chama lakini yeye ndiyo aweke mambo anayotaka kufanya, hata kama mambo ya chama yatakuwepo basi shemu kubwa iakisi mipango yake.
Ni hatari kuwa na mgombea ambaye hana sera yake, maono yake, mipango yake na njozi zake.
 
Rais wa wapi? Labuda wa fm academiwa baada kusilimishwa kuwa msanii wiki iliyopita.
 
Awalipe kwanza haki zao wanyonge waliohamishwa makazi na kulipwa asilimia moja ya thamani ya nyumba zao
 
hamna kitu umoo.atawapata walimu washamba wa laptop.ila wajanja wataenda kwa lowasa
 
Kama kweli anajali sekta ya elimu na siyo anatafuta kura za waalimu aanzie hapa kabla ya laptop

1439451274515.jpg
1439451356902.jpg
1439451387155.jpg
1439451406463.jpg
1439451471879.jpg
1439451495983.jpg
 
Ni hatari sana kwa mgombea kutojua matatizo ya msingi ya waalimu. Mbaya zaidi, aliwahi kuwa mwalimu na mke wake ni mwalimu. Je sekta nyingine itakuwaje? Ukiona mchungaji anasubiri Biblia ndipo ahubiri ujue kuna tatizo.

Aanze pia na stahiki zao ikiwa ni pamoja na malimbikizo ya mishahara yao na madeni mengine

Think tank ya CCM sijui imekuwaje....wanafikiri kichawichawi tu bila vipaumbele.....
 
Back
Top Bottom