usafiri hakuna
usafiri hakuna
Holili kumefungwa
Namanga kumefungwa
Rusumo kumefungwa
Rubondo kumefunguliwa..
Jr
Anatudai bado... Tumlipe asepeTumemfungia virago vyake lakini jamaa amekomaa na sisi ni humu humu tu.
Mimi naona kazi ndio inatuchapaWanasema tuko vizuri. Tuchape kazi tu mkuu.
Siku 14 tumezembea kujifungia, tutafungiwa miezi kama sio miaka kadhaa.usafiri hakuna
Holili kumefungwa
Namanga kumefungwa
Rusumo kumefungwa
Rubondo kumefunguliwa..
Jr