Umslopagazi
JF-Expert Member
- May 16, 2013
- 1,737
- 935
Wewe Mmawia lini uliwahi kuwa na akilli Sawa? We akilli zako Sawa na za nyumbu Tu.Naomba tuwache wenye akili sawa tuendelee na mjadala husika wenye manufaa kwa taifa.
Wewe Mmawia lini uliwahi kuwa na akilli Sawa? We akilli zako Sawa na za nyumbu Tu.Naomba tuwache wenye akili sawa tuendelee na mjadala husika wenye manufaa kwa taifa.
Mind my word INASEMEKANA..!!Huyu mzungu alitoka nchi gani asiejua kwamba tunaishi chini ya$1 kwa siku, mpaka afanye utafiti.
Takukuru hawapo genuine ndio maana mwaka mzima unaisha hujasikia askari amekamatwa kwa kula rushwa wakati daily wananchi wanalalamika kuwa askari ni wala rushwa. Takukuru wanazikanyagia chini kila taarifa za rushwa zinapofikishwa kwao.Matrafiki wote ni wezi na wala rushwa wakubwa katika Tanzania.
Takukuru kama wapo "genuine" waweke kitengo cha kufatilia matrafiki (mapolisi kwa ujumla) wa Tanzania na mali walizonazo kama zinaendana na vipato vya mishahara yao.
Mawee.
Kabisa ni watu wa hovyo sn halafu wanadharau kupita kiasiDah! Ila kiukweli askari wa usalama barabarani wanakera sana. I wish wasingekuwepo kabisa, halafu ziwekwe tu camera za cctv kote nchini, za kuangalia mienendo ya madereva wawapo barabarani.
Kwanini kusifungwe camera barabarani? maana hawa ni tatizo kubwa kuliko hata ajali zenyeweMatrafiki wote ni wezi na wala rushwa wakubwa katika Tanzania.
Takukuru kama wapo "genuine" waweke kitengo cha kufatilia matrafiki (mapolisi kwa ujumla) wa Tanzania na mali walizonazo kama zinaendana na vipato vya mishahara yao.
Mawee.
Takukuru wenyewe ni wala rushwa yaani unamwambia mla rushwa mkubwa amchunguze mla rushwa mdogoMatrafiki wote ni wezi na wala rushwa wakubwa katika Tanzania.
Takukuru kama wapo "genuine" waweke kitengo cha kufatilia matrafiki (mapolisi kwa ujumla) wa Tanzania na mali walizonazo kama zinaendana na vipato vya mishahara yao.
Mawee.
Mbaya zaidi, tafiti huwa zinafanywa na huwa yanatoka matokeo yaliyopangwa kwa mtiririko kati ya taasisi za serikali ipi inaongoza kwa rushwa na ipi ya mwisho. Lakini pamoja na hayo, bado TAKUKURU hawajawahi washikilia wahusika kwa rushwaTakukuru hawapo genuine ndio maana mwaka mzima unaisha hujasikia askari amekamatwa kwa kula rushwa wakati daily wananchi wanalalamika kuwa askari ni wala rushwa. Takukuru wanazikanyagia chini kila taarifa za rushwa zinapofikishwa kwao.
Kesi ya nyani kula mahindi ya mkulima, anapelekewa ngedere..!!Takukuru wenyewe ni wala rushwa yaani unamwambia mla rushwa mkubwa amchunguze mla rushwa mdogo
Wale ni rushwa hakuna cha madeni wala nini?Sasa kazi ya traffic si kuangalia na madeni ya gari yanayohusu field yao ?!!!
Wao lazima wafunge hesabu ya sikuUkitaka kuwafaidi panda mabasi ya mkoa ndiyo utajua kuwa rushwa ipo sana barabarani
Haitatokea meno ya mbwa yaumizaneMbaya zaidi, tafiti huwa zinafanywa na huwa yanatoka matokeo yaliyopangwa kwa mtiririko kati ya taasisi za serikali ipi inaongoza kwa rushwa na ipi ya mwisho. Lakini pamoja na hayo, bado TAKUKURU hawajawahi washikilia wahusika kwa rushwa
Matumbo yao yanadhihirisha kubwa ni wezi, hayalingani na vipato na vyao halaliMatrafiki wote ni wezi na wala rushwa wakubwa katika Tanzania.
Takukuru kama wapo "genuine" waweke kitengo cha kufatilia matrafiki (mapolisi kwa ujumla) wa Tanzania na mali walizonazo kama zinaendana na vipato vya mishahara yao.
Mawee.
Mi wananifurahishaga wanavyokuwa wanatembea barabarani wakiwa wamesimamisha magari bila ya tahadhari yoyote kama wako sebuleni kwao vile

