Kipanya awashukia askari wa trafiki

Kipanya awashukia askari wa trafiki

Kamuage mkewe kuwa subiri nitakutumia pesa ya mboga, konda unatakiwa utoe pesa ya mboga.
 
Lisemwalo lazima litakuwepo tu.

Ukiwa ni dereva utakubaliana na mawazo ya kipanya kuwa sass traffic wanafanya kazi ya TRA.

Ukiona wanalisimamisha gari kazi ya kwanza kuifanya ni kuangalia kama gari lako linadaiwa.

Wao akili zao wote ni kuangalia madeni na kukupiga faini tu hata kama gari lina mapungufu hawajali.

Hongera sana kipanya kwa kuendelea kuibua mapungufu kwenye jamii yetu ya watanzania.

View attachment 2627210
Polisi wanayo haki yote ya kuhakikiksha kuwa watu wanalipa faini za traffic cases zinazowapelekea madereva kupigwa faini.

Kwani wewe raia uliyepigwa faini na Polisi usipoilipa, waoTRA wanaweza kukupata wapi ili ulipe hela ya Serikali?
 
Matrafiki wote ni wezi na wala rushwa wakubwa katika Tanzania.

Takukuru kama wapo "genuine" waweke kitengo cha kufatilia matrafiki (mapolisi kwa ujumla) wa Tanzania na mali walizonazo kama zinaendana na vipato vya mishahara yao.

Mawee.
Takukuru wenyewe wanakula rushwa, kwa ufupi taasisi zetu zote za kimamlaka zina uadilifu duni
 
Matrafiki wote ni wezi na wala rushwa wakubwa katika Tanzania.

Takukuru kama wapo "genuine" waweke kitengo cha kufatilia matrafiki (mapolisi kwa ujumla) wa Tanzania na mali walizonazo kama zinaendana na vipato vya mishahara yao.

Mawee.

Unamuwekea mtu masharti kibao wakati mshahara 180000 na pension milion 17
 
Umetoa gari yako mbovu ndani umeipeleka barabarani kwa makusudi yako na umehonga trafic pesa na bado tena unataka ufanyike utafiti wa nn chanzo cha ajari daah hii akili naiona Africa tu
YAANI WE NI MSHAMBA KABISA...yaani gari mbovu ndio zinapata ajali... kwanza ni marachache sana gari mbovu kupata ajali speed huwa ipo chini kwa uzoefu wangu niliwahi kupata ajali na gari yangu mpya chanzo kilikuwa ni usingizi na wala sio pombe.. huo ni mfano kwa hio yapo mengi kama gari mbovu ndio ziznpata ajali ungeweka uzoefu wako binti weye..
 
Matrafiki wote ni wezi na wala rushwa wakubwa katika Tanzania.

Takukuru kama wapo "genuine" waweke kitengo cha kufatilia matrafiki (mapolisi kwa ujumla) wa Tanzania na mali walizonazo kama zinaendana na vipato vya mishahara yao.

Mawee.
Hao traffic wanatumwa na wakubwa zao ,wakubwa zao wana mgao inaopatikana kwa rushwa wanazochukua

Nchii ngumu sana hii

Ova
 
Hao traffic wanatumwa na wakubwa zao ,wakubwa zao wana mgao inaopatikana kwa rushwa wanazochukua

Nchii ngumu sana hii

Ova
Wananchi hatuna sehemu ya kukimbilia maana kila idara ni rushwa kwenda mbele
 
Ushauri wangu ni kwa madreva wote tungeamua kuwa ukikamtwa na traffic basi waambie wakundkie notification tu hakuna kukubali kuwapoza.
NILIWAHI KUSEMA HUMU

KAMA WENYE MAGARI WANAPATA KERO KUTOKA KWA MATRAFIK
KWANINI ISITOKE SIKU MOJA
WATU WOTE WAYAPAKI MAGARI YAO TU

OVA
 
Ingekuwa wana fanya kazi zao kiweledi na kwa nidhamu ya kweli haina tatizo.

Panda bus alafu uwe viti vya mbele kukuwezesha kuona kinachofanyika pale bus lnavyokaribia check point za matrafick.

Wanachukua noti wanaiviriga kwenye karatasi akifika pale wanairusha chini .

Hiyo ni njia ya kutoa hongo na halina uficho
Kila basi wakifika kituo fulani wanatoa
2000 na hiyo hela mgawanyo wake
Unakwenda mpaka kwa wakubwa zao

Nchi ngumu hiii

Ova
 
YAANI WE NI MSHAMBA KABISA...yaani gari mbovu ndio zinapata ajali... kwanza ni marachache sana gari mbovu kupata ajali speed huwa ipo chini kwa uzoefu wangu niliwahi kupata ajali na gari yangu mpya chanzo kilikuwa ni usingizi na wala sio pombe.. huo ni mfano kwa hio yapo mengi kama gari mbovu ndio ziznpata ajali ungeweka uzoefu wako binti weye..
Nafikiri ana point ila jinsi ya kuiandika hapa amechanganya au ame generalize sana.

Ujue kuna magari ni mazima kabisa lkn yana mapungufu makubwa kwenye 1.Mataili.
2.mapungufu kwenye breki
3.Taa mbovu nk
 
NILIWAHI KUSEMA HUMU

KAMA WENYE MAGARI WANAPATA KERO KUTOKA KWA MATRAFIK
KWANINI ISITOKE SIKU MOJA
WATU WOTE WAYAPAKI MAGARI YAO TU

OVA
Ni vigumu sana kupaki gari lako maana linakuwezesha kufika kibaruani kwako.

Wengine ndiyo hilo gari linatafuta mkate wa kila siku kwa familia na kodi ya nyumba na Ada za shule .
 
Back
Top Bottom