Kipanya awashukia askari wa trafiki

Kipanya awashukia askari wa trafiki

Matrafiki wote ni wezi na wala rushwa wakubwa katika Tanzania.

Takukuru kama wapo "genuine" waweke kitengo cha kufatilia matrafiki (mapolisi kwa ujumla) wa Tanzania na mali walizonazo kama zinaendana na vipato vya mishahara yao.

Mawee.
Hapo kwenye kulinganisha kipato na mali, SIJUI KAMA KUNA KIONGOZI ATAPONA, INCLUDING TAKUKURU WENYEWE..!!
 
Kila basi wakifika kituo fulani wanatoa
2000 na hiyo hela mgawanyo wake
Unakwenda mpaka kwa wakubwa zao

Nchi ngumu hiii

Ova
Ukitaka kuwafaidi panda mabasi ya mkoa ndiyo utajua kuwa rushwa ipo sana barabarani
 
Matrafiki wote ni wezi na wala rushwa wakubwa katika Tanzania.

Takukuru kama wapo "genuine" waweke kitengo cha kufatilia matrafiki (mapolisi kwa ujumla) wa Tanzania na mali walizonazo kama zinaendana na vipato vya mishahara yao.

Mawee.
Musiwaonee Matrafiki peke yao, Watumishi wengi wanakula kwa urefu wa kamba zao, office zote za Umma bila kitu kidogo hudumiwi kwa haraka!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Tanzania huwezi kumpata mtumishi mwenye kipato halali kulingana na mshahara wake.
Inasemekana, kuna mzungu aliwahi kuja kufanya utafiti kati mali za watumishi, kipato nje ya mishahara na kulinganisha gharama za maisha kwa ujumla. Ikaone, kwa kutegemea mishahara pekee, WENGI TUNGEKUWA TUMESHAKUFA
 
Ili kuuondoa ufisadi Tanzania ibabidi serikali ije na utaratibu na sheria kali kabisa, za kuuwana bila kuoneana haya.
Kama China tu..!! Ukikamatwa umefisadi na ushahidi upo, unanyongwa hadi ufe. Inasemekana, mchina aliyesimamia ujenzi wa uwanja wa taifa, wachina wenyewe wamemnyonga. Maana uwanja umejengwa tofauti na ulivyokuwa ujengwe (tofauti na design). Ulitakiwa uwe na maduka pale chini na makorokocho mengine. Wabongo alioshirikiana nao wapo kitaa na wanadunda kama kawa, wakati mwenzao huko China keshanyongwa hadi kufa.
 
Inasemekana, kuna mzungu aliwahi kuja kufanya utafiti kati mali za watumishi, kipato nje ya mishahara na kulinganisha gharama za maisha kwa ujumla. Ikaone, kwa kutegemea mishahara pekee, WENGI TUNGEKUWA TUMESHAKUFA
Kwahiyo tukaamua kuhalalisha ufisadi ili tusife?
 
Kama China tu..!! Ukikamatwa umefisadi na ushahidi upo, unanyongwa hadi ufe. Inasemekana, mchina aliyesimamia ujenzi wa uwanja wa taifa, wachina wenyewe wamemnyonga. Maana uwanja umejengwa tofauti na ulivyokuwa ujengwe (tofauti na design). Ulitakiwa uwe na maduka pale chini na makorokocho mengine. Wabongo alioshirikiana nao wapo kitaa na wanadunda kama kawa, wakati mwenzao huko China keshanyongwa hadi kufa.
Tanzania ufisadi unaheshimika
 
Musiwaonee Matrafiki peke yao, Watumishi wengi wanakula kwa urefu wa kamba zao, office zote za Umma bila kitu kidogo hudumiwi kwa haraka!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Yaani wewe na sukuma gang wenzako mnakuwa na upinzani wa kijinga hata kwenye mambo ya msingi
 
Lisemwalo lazima litakuwepo tu.

Ukiwa ni dereva utakubaliana na mawazo ya kipanya kuwa sass traffic wanafanya kazi ya TRA.

Ukiona wanalisimamisha gari kazi ya kwanza kuifanya ni kuangalia kama gari lako linadaiwa.

Wao akili zao wote ni kuangalia madeni na kukupiga faini tu hata kama gari lina mapungufu hawajali.

Hongera sana kipanya kwa kuendelea kuibua mapungufu kwenye jamii yetu ya watanzania.

View attachment 2627210
Yaani we umeandikiwa faini halali, hutaki kulipa, mpaka inafika kikomo, unataka wakuachie uende Tu!!? Lipeni madeni ya serikali bana, acheni kumbwelambwela, huna hela uza gari, sio kupiga majungu
 
Tanzania ufisadi unaheshimika
Ni kweli, na ndiyo maana hukawii kumsikia kiongozi mkubwa kabisa anatajwa kwenye kila kashfa, halafu yeye anajibu simple tu, VIJISENTI..!! Mwingine unamsikia anasema HICHO NI KIASI CHA MBOGA TU..!! Na pamoja na kauli hizo, wanaachwa kitaa wakiendeleza matukio
 
Yaani we umeandikiwa faini halali, hutaki kulipa, mpaka inafika kikomo, unataka wakuachie uende Tu!!? Lipeni madeni ya serikali bana, acheni kumbwelambwela, huna hela uza gari, sio kupiga majungu
Naomba tuwache wenye akili sawa tuendelee na mjadala husika wenye manufaa kwa taifa.
 
Ni kweli, na ndiyo maana hukawii kumsikia kiongozi mkubwa kabisa anatajwa kwenye kila kashfa, halafu yeye anajibu simple tu, VIJISENTI..!! Mwingine unamsikia anasema HICHO NI KIASI CHA MBOGA TU..!! Na pamoja na kauli hizo, wanaachwa kitaa wakiendeleza matukio
Inasikitisha sana
 
Inasemekana, kuna mzungu aliwahi kuja kufanya utafiti kati mali za watumishi, kipato nje ya mishahara na kulinganisha gharama za maisha kwa ujumla. Ikaone, kwa kutegemea mishahara pekee, WENGI TUNGEKUWA TUMESHAKUFA
Huyu mzungu alitoka nchi gani asiejua kwamba tunaishi chini ya$1 kwa siku, mpaka afanye utafiti.
 
Back
Top Bottom