Kipanya awashukia askari wa trafiki

Kipanya awashukia askari wa trafiki

Ila hizo rushwa nazo zinakera. Wamekuwa wanawavizia sana madereva wawapo barabarani, ili tu kutengeneza mazingira ya kupokea rushwa.

Kiufupi hawa watu ni kero kubwa kwa madereva wa magari.
Mimi wakinikamata huwa nawaaambia hapo hapo andika notification,huwa nawakera sana kuwaambia waandike notification
 
pamoja na kuiongeza wingi wa trafic polisi hawajapunguza idadi ya ajalia sana sana wameongeza wigo wa gari mbovu kuendelea kutembe mitaani..hasa za abiria hapa mitaa ya shy kahama nzega ukitoa gari yako unachange noti za 1000 au 2000 kila kituo unaacha 2000 kituo ambacho kuna soko au gulio siku hio mfano polisi wa siaka siku ya jmosi na didia siku ya j3 na tinde siku ya j4 lazima uwape 5k kwa siku tajwa kituo tajwa maana rout za hapo zitakuwa nyingi na utafanya makosa mengizaidi na watafumba macho vituo vyengine utawaachia elfu mbili kwa siku..tembeza buti ikiwa wazi au mzigo na abiria hakuna wa kukusemesha...mi naona wasingekuwepo kabisa na utafiti ungefanyika nini kinasababisha ajali kama ni speed wafungiwe vingamuzi kama vya sumatra atakayezidisha anakutana na faini juu kwa juu....
 
pamoja na kuiongeza wingi wa trafic polisi hawajapunguza idadi ya ajalia sana sana wameongeza wigo wa gari mbovu kuendelea kutembe mitaani..hasa za abiria hapa mitaa ya shy kahama nzega ukitoa gari yako unachange noti za 1000 au 2000 kila kituo unaacha 2000 kituo ambacho kuna soko au gulio siku hio mfano polisi wa siaka siku ya jmosi na didia siku ya j3 na tinde siku ya j4 lazima uwape 5k kwa siku tajwa kituo tajwa maana rout za hapo zitakuwa nyingi na utafanya makosa mengizaidi na watafumba macho vituo vyengine utawaachia elfu mbili kwa siku..tembeza buti ikiwa wazi au mzigo na abiria hakuna wa kukusemesha...mi naona wasingekuwepo kabisa na utafiti ungefanyika nini kinasababisha ajali kama ni speed wafungiwe vingamuzi kama vya sumatra atakayezidisha anakutana na faini juu kwa juu....
Kama unatako kuona kero za hao watu piga safari ndefu kati moshi arusha babati wale traffic ni kero wajifisha mpaka vichakani ili akupige picha atumie mwenzie mbele fine 30k rushwa10k maamuzi ni wewe tu, olewako uwape leseni ya udereva mapema.....safari moja fine zaidi ya nne loh, wamekua kama tawi la TRA hatuna proffessional police kabisa.
 
pamoja na kuiongeza wingi wa trafic polisi hawajapunguza idadi ya ajalia sana sana wameongeza wigo wa gari mbovu kuendelea kutembe mitaani..hasa za abiria hapa mitaa ya shy kahama nzega ukitoa gari yako unachange noti za 1000 au 2000 kila kituo unaacha 2000 kituo ambacho kuna soko au gulio siku hio mfano polisi wa siaka siku ya jmosi na didia siku ya j3 na tinde siku ya j4 lazima uwape 5k kwa siku tajwa kituo tajwa maana rout za hapo zitakuwa nyingi na utafanya makosa mengizaidi na watafumba macho vituo vyengine utawaachia elfu mbili kwa siku..tembeza buti ikiwa wazi au mzigo na abiria hakuna wa kukusemesha...mi naona wasingekuwepo kabisa na utafiti ungefanyika nini kinasababisha ajali kama ni speed wafungiwe vingamuzi kama vya sumatra atakayezidisha anakutana na faini juu kwa juu....
Wazo zuri sana ndugu mchangiaji badala ya kupunguza ajali wao wanazidisha
 
Dah! Ila kiukweli askari wa usalama barabarani wanakera sana. I wish wasingekuwepo kabisa, halafu ziwekwe tu camera za cctv kote nchini, za kuangalia mienendo ya madereva wawapo barabarani.
Madereva hawataki hawa watoke barabarani! Ndiyo hivyo, usishangae.
 
Kama unatako kuona kero za hao watu piga safari ndefu kati moshi arusha babati wale traffic ni kero wajifisha mpaka vichakani ili akupige picha atumie mwenzie mbele fine 30k rushwa10k maamuzi ni wewe tu, olewako uwape leseni ya udereva mapema.....safari moja fine zaidi ya nne loh, wamekua kama tawi la TRA hatuna proffessional police kabisa.
Ushauri wangu ni kwa madreva wote tungeamua kuwa ukikamtwa na traffic basi waambie wakundkie notification tu hakuna kukubali kuwapoza.
 
Lisemwalo lazima litakuwepo tu.

Ukiwa ni dereva utakubaliana na mawazo ya kipanya kuwa sass traffic wanafanya kazi ya TRA.

Ukiona wanalisimamisha gari kazi ya kwanza kuifanya ni kuangalia kama gari lako linadaiwa.

Wao akili zao wote ni kuangalia madeni na kukupiga faini tu hata kama gari lina mapungufu hawajali.

Hongera sana kipanya kwa kuendelea kuibua mapungufu kwenye jamii yetu ya watanzania.

View attachment 2627210
Sijawai kusimamishwa na traffic akanambia naomba kukagua gari yako hawakagui tires,hand sign ,taaa ,honi ,mikanda ,breki za magari wakikusimamisha 1st think ni kudai leseni ili usiwe na nguvu ya kuondoka..
 
Sijawai kusimamishwa na traffic akanambia naomba kukagua gari yako hawakagui tires,hand sign ,taaa ,honi ,mikanda ,breki za magari wakikusimamisha 1st think ni kudai leseni ili usiwe na nguvu ya kuondoka..
Umeonaeeeeeee?
 
Back
Top Bottom