Kipanya awashukia askari wa trafiki

Kipanya awashukia askari wa trafiki

Kipanya ni mnafiki,ina maana hakuona hali ilivyokuwa wakati wa Jiwe! Wakati huo kila sekta ya umma iligeuka TRA sasa hivi afadhali kidogo lakini yeye anajifanya hilo jambo limezuka sasa hivi wakati wa Rais Samia!
 
Matrafiki wote ni wezi na wala rushwa wakubwa katika Tanzania.

Takukuru kama wapo "genuine" waweke kitengo cha kufatilia matrafiki (mapolisi kwa ujumla) wa Tanzania na mali walizonazo kama zinaendana na vipato vya mishahara yao.

Mawee.
Hata hao Takukuru wenyewe ni shida tu. Umewahi kuona Watuhimiwa wa Rushwa wakidakwa?? Sana sana Mahakimu wa Mahakama ya Mwanzo na sio wala rushwa wakubwa.
 
Hata hao Takukuru wenyewe ni shida tu. Umewahi kuona Watuhimiwa wa Rushwa wakidakwa?? Sana sana Mahakimu wa Mahakama ya Mwanzo na sio wala rushwa wakubwa.
Utasikia tumemkamata na rushwa ya sh 100k
 
Kipanya ni mnafiki,ina maana hakuona hali ilivyokuwa wakati wa Jiwe! Wakati huo kila sekta ya umma iligeuka TRA sasa hivi afadhali kidogo lakini yeye anajifanya hilo jambo limezuka sasa hivi wakati wa Rais Samia!
Wakati wa Jiwe nani alikuwa na uthubutu wa kuksoa serikali yake?

Tundu lissu alijitoa mhanga kukosoa kilichomtokea kila mtu anakijua
 
Wakati wa Jiwe nani alikuwa na uthubutu wa kuksoa serikali yake?

Tundu lissu alijitoa mhanga kukosoa kilichomtokea kila mtu anakijua
Wafuasi wake wanaamini alikuwa kiongozi sahihi na ni mfano wa kuigwa na wanakataa kama alikuwa hataki kukosolewa na wala hakuwa katili!
 
Hata hao Takukuru wenyewe ni shida tu. Umewahi kuona Watuhimiwa wa Rushwa wakidakwa?? Sana sana Mahakimu wa Mahakama ya Mwanzo na sio wala rushwa wakubwa.
Unaweza muita hyo takukuru
Akaja naye vilevile akatulizwa
Na mpunga na akatulia [emoji1]

Ova
 
Hawa jamaa inabidi wakamatwe tu kwani wanasababisha ajali pia, utakuta unajiendeshea gari Muraa anatokeza ghafla na kukuambia park pembeni ghafla tu. Anakucheki na kama hauna deni linakuambia haya nenda tu, sasa hapa mtu unajiuliza hivi huyu kweli hii ni kazi yake au, na kama angesababisha ajali nani wa kulaumiwa? Kama ni yeye, je serikali itakulipa? Mama Samia jipu hili, tafadhali litumbue.
 
Matrafiki wote ni wezi na wala rushwa wakubwa katika Tanzania.

Takukuru kama wapo "genuine" waweke kitengo cha kufatilia matrafiki (mapolisi kwa ujumla) wa Tanzania na mali walizonazo kama zinaendana na vipato vya mishahara yao.

Mawee.
vip wale trafik ambao wamekopa na kufungua biashara kubwa huku wakiwa wafanya biashara na upande mwengine watumishi wa umma?
 
vip wale trafik ambao wamekopa na kufungua biashara kubwa huku wakiwa wafanya biashara na upande mwengine watumishi wa umma?
Mkopo wa biashara siyo siri maana kila kitu kipo wazi
 
Hapo sasa wakiondolewa barabarani madereva wa kisasa watazidisha ufundi badala ya kugongana uso kwa uso watakuwa wanagongana kiubavu ubavu ili amtoe mwenzie barabarani amsukumie korongoni 😅🙏
Kwamba watu wataendesha magari kama kwenye video games 😂😂
 
Matrafiki wote ni wezi na wala rushwa wakubwa katika Tanzania.

Takukuru kama wapo "genuine" waweke kitengo cha kufatilia matrafiki (mapolisi kwa ujumla) wa Tanzania na mali walizonazo kama zinaendana na vipato vya mishahara yao.

Mawee.
takukuru wenyewe wafanye hiyo kazi kwa uadilifu upi we kibib?

Iundwe tume ya rushwa tu iwe kama agency na hiyo takukuru iwe chini yake.

Hapo walipo ni utopolo tu
 
Lisemwalo lazima litakuwepo tu.

Ukiwa ni dereva utakubaliana na mawazo ya kipanya kuwa sass traffic wanafanya kazi ya TRA.

Ukiona wanalisimamisha gari kazi ya kwanza kuifanya ni kuangalia kama gari lako linadaiwa.

Wao akili zao wote ni kuangalia madeni na kukupiga faini tu hata kama gari lina mapungufu hawajali.

Hongera sana kipanya kwa kuendelea kuibua mapungufu kwenye jamii yetu ya watanzania.

View attachment 2627210
Kipanya ni genius
 
Polisi
Matrafiki wote ni wezi na wala rushwa wakubwa katika Tanzania.

Takukuru kama wapo "genuine" waweke kitengo cha kufatilia matrafiki (mapolisi kwa ujumla) wa Tanzania na mali walizonazo kama zinaendana na vipato vya mishahara yao.

Mawee.
Polisi wote ni wezi sans zaidi ya walio magerezani
 
Kwamba watu wataendesha magari kama kwenye video games 😂😂
Haswaaa !! Unaona hapo juzi tu hapo kamata msimbazi abiria wanamwambia dereva hiyo treni huwezi kuiwahi lakini wapi jamaa akaipeleka daladala kuigonga treni !! Ndio madereva wengi wa kisasa tulionao Nchini wa namna hiyo !!
 
Ndiyo maana nimekwambia inawezekana tunabishana wakati hata baiskeli huna
Unajisemea hapa watu wajue una gari?
Kwa hiyo unadhani kuwa na gari ni jambo la ajabu sana kwako au siyo?

Niseme mara ya mwisho, akili yako ni ya hovyo kabisa, kwa sababu huwa hata hujui unachoandika humu na unapojibiwa huelewi chochote unachosoma.

Umekuwa humu JF kwa miaka yote hiyo, na kuweka takataka nyingi tu humu, lakini hata hutambui na wala hujifunzi lolote?

Mtu wa aina yako nani akutegemee kwa lolote?

Na kama bado huelewi ngoja nikwambie, unajitambulisha kama mfuasi wa CHADEMA na siku zote humu unaimba nyimbo za chama hicho. Sasa kama ni watu kama wewe ndio wa kutegemewa ndani ya chama hicho, si ni bora kabisa CCM iendelee kutawala milele?

Angalia mauchafu uliyojaza kwenye mada hii ya kipuuzi uliyoleta humu. Hakuna hata jambo moja ulilojadili likaonekana una uelewa wa kitu chochote.

Hovyo Kabisa.
 
Back
Top Bottom