wakatanta
JF-Expert Member
- Feb 5, 2018
- 2,593
- 3,160
Kufeni zenu na huyo makengezaTupate katiba mpya, ili wapatikane viongozi kwa njia halali. Hii itaondoa mifumo ya kulindana.
Kufeni zenu na huyo makengezaTupate katiba mpya, ili wapatikane viongozi kwa njia halali. Hii itaondoa mifumo ya kulindana.
[emoji41]Wakatanta the witch
Bahari imetulia sasa, Mungu kaamua ugonvi!!Yaani wewe na sukuma gang wenzako mnakuwa na upinzani wa kijinga hata kwenye mambo ya msingi
Tufe mara 2 boss.Kufeni zenu na huyo makengeza
Huu ndio ukweli.Sasa kazi ya traffic si kuangalia na madeni ya gari yanayohusu field yao ?!!!
Kwani hapa tatizo ni lipi hasa?Lisemwalo lazima litakuwepo tu.
Ukiwa ni dereva utakubaliana na mawazo ya kipanya kuwa sass traffic wanafanya kazi ya TRA.
Ukiona wanalisimamisha gari kazi ya kwanza kuifanya ni kuangalia kama gari lako linadaiwa.
Wao akili zao wote ni kuangalia madeni na kukupiga faini tu hata kama gari lina mapungufu hawajali.
Hongera sana kipanya kwa kuendelea kuibua mapungufu kwenye jamii yetu ya watanzania.
View attachment 2627210
[emoji1787][emoji1787]Wale ni rushwa hakuna cha madeni wala nini?
[emoji1787][emoji1787]Hao traffic wanaitwa wazee wa kubeti
Ova
Tatizo inawezekana hata baiskeli huna ndiyo maana hujui shida kutoka kwa trafficKwani hapa tatizo ni lipi hasa?
Hiyo hela inaingia mfukoni mwa traffiki?
Au trafiki anaonea tu hata pasipokuwepo kosa?
Kama kosa lipo, sioni tatizo.
Huko kichwani kwako kumejaa madudu.Tatizo inawezekana hata baiskeli huna ndiyo maana hujui shida kutoka kwa traffic
Hivi kweli unazo za kutosha kichwani mwako, au leo bangi zimepanda zaidi?Kua uyaone kijana
Ndiyo maana nimekwambia inawezekana tunabishana wakati hata baiskeli hunaHuko kichwani kwako kumejaa madudu.
Kuna siku yanatulia, lakini mara nyingi huwa yanarukaruka, ndiyo sababu unapoteza mwelekeo mara kwa mara unapokuja hapa na mada za kipuuzi kama hizi.
Popote duniani, trafiki atakukamata kama unayo makosa au gari lako halikidhi hali ya kuwa barabarani.
Sasa anapofanya hivyo, unataka nini wewe?
Usifikiri sijui matatizo ya trafiki wa kiTanzania, na ni watu wa hovyo kama wewe ndiyo mnaosababisha hao matrafiki wawe wa hovyohovyo kama tunavyowaona. Halafu unakuja hapa kulialia na jambo ambalo liko wazi kabisa!
Jenga hoja halisi ya ubovu wa trafiki tukusome, na tutakuelewa, lakini siyo hilo la Kipanya hapo juu bila ya maelezo ya ziada.