Kipanya awashukia askari wa trafiki

Kipanya awashukia askari wa trafiki

Matrafiki wote ni wezi na wala rushwa wakubwa katika Tanzania.

Takukuru kama wapo "genuine" waweke kitengo cha kufatilia matrafiki (mapolisi kwa ujumla) wa Tanzania na mali walizonazo kama zinaendana na vipato vya mishahara yao.

Mawee.
Well said
 
sijaona tatizo kwa Askari kukagua kuhusu fine.
Japokuwa, siwezi kataa kwamba, Askari kama binadamu wengine pia wanamadhaifu. Ila kwa hili la ukaguzi wa ulipaji wa adhabu kwa mujibu wa Sheria, tutumie akili ktk kulidadavua.
Tujikite kuzungumzia rushwa wanazo demand na namna ya kuitokomeza
 
Teknolojia ichukue nafasi ili haki itendeke
Si hiyo hiyo teknolojia ndiyo wanatumia kuonesha unachodaiwa badala ya kutazama kosa ulilonalo

Siku hizi wakishakuonesha unachodaiwa wanakwambia, haya wachia za rangi ya viatu uondoke zako, Simpo. Wapo uwaoe ili wasikcheleweshe na deni lipo palepale.
 
Mimi hii ni kero yangu pia,lakini hujiuliza nini iwe mbadala? Kuwe na afisa wa TRA kila penye trafiki? Maana sisi madreva hatukomi? Wakiondoka hawa tutaua sana barabarani. Angalau ukifikiria tozo unakuwa na nidhamu
 
Mimi hii ni kero yangu pia,lakini hujiuliza nini iwe mbadala? Kuwe na afisa wa TRA kila penye trafiki? Maana sisi madreva hatukomi? Wakiondoka hawa tutaua sana barabarani. Angalau ukifikiria tozo unakuwa na nidhamu
Ingekuwa wana fanya kazi zao kiweledi na kwa nidhamu ya kweli haina tatizo.

Panda bus alafu uwe viti vya mbele kukuwezesha kuona kinachofanyika pale bus lnavyokaribia check point za matrafick.

Wanachukua noti wanaiviriga kwenye karatasi akifika pale wanairusha chini .

Hiyo ni njia ya kutoa hongo na halina uficho
 
Ingekuwa wana fanya kazi zao kiweledi na kwa nidhamu ya kweli haina tatizo.

Panda bus alafu uwe viti vya mbele kukuwezesha kuona kinachofanyika pale bus lnavyokaribia check point za matrafick.

Wanachukua noti wanaiviriga kwenye karatasi akifika pale wanairusha chini .

Hiyo ni njia ya kutoa hongo na halina uficho
Ndio hiyo nafikiria nini kifanyike maana wao na TRA hakuna tofauti kiupigaji
 
Moja ya chanzo cha mapato ingawa haisemwi Sana kwa serikali ni pamoja na faini na ada mbalimbali hasa hizi za barabarani ndio maana wanakomaa Sana kama una deni na hujalipa au kama una kosa wakuandikie cheti
 
Ingekuwa wana fanya kazi zao kiweledi na kwa nidhamu ya kweli haina tatizo.

Panda bus alafu uwe viti vya mbele kukuwezesha kuona kinachofanyika pale bus lnavyokaribia check point za matrafick.

Wanachukua noti wanaiviriga kwenye karatasi akifika pale wanairusha chini .

Hiyo ni njia ya kutoa hongo na halina uficho
Francis kila jioni pale grocery anamsubiri rafiki yake traffic Abel azungushe meza....anasema Abel ana roho nzuri kwa jinsi anavyowasambazia upendo....watanzania tunaichukia rushwa ilihali "zikipatikana" tunazitumia sana tu
 
Moja ya chanzo cha mapato ingawa haisemwi Sana kwa serikali ni pamoja na faini na ada mbalimbali hasa hizi za barabarani ndio maana wanakomaa Sana kama una deni na hujalipa au kama una kosa wakuandikie cheti
Wanaogopa nini kusema karne hii ya 21?!!!
 
Watanzania tunapenda:-

1)Kuchangiana harusi ,kipaimara ,"shughuli",ngoma ,maulid ,jando,unyago.

2)Kutunzana

3)Kuzungusha "mezani"

Ila RUSHWA tunachukia.....sijui hizo Fedha zinapatikana kwa chumo gani la halali ?!!!
 
Dah! Ila kiukweli askari wa usalama barabarani wanakera sana. I wish wasingekuwepo kabisa, halafu ziwekwe tu camera za cctv kote nchini, za kuangalia mienendo ya madereva wawapo barabarani.
Hapo sasa wakiondolewa barabarani madereva wa kisasa watazidisha ufundi badala ya kugongana uso kwa uso watakuwa wanagongana kiubavu ubavu ili amtoe mwenzie barabarani amsukumie korongoni 😅🙏
 
Watanzania tunapenda:-

1)Kuchangiana harusi ,kipaimara ,"shughuli",ngoma ,maulid ,jando,unyago.

2)Kutunzana

3)Kuzungusha "mezani"

Ila RUSHWA tunachukia.....sijui hizo Fedha zinapatikana kwa chumo gani la halali ?!!!
Umenena !
 
Watanzania tunapenda:-

1)Kuchangiana harusi ,kipaimara ,"shughuli",ngoma ,maulid ,jando,unyago.

2)Kutunzana

3)Kuzungusha "mezani"

Ila RUSHWA tunachukia.....sijui hizo Fedha zinapatikana kwa chumo gani la halali ?!!!
Rushwa ilikatazwa tangu enzi hizo
 
Lisemwalo lazima litakuwepo tu.

Ukiwa ni dereva utakubaliana na mawazo ya kipanya kuwa sass traffic wanafanya kazi ya TRA.

Ukiona wanalisimamisha gari kazi ya kwanza kuifanya ni kuangalia kama gari lako linadaiwa.

Wao akili zao wote ni kuangalia madeni na kukupiga faini tu hata kama gari lina mapungufu hawajali.

Hongera sana kipanya kwa kuendelea kuibua mapungufu kwenye jamii yetu ya watanzania.

View attachment 2627210
TPRA.. Means Traffic Police Revenue Authority.
 
Back
Top Bottom