uvugizi
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,348
- 1,097
Tafadhali wadau . Kuna shida gani ya hivi VIOO vya simu ambavyo vinapata crack( ufa) bila hata kuangusha simu ,hasa pale unapoweka kingine .Mimi nashangaa Kila Mara naweka KIOO CHA simu . Ukiangalia kina ufa . Serikali kupitia TBS kwa Nini kuruhusu hizi bidhaa fake.
Ukiangalia maduka mengi ya simu yamejaza VIOO . Hii inaashiria kuwa ni bidhaa pendwa au Wana hakika ni lazima watanunua kwa kuwa haidumu .
Ukiangalia maduka mengi ya simu yamejaza VIOO . Hii inaashiria kuwa ni bidhaa pendwa au Wana hakika ni lazima watanunua kwa kuwa haidumu .