Nasema Uongo Ndugu Zangu
JF-Expert Member
- Apr 28, 2020
- 279
- 773
Ukiwa na kiongozi ambaye anaacha huru wanasiasa (hasa wapinzani) kufanya siasa kwa uhuru ila akafeli kwenye
1. Kudhibiti mfumuko wa bei.
2. Kudhibiti nidhamu ya watumishi wa Umma.
3. Kudhulumu maskini kwa kuanzisha tozo lukuki kisa kashindwa kukusanya kodi halali kwa makampuni makubwa.
4. Kufukuza watu kwenye maeneo yao asilia kupisha wawekezaji wakigeni.
5. Kuteua watu wenye kashfa kubwa za wizi, ufisadi na ubadhilifu wa fedha za serikali.
6. Mwoga na asiyetayari kufa kwaajili ya kuwatetea watu wake.
7. Anayeshindwa kutatua changamoto za watu wake Kwa kutumia njia yoyote hata kama itawachukiza mabeberu mf. Kuagiza mafuta na ngano toka Urusi maana Urusi wamesema wako tayari kuuza bidhaa hizo Africa bila kuongeza chajuu.
Ukiona kiongozi hawezi mambo hayo basi huyo hatufai hata kama ataruhusu tumnange.
TUNAHITAJI CHUMA AMBACHO HAKIAMBILIKI KAMA PUTIN ILI TUVUKE.
1. Kudhibiti mfumuko wa bei.
2. Kudhibiti nidhamu ya watumishi wa Umma.
3. Kudhulumu maskini kwa kuanzisha tozo lukuki kisa kashindwa kukusanya kodi halali kwa makampuni makubwa.
4. Kufukuza watu kwenye maeneo yao asilia kupisha wawekezaji wakigeni.
5. Kuteua watu wenye kashfa kubwa za wizi, ufisadi na ubadhilifu wa fedha za serikali.
6. Mwoga na asiyetayari kufa kwaajili ya kuwatetea watu wake.
7. Anayeshindwa kutatua changamoto za watu wake Kwa kutumia njia yoyote hata kama itawachukiza mabeberu mf. Kuagiza mafuta na ngano toka Urusi maana Urusi wamesema wako tayari kuuza bidhaa hizo Africa bila kuongeza chajuu.
Ukiona kiongozi hawezi mambo hayo basi huyo hatufai hata kama ataruhusu tumnange.
TUNAHITAJI CHUMA AMBACHO HAKIAMBILIKI KAMA PUTIN ILI TUVUKE.