Kiongozi wa dini usihubiri amani ya kisiasa bali hubiri amani ya Mungu

Ndugu hakuna kazi ngumu kama kitenganisha dini na siasa. Haya makundi mawili yanategemeana kwa kiasi kikubwa sana.
Ni kweli mkuu, ila maasikofu wanatakiwa wahubiri siasa ya imani. Siasa isiyo onekana kwa macho. Wakihubiri siasa inayoonekana watapotea na kuanza kubishana majukwaani.
 
Hata Yesu alifanya makosa hayahaya alimponyesha mama mwenye kibiongo tena Siku ya sabato.
 
Amani ya Mungu ?? Mimi nadhani kuna Hofu ya Mungu ambayo hiyo mtu akiwa nayo inakuwa rahisi kupatikana kwa Amani ya Nchi (unayoita ya Kisiasa).
 
Una heri wewe Simon Petro maana mwili na damu havikukufunulia hili Bali Roho wa Mungu akaaye ndani yako.
 
Amani ya kisiasa ni ipi?

Amani ya kidini ni ipi?
Mlete mada ameleta ujinga. Eti kuna amani ya Mungu na amani ya kisiasa.

Anayetakiwa kuwa na amani ni mwanadamu, na siyo Mungu. Na binadamu ili awe na amani, kunahitajika mambo mengi kwa pamoja, yaani mambo yanayogusa mwili na yale yanayogusa roho.

Aliyeleta mada hii ni mjinga anayedhani kuna wajinga kumzidi yeye ambao wanaweza kupokea hoja yake ya kijinga.

Ni matendo ya mwili ndiyo ambayo huifanya roho iwe na amani au ikose amani. Huyu mleta mada, kwa ajinga tu, hajui kuwa dhambi hutendeka katika mwili, lakini adhabu yake siku ya mwisho ni kwa roho, na siyo mwili.

Uovu wa mwili ndiyo huiangamiza roho. Anayetenda uovu kwa kuoitia shughuki za kisiasa, hana tofauti na anayetenda maovu katika maisha yao ya kawaida. Matendo ya kawaida maovu ya binadamu na yale kwa kupitia siasa, au humletea mwanadamu amani (yeye mwenyewe au wengine) au kumwondolea amani (yeye mwenyewe au wengine).

Kama tunataka kuleta amani ya roho ni lazima matendo yetu na shughuli zetu zote ziwe za haki kwa kadiri ya kweli ya Mungu. Biblia inatamka kuweni watu wa haki katika yote maana haki huleta amani.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maaskofu wa makanisa ya KKKT, Anglikan,Moravian,na RC,Wengi wao ukisikiliza mahubiri yao utazani hotuba ya wakuu wa mikoa.Mahubiri yao hayana upako kabisa. Shida ilianza baada ya kukubali kutumika kisiasa.Biblia wanaigusa gusa tu juu juu. Ndio maana hata kuombea wagonjwa hawawezi. Kitu wanachoweza ni kuunga juhudi.
Kuombea wagonjwa ni karama ambayo Mungu hampi kila mtu
kuhusu hao maaskofu ni habari ya maslahi binafsi not otherwise

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
It's hard to free fools, from the chain they revere- Voltaire.

Tatizo linakuja hapa, muafrika anapenda sana dini kiasi ambacho hata uelewa wa kawaida anautupa kule.
Daah! Mkuu naomba utie nyama kidogo ktk maelezo yako haya mfupi lkn yamevuta hisia zangu sana
 
Amani ya kisiasa ni ipi?

Amani ya kidini ni ipi?
Ni ya kuhubiri wanasiasa waeleane wao kwa wao

Amani ya Dini ni kuhubiri watu waelewane na Mungu

Mhubiri siasa hahubiri watu kuelewana na Mungu ohh muelewane na tume ya uchaguzi ohh muwe na maridhiano ya kisiasa nk
 
Maaskofu wa makanisa ya KKKT, Anglikan,Moravian,na RC,Wengi wao ukisikiliza mahubiri yao utazani hotuba ya wakuu wa mikoa.Mahubiri yao hayana upako kabisa. Shida ilianza baada ya kukubali kutumika kisiasa.Biblia wanaigusa gusa tu juu juu. Ndio maana hata kuombea wagonjwa hawawezi. Kitu wanachoweza ni kuunga juhudi.
Wanajiita wataalamu wa theology
 
Hata Yuda alikuwa miongoni mwa Mitume wa Yesu....

Usishangae unapoona Neno la kuipenda dunia limekuwa dhahiri kwao. Aliyasema Yesu kwenye Mathayo alipoulizwa dalili za siku za mwisho
 
Mlete mada ameleta ujinga. Eti kuna amani ya Mungu na amani ya kisiasa.

Anayetakiwa kuwa na amani ni mwanadamu, na siyo Mungu. Na binadamu ili awe na amani, kunahitajika mambo mengi kwa pamoja, yaani mambo yanayogusa mwili na yale yanayogusa roho.

Aliyeleta mada hii ni mjinga anayedhani kuna wajinga kumzidi yeye ambao wanaweza kupokea hoja yake ya kijinga.

Ni matendo ya mwili ndiyo ambayo huifanya roho iwe na amani au ikose amani. Huyu mleta mada, kwa ajinga tu, hajui kuwa dhambi hutendeka katika mwili, lakini adhabu yake siku ya mwisho ni kwa roho, na siyo mwili.

Uovu wa mwili ndiyo huiangamiza roho. Anayetenda uovu kwa kuoitia shughuki za kisiasa, hana tofauti na anayetenda maovu katika maisha yao ya kawaida. Matendo ya kawaida maovu ya binadamu na yale kwa kupitia siasa, au humletea mwanadamu amani (yeye mwenyewe au wengine) au kumwondolea amani (yeye mwenyewe au wengine).

Kama tunataka kuleta amani ya roho ni lazima matendo yetu na shughuli zetu zote ziwe za haki kwa kadiri ya kweli ya Mungu. Biblia inatamka kuweni watu wa haki katika yote maana haki huleta amani.
Sent using Jamii Forums mobile app
umeshindwa kuelewa sentensi ndogo kabisa.
Basi elewa hivi.
Unaweza kuwa na amani ya kisiasa alafu usiwe na amani ya Mungu. Amani ya Mungu inatengenezwa moyoni. Amani ya Kisiasa inaleta utulivu ndani ya nchi lakini
wakati mwingine inaweza isilete Amani ndani mioyo ya watu.
 
Back
Top Bottom