Kiongozi wa dini usihubiri amani ya kisiasa bali hubiri amani ya Mungu

Mlete mada ameleta ujinga. Eti kuna amani ya Mungu na amani ya kisiasa.

Anayetakiwa kuwa na amani ni mwanadamu, na siyo Mungu. Na binadamu ili awe na amani, kunahitajika mambo mengi kwa pamoja, yaani mambo yanayogusa mwili na yale yanayogusa roho.

Aliyeleta mada hii ni mjinga anayedhani kuna wajinga kumzidi yeye ambao wanaweza kupokea hoja yake ya kijinga.

Ni matendo ya mwili ndiyo ambayo huifanya roho iwe na amani au ikose amani. Huyu mleta mada, kwa ajinga tu, hajui kuwa dhambi hutendeka katika mwili, lakini adhabu yake siku ya mwisho ni kwa roho, na siyo mwili.

Uovu wa mwili ndiyo huiangamiza roho. Anayetenda uovu kwa kuoitia shughuki za kisiasa, hana tofauti na anayetenda maovu katika maisha yao ya kawaida. Matendo ya kawaida maovu ya binadamu na yale kwa kupitia siasa, au humletea mwanadamu amani (yeye mwenyewe au wengine) au kumwondolea amani (yeye mwenyewe au wengine).

Kama tunataka kuleta amani ya roho ni lazima matendo yetu na shughuli zetu zote ziwe za haki kwa kadiri ya kweli ya Mungu. Biblia inatamka kuweni watu wa haki katika yote maana haki huleta amani.
Sent using Jamii Forums mobile app
umeshindwa kuelewa sentensi ndogo kabisa.
Basi elewa hivi.
Unaweza kuwa na amani ya kisiasa alafu usiwe na amani ya Mungu. Amani ya Mungu inakuwa moyoni. Amani ya Kisiasa inaleta tu utulivu ndani ya nchi lakini sio mioyoni mwa watu,
 
umeshindwa kuelewa sentensi ndogo kabisa.
Basi elewa hivi.
Unaweza kuwa na amani ya kisiasa alafu usiwe na amani ya Mungu. Amani ya Mungu inatengenezwa moyoni. Amani ya Kisiasa inaleta utulivu ndani ya nchi lakini
wakati mwingine inaweza isilete Amani ndani mioyo ya watu.
Hakuna kitu kinachoitwa AMANI YA KISIASA. AMANI NI AMANI TU. Lakini AMANI hiyo hutegemea mazingira ambayo mwanadamu yupo.

Shule inaweza kuwa na amani kwa sababu wanafunzi na walimu wao wana amani, na amani hiyo inakuwa ni tunda la yale yanayofanyika kwenye mazingira yao ya shule - inaweza kuwa ni usawa katika huduma, kusikilizwa na kushirikishwa, n.k.

Dini au dhehebu linaweza kuwa na amani kutokana na amani waliyo nayo waumini. Amani hiyo itakuwa ni tunda la namna wanavyotendewa kama vile viongozi wao wa kiimani kuwatendea haki, serikali kuwapa haki yao ya kuabudu, n.k.

Mwananchi, anaweza kuwa na amani katika moyo wake kutokana na anavyopata haki zake zote kama vile fursa za kiuchumi, haki zake za kuabudu, haki za kisiasa, haki zake za kijamii, n.k. Mwanadamu huyu akipata haki zake zote au hata kwa kiwango kikubwa, anakuwa na amani moyoni mwake, amani inayokuwemo mioyoni mwa raia husababisha amani ya Taifa.

Tunaposema nchi yetu ina amani ina maana wananchi wana amani katika mioyo yao. Ile amani ya wananchi katika mioyo yao huchangia utulivu katika Taifa. Amani ni matokeo ya kuridhika na yale yanayokuzunguka. Kama umetenda uovu au kutendewa uovu, huwezi kuwa na amani.

Kwa mtizamo wa kiimani, kama umetenda dhambi, huwezi kuwa na amani. Lakini dhambi ni nini? Dhambi ni matendo yote yaliyo kinyume na mapenzi ya Mungu. Na matendo hayo yapo katika makundi matatu:

1) Maneno - tunanena nini? Kama unatoa kauli za uwongo, ufitini, ubaguzi, matusi, bila ya kujali ni kwa mtazamo wa kisiasa au kijamii, umetenda dhambi.

2) Matendo - ubaguzi, wizi, mapigano, kuwanyima watu haki za aina yoyote wanazostahili, ni dhambi. Na hii inategemea na nafasi yako katika jamii. Kama wewe ni kiongozi lakini unawabagua watu kwa misingi ya aina yoyote ile, hiyo ni dhambi.

3) Kushindwa kutimiza wajibu - wajibu wetu wa kwanza kumpenda Mungu na binadamu wenzetu. Kama ndugu yako anaonewa, anauawa, anateswa, na wewe upo tu umekenua meno au kutofanya chochote kuzuia matendo ya namna hiyo, ni dhambi. Kama wewe unakubali kushiriki kudhulumu ushindi wa mtu au kura zake, ni dhambi, na kiongozi wa dini ni lazima akemee, tena kwa ukali. Maana kazi mojawapo ya kiongozi wa dini ni kuwapa watu amani, na huwezi kulifanikisha hilo kama hakuna haki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna kitu kinachoitwa AMANI YA KISIASA. AMANI NI AMANI TU. Lakini AMANI hiyo hutegemea mazingira ambayo mwanadamu yupo.

Shule inaweza kuwa na amani kwa sababu wanafunzi na walimu wao wana amani, na amani hiyo inakuwa ni tunda la yale yanayofanyika kwenye mazingira yao ya shule - inaweza kuwa ni usawa katika huduma, kusikilizwa na kushirikishwa, n.k.

Dini au dhehebu linaweza kuwa na amani kutokana na amani waliyo nayo waumini. Amani hiyo itakuwa ni tunda la namna wanavyotendewa kama vile viongozi wao wa kiimani kuwatendea haki, serikali kuwapa haki yao ya kuabudu, n.k.

Mwananchi, anaweza kuwa na amani katika moyo wake kutokana na anavyopata haki zake zote kama vile fursa za kiuchumi, haki zake za kuabudu, haki za kisiasa, haki zake za kijamii, n.k. Mwanadamu huyu akipata haki zake zote au hata kwa kiwango kikubwa, anakuwa na amani moyoni mwake, amani inayokuwemo mioyoni mwa raia husababisha amani ya Taifa.

Tunaposema nchi yetu ina amani ina maana wananchi wana amani katika mioyo yao. Ile amani ya wananchi katika mioyo yao huchangia utulivu katika Taifa. Amani ni matokeo ya kuridhika na yale yanayokuzunguka. Kama umetenda uovu au kutendewa uovu, huwezi kuwa na amani.

Kwa mtizamo wa kiimani, kama umetenda dhambi, huwezi kuwa na amani. Lakini dhambi ni nini? Dhambi ni matendo yote yaliyo kinyume na mapenzi ya Mungu. Na matendo hayo yapo katika makundi matatu:

1) Maneno - tunanena nini? Kama unatoa kauli za uwongo, ufitini, ubaguzi, matusi, bila ya kujali ni kwa mtazamo wa kisiasa au kijamii, umetenda dhambi.

2) Matendo - ubaguzi, wizi, mapigano, kuwanyima watu haki za aina yoyote wanazostahili, ni dhambi. Na hii inategemea na nafasi yako katika jamii. Kama wewe ni kiongozi lakini unawabagua watu kwa misingi ya aina yoyote ile, hiyo ni dhambi.

3) Kushindwa kutimiza wajibu - wajibu wetu wa kwanza kumpenda Mungu na binadamu wenzetu. Kama ndugu yako anaonewa, anauawa, anateswa, na wewe upo tu umekenua meno au kutofanya chochote kuzuia matendo ya namna hiyo, ni dhambi. Kama wewe unakubali kushiriki kudhulumu ushindi wa mtu au kura zake, ni dhambi, na kiongozi wa dini ni lazima akemee, tena kwa ukali. Maana kazi mojawapo ya kiongozi wa dini ni kuwapa watu amani, na huwezi kulifanikisha hilo kama hakuna haki.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ufafanuzi mzuri ndugu ubarikiwe
 
Hakuna kitu kinachoitwa AMANI YA KISIASA. AMANI NI AMANI TU. Lakini AMANI hiyo hutegemea mazingira ambayo mwanadamu yupo.

Shule inaweza kuwa na amani kwa sababu wanafunzi na walimu wao wana amani, na amani hiyo inakuwa ni tunda la yale yanayofanyika kwenye mazingira yao ya shule - inaweza kuwa ni usawa katika huduma, kusikilizwa na kushirikishwa, n.k.

Dini au dhehebu linaweza kuwa na amani kutokana na amani waliyo nayo waumini. Amani hiyo itakuwa ni tunda la namna wanavyotendewa kama vile viongozi wao wa kiimani kuwatendea haki, serikali kuwapa haki yao ya kuabudu, n.k.

Mwananchi, anaweza kuwa na amani katika moyo wake kutokana na anavyopata haki zake zote kama vile fursa za kiuchumi, haki zake za kuabudu, haki za kisiasa, haki zake za kijamii, n.k. Mwanadamu huyu akipata haki zake zote au hata kwa kiwango kikubwa, anakuwa na amani moyoni mwake, amani inayokuwemo mioyoni mwa raia husababisha amani ya Taifa.

Tunaposema nchi yetu ina amani ina maana wananchi wana amani katika mioyo yao. Ile amani ya wananchi katika mioyo yao huchangia utulivu katika Taifa. Amani ni matokeo ya kuridhika na yale yanayokuzunguka. Kama umetenda uovu au kutendewa uovu, huwezi kuwa na amani.

Kwa mtizamo wa kiimani, kama umetenda dhambi, huwezi kuwa na amani. Lakini dhambi ni nini? Dhambi ni matendo yote yaliyo kinyume na mapenzi ya Mungu. Na matendo hayo yapo katika makundi matatu:

1) Maneno - tunanena nini? Kama unatoa kauli za uwongo, ufitini, ubaguzi, matusi, bila ya kujali ni kwa mtazamo wa kisiasa au kijamii, umetenda dhambi.

2) Matendo - ubaguzi, wizi, mapigano, kuwanyima watu haki za aina yoyote wanazostahili, ni dhambi. Na hii inategemea na nafasi yako katika jamii. Kama wewe ni kiongozi lakini unawabagua watu kwa misingi ya aina yoyote ile, hiyo ni dhambi.

3) Kushindwa kutimiza wajibu - wajibu wetu wa kwanza kumpenda Mungu na binadamu wenzetu. Kama ndugu yako anaonewa, anauawa, anateswa, na wewe upo tu umekenua meno au kutofanya chochote kuzuia matendo ya namna hiyo, ni dhambi. Kama wewe unakubali kushiriki kudhulumu ushindi wa mtu au kura zake, ni dhambi, na kiongozi wa dini ni lazima akemee, tena kwa ukali. Maana kazi mojawapo ya kiongozi wa dini ni kuwapa watu amani, na huwezi kulifanikisha hilo kama hakuna haki.

Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba rejea hapa.
 
Ukitii sheria za nchi na uongozi husika unapata amani ya kusiasa ila ukitii sheria za mungu unapata amani ya Mungu, mfano ukimsifu nakumtii jiwe unakua na amani hapa nchini ila amani ya Mungu bado
Kuna namna yoyote unaweza kutenganisha amani ya siasa na amani ya dini?
 
Mlete mada ameleta ujinga. Eti kuna amani ya Mungu na amani ya kisiasa.

Anayetakiwa kuwa na amani ni mwanadamu, na siyo Mungu. Na binadamu ili awe na amani, kunahitajika mambo mengi kwa pamoja, yaani mambo yanayogusa mwili na yale yanayogusa roho.

Aliyeleta mada hii ni mjinga anayedhani kuna wajinga kumzidi yeye ambao wanaweza kupokea hoja yake ya kijinga.

Ni matendo ya mwili ndiyo ambayo huifanya roho iwe na amani au ikose amani. Huyu mleta mada, kwa ajinga tu, hajui kuwa dhambi hutendeka katika mwili, lakini adhabu yake siku ya mwisho ni kwa roho, na siyo mwili.

Uovu wa mwili ndiyo huiangamiza roho. Anayetenda uovu kwa kuoitia shughuki za kisiasa, hana tofauti na anayetenda maovu katika maisha yao ya kawaida. Matendo ya kawaida maovu ya binadamu na yale kwa kupitia siasa, au humletea mwanadamu amani (yeye mwenyewe au wengine) au kumwondolea amani (yeye mwenyewe au wengine).

Kama tunataka kuleta amani ya roho ni lazima matendo yetu na shughuli zetu zote ziwe za haki kwa kadiri ya kweli ya Mungu. Biblia inatamka kuweni watu wa haki katika yote maana haki huleta amani.
Sent using Jamii Forums mobile app
naunga mkono hoja, hata kibiblia mbona wameonyesha manabii na watumishi wengi wakikemea mambo ya siasa kwa sababu maovu ya siasa nayo ni chukizo mbele za Mungu kama yalivy mambo mengine kama uzinzi
 
Ubarikiwe kwa kusaidia makala ya maana hizo mbili.

Hapo walipo fafanua maana ya amani ya kidini naona wameeleza dhahir kuwa amani hizo mbili ni vigumu kuzitenganisha na ndio maana nimesema kuwa amani hizi mbili zinaenda pamoja yaani dini na siasa lazima ziende pamoja
Screenshot_20201228-233234~2.jpg
 
Maaskofu wa makanisa ya KKKT, Anglikan,Moravian,na RC,Wengi wao ukisikiliza mahubiri yao utazani hotuba ya wakuu wa mikoa.Mahubiri yao hayana upako kabisa. Shida ilianza baada ya kukubali kutumika kisiasa.Biblia wanaigusa gusa tu juu juu. Ndio maana hata kuombea wagonjwa hawawezi. Kitu wanachoweza ni kuunga juhudi.
Imebaki raha ya sabato kwa watu kwa wale washikao amri ya Mungu na imani ya Yesu
 
kivipi tena ningekua sina maarifa ningeandika huo uzii. Hebu jaribu kufuatilia nyuzi zangu ujipime kama waweza kujilinganisha na mimi
Hili moja tu linatosha kujua kuwa hutumii maarifa wala ufahamu kujibu ila unalojua Ni kudandia hoja pole sana hata maandiko yanasema mnaangamia kwa kukosa maarifa, kama hivi
 
Vipi akimsi
Ndugu zangu kuna tofauti kubwa kati ya amani ya kisiasa na amani ya Mungu.

Amani ya kisiasa inapatikana kwa kufuata sheria zilizomo ndani ya katiba ya nchi.

Wakati Amani ya Mungu inapatikana kwa kutii sheria za Mungu na kuyafuata na kuyatii maandiko ya Neno la Mungu.

Amani ya Mungu inauwezo wa kuleta amani ya kisiasa.

Amani ya kisiasa haina uwezo wa kuleta amani ya Mungu.

Nashangazwa sana na baadhi watumishi wa Mungu hasa maaskofu badala ya kuhubiria watu wapate Amani ya Mungu wao wanatumia nguvu nyingi kuhubiria watu wapate amani ya kisiasa.

Maasikofu wamesahau wajibu wao, sasa wanatumia nguvu nyingi. Wanahubiria watu ili waingie kwenye ufalme wa ikulu badala ya kuhubiria watu waingie kwenye ufalme Mbinguni.

Mungu tusaidie sana, Yesu alipokuja duniani hakuhangaika na amani za kisiasa hakuhangaika na ufalme wa dunia hii kama jinsi ambavyo tunawaona baadhi ya maasikofu wanahangaika na kujitutumuakuhubiri hadharani kabisa na kuzungumzia amani ya kisiasa.

Askofu inatakiwa uitafute amani ya Mungu, kwa kuwahubiri watu waokoke sio kunga'ng'ana kudai katiba mara tume huru.

Askofu katiba yako ni biblia hubiri watu waokoke amani ya kisiasa na tume unayoitaka iko ndani ya biblia humo. Hubiri watu waokoke wote watakua na amani.

Acha uvivu na kuanza kutumia nguvu ya akili. Rahasha hiyo sio njia sahihi. wewe inatakiwa utumie nguvu ya imani na kuomba tena ukiwa peke yako sio kutangaza hadharani.

Rejea
Vipi akimsifia Magufuli?
 
Binafsi huwa nakerwa sana na hawa wanaojiita 'viongozi wa dini' kutokujua wanachotakiwa kuhubri!
hamtakiwi kuhubiri AMANI hata kidogo, hubirini HAKI.
Hakuna amani popote kama hakuna haki! msikimbie wajibu wenu kuweni kama mashujaa akina Bagoza na Sheikh Ponda.
 
Back
Top Bottom