Kiongozi bora ni yupi basi?

Kiongozi bora ni yupi basi?

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Joined
Mar 10, 2006
Posts
34,092
Reaction score
43,265
Tutaweza vipi kumtambua kiongozi bora, atakuwa na sifa zipi? Je kiongozi bora anaweza kutokea katika Tanzania?

Je kiongozi ambaye hataki mzaha, hachelewi kuchukua hatua na anayejua anaongozwa na falsafa ya aina gani ndiye Tanzania inamhitaji au inahitaji kiongozi ambaye anatawala kwa amri yake.

Kati ya wanasiasa tulio nao hivi kweli kuna yeyote ambaye tunaweza kusema ni kiongozi bora?
 
Jamii yoyote ambayo inategemea mawazo na ushauri wa jamii zingine ili kujiletea maendeleo yake haiwezi kuwa na viongozi bora kwa sababu viongozi hao watatokana na matakwa ya wale wale ambao walitunga na kuendesha mawazo hayo

sasa kwa afrika na nchi nyingi zinazoendelea utaona inategemea viongozi wanaoenda kufundishwa na wengine kupewa misaada na mambo mengi na wengine ili waje kuendeleza kwao ila wao wanachofanya sio kuendeleza ni kunyanganya kile kilichopo na kukirudishwa walioleta ushauri
 
Jamii yoyote ambayo inategemea mawazo na ushauri wa jamii zingine ili kujiletea maendeleo yake haiwezi kuwa na viongozi bora kwa sababu viongozi hao watatokana na matakwa ya wale wale ambao walitunga na kuendesha mawazo hayo

sasa kwa afrika na nchi nyingi zinazoendelea utaona inategemea viongozi wanaoenda kufundishwa na wengine kupewa misaada na mambo mengi na wengine ili waje kuendeleza kwao ila wao wanachofanya sio kuendeleza ni kunyanganya kile kilichopo na kukirudishwa walioleta ushauri

Shy, una point nzuri hapa... lakini naona umevurugavuruga katika kuilezea. Tafadhali iandike tena, itajileta tuu...
 
Wenzetu Kiongozi ni mtu anayeandaliwa kwa muda mrefu na watu wanaendelea kumpima kabla hajawa kiongozi. Hapa kwetu loooool mtu anatokea from nowhere anapigania anakuwa kiongozi taabu kwelikweli
 
Wenzetu Kiongozi ni mtu anayeandaliwa kwa muda mrefu na watu wanaendelea kumpima kabla hajawa kiongozi. Hapa kwetu loooool mtu anatokea from nowhere anapigania anakuwa kiongozi taabu kwelikweli

Hmmmmm....sounds like presidential wannabe (who won't be) Obama.....
 
Wenzetu Kiongozi ni mtu anayeandaliwa kwa muda mrefu na watu wanaendelea kumpima kabla hajawa kiongozi. Hapa kwetu loooool mtu anatokea from nowhere anapigania anakuwa kiongozi taabu kwelikweli

Hata kama atokee ghafla from no where, as long as anafata kanuni, masharti ya kazi, kiapo chake na ni mwenye kupenda maendeleo yake na yale ya jamii yake, haijalishi; huyo atakuwa ni mwenye sifa ya kiongozi bora.
 
Hata kama atokee ghafla from no where, as long as anafata kanuni, masharti ya kazi, kiapo chake na ni mwenye kupenda maendeleo yake na yale ya jamii yake, haijalishi; huyo atakuwa ni mwenye sifa ya kiongozi bora.

Sawa, lakini ni muhimu kurejea na kuona utendaji wake wa kazi huko nyuma na misimamo aliyokwisha chukua na maamuzi aliyoyafanya. Sasa mtu anayetokea ghafla from nowhere mtajuaje hayo yote? Ndio maana mimi nilimpinga Kikwete tokea 1995 kwa sababu sikuona chochote alichowahi kufanya kumfanya akwolifai kuwa raisi ukiacha kwolifikesheni zilizotajwa kwenye katiba. The guy has no track record of achievement and accomplishments...none...nada!!!!!!
 
Kwa hiyo mnataka kusema kuwa kiongozi bora kabla ya kuwa kiongozi anakuwa na rekodi inayopimika? Sasa mtu hawezi kuanzia 0 na kuwa kiongozi bora au hadi awe na rekodi inayopimika? Na katika rekodi hiyo ni vitu gani vitakuashiria kuwa huyo mtu ni kiongozi bora?
 
Sawa, lakini ni muhimu kurejea na kuona utendaji wake wa kazi huko nyuma na misimamo aliyokwisha chukua na maamuzi aliyoyafanya. Sasa mtu anayetokea ghafla from nowhere mtajuaje hayo yote? Ndio maana mimi nilimpinga Kikwete tokea 1995 kwa sababu sikuona chochote alichowahi kufanya kumfanya akwolifai kuwa raisi ukiacha kwolifikesheni zilizotajwa kwenye katiba. The guy has no track record of achievement and accomplishments...none...nada!!!!!!

Nyani, swali limeuliza 'kiongozi bora ni yupi basi' halijaongelea kiongozi bora na mwenye experience ni wa aina gani... au?!

Track record na experience katika kitu fulani ni nyongeza ambazo zinaweza kujumuishwa katika huo uongozi bora. Kama track record ni mbaya, then huyo siyo kiongozi bora mpaka hapo mnapom-judge hivyo. Kama ni nzuri, basi ni kiongozi bora mpaka hapo pia. Kama alikuwa na track record mbaya kisha akafata misingi yote ya kazi yake kama nilivyotaka kuelezea hapo juu bila kubadilika, then huyo atakuwa kiongozi bora - ambaye huko nyuma alikuwa na track record mbaya lakini akaamua kubadilika for better. And vice versa.
 
Nyani, swali limeuliza 'kiongozi bora ni yupi basi' halijaongelea kiongozi bora na mwenye experience ni wa aina gani... au?!

Track record na experience katika kitu fulani ni nyongeza ambazo zinaweza kujumuishwa katika huo uongozi bora. Kama track record ni mbaya, then huyo siyo kiongozi bora mpaka hapo mnapom-judge hivyo. Kama ni nzuri, basi ni kiongozi bora mpaka hapo pia. Kama alikuwa na track record mbaya kisha akafata misingi yote ya kazi yake kama nilivyotaka kuelezea hapo juu bila kubadilika, then huyo atakuwa kiongozi bora - ambaye huko nyuma alikuwa na track record mbaya lakini akaamua kubadilika for better. And vice versa.

Kwa hiyo mtu kama Andrew Chenge akigombea uraisi na kushinda (pamoja na maskendo yake yote) halafu akafanya kazi kufuata misingi yote ya kazi kama "ulivyoelezea", atakuwa kiongozi bora na wala maskendo yake hayatakusumbua?
 
Kwa hiyo mtu kama Andrew Chenge akigombea uraisi na kushinda (pamoja na maskendo yake yote) halafu akafanya kazi kufuata misingi yote ya kazi kama "ulivyoelezea", atakuwa kiongozi bora na wala maskendo yake hayatakusumbua?

Ni kweli, yatanisumbua. Kwa sababu nitakuwa nimeangalia matendo yake ya zamani, ila sitokuwa nimepima future ya uongozi wake ambao nimekubali kuwa ni bora. Which is which....

Nyani, haya mambo ya hypothesis sasa.... je akija mpya mpya bila ya mimi kujua hayo maskendo, kisha akaonyesha sifa zote kama nilivyoelezea?
 
Ni kweli, yatanisumbua. Kwa sababu nitakuwa nimeangalia matendo yake ya zamani, ila sitokuwa nimepima future ya uongozi wake ambao nimekubali kuwa ni bora. Which is which....

Nyani, haya mambo ya hypothesis sasa.... je akija mpya mpya bila ya mimi kujua hayo maskendo, kisha akaonyesha sifa zote kama nilivyoelezea?

Basi wewe utakuwa uninformed voter na mimi nitakuwa informed voter..... nitakuwa skeptical...nitajua ni geresha tu
 
Asilimia 80 ya wapiga kura mwaka 2005 walimuona JK ni kiongozi "bora".... walikosea wapi?
 
Asilimia 80 ya wapiga kura mwaka 2005 walimuona JK ni kiongozi "bora".... walikosea wapi?

Hawakuangalia ni wapi/ lini na kwenye nini alionyesha uongozi. Walikunywa kool-aid ya ari mpya, nguvu mpya, kasi mpya (kinda like hope and change)......
 
Back
Top Bottom