Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 34,092
- 43,265
Tutaweza vipi kumtambua kiongozi bora, atakuwa na sifa zipi? Je kiongozi bora anaweza kutokea katika Tanzania?
Je kiongozi ambaye hataki mzaha, hachelewi kuchukua hatua na anayejua anaongozwa na falsafa ya aina gani ndiye Tanzania inamhitaji au inahitaji kiongozi ambaye anatawala kwa amri yake.
Kati ya wanasiasa tulio nao hivi kweli kuna yeyote ambaye tunaweza kusema ni kiongozi bora?
Je kiongozi ambaye hataki mzaha, hachelewi kuchukua hatua na anayejua anaongozwa na falsafa ya aina gani ndiye Tanzania inamhitaji au inahitaji kiongozi ambaye anatawala kwa amri yake.
Kati ya wanasiasa tulio nao hivi kweli kuna yeyote ambaye tunaweza kusema ni kiongozi bora?