Uhalali wa kutoka kwenye makabrasha ya CIA? tuoneshe uhalali wa kutoka Serikali ya Zanzibar na Tanganyika.
Kama hauna, kaa kimya. Unajuwa sana kuwa huu ni muungano ulioshadidiwa na Nyerere kwa sababu ya kueneza Ukatoliki Zanzibar.
zomba, ukatoliki uliingia Zanzibar miaka ya 1870s, tembelea kanisa la Minara miwili mji mkongwe, na Nyerere alizaliwa mwaka 1921. Please tell us something we dont know.