Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
My Take:
Madai ya muda mrefu kuwa muungano haukuridhiwa na Wazanzibari hayana msingi. Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ni halali kwani vyombo halali viliridhia pande zote za Muungano.
Uhalali wake hata hivyo hauzuii Wazanzibar kutaka kujitoa kwani hata leo chombo kile kile kilichoridhia Karume atie sahihi makubaliano ya Muungano bado kipo na kinaongozwa na Dr. Shein.
Wazanzibar wakitaka wakishawishi chombo hicho kuondoa ridhaa yake ili hatimaye Baraza la Wawakilishi lipitishe utaratibu wa Zanzibar kurudi katika status quo ya April 25, 1964.z