Kingunge: Hatutokubali Lowassa akatwe jina

Kingunge: Hatutokubali Lowassa akatwe jina

Ni ujinga na upunguanimkumfananisha Mtume Muhammda SAW na huyo fisadi. Mtume hakuwa fisadi na hata siku moja mali hazikumshughulisha katika maisha yake. Hii ni dharau kubwa kwa Mtume na waislam kwa ujumla
 
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar Ramadhan Madabida siku ya Jumamosi iliyopita akitoa salamu za wanachama wa CCM mkoa wa Dar wakati wa shamrashamra za ujio wa Lowassa kusaka wadhamini katika mbio za kutaka kuteuliwa kuwa mgombea urais wa CCM mwaka huu alisema, UADILIFU, UCHAPAKAZI NA KUPENDWA NA WATU WENGI KWA LOWASSA anamfananisha na Mtume Muhamad!!

Source:Gazeti la Mwananchi la Jana.

*Binafsi nimechukizwa sana na kauli hiyo, kwa kuwa ni kufuru tena ni kufuru kubwa kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu kumfananisha na -----. Nitashangaa sana kama wanachama wa CCM mkoa wa Dar watakaa kimya kuhusu kauli chafu kama hii ikapita hivi.

ACHA ACHA ACHA / CHUKI HAZIJENGI!!!/ stop stupidity!
 
INALILAH WA INA LILAHI RAJUNI
ATII ,,,lowasa hajui kusoma na kuandika kama mtume muhamad SAW,,,, subuhana allah:angry:
 
kupendwa kwake na watu wengi ni mithili y'a jinsi mtume au yesu alivyokuwa akipendwa!
** siuoni ubaya acha kutengeneza chuki weye**
Sikubaliani na Hoja yako. Mtume Muhammad na wala Yesu hawakupendwa wakati wa kazi zao. Mtume Muhammad alilazimika kuhama kutoka Makka, mji ambao alizaliwa na kwenda kuishi Madina kutokana na watu wengi kumchukia kutokana na kuhubiri dini ambayo haikuwa ya mababu zao. Walifanya jitihada nyingi za kutaka kumuua lakini Mungu alimnusuru.

Yesu ndo kabisaa hakupendwa. Ndo maana walifikia hatua ya kumtundika msalabani. Wakati anatundikwa, ni wale mitume wake tu ndio walionesha huzuni ila waliokuwa wengi walifurahi na kusherehekea tukio hilo. Hivyo kitendo cha kumfananisha Lowasa na Mitume wa Mungu hakika ni dharau ya hali ya juu sana
 
Siku ya Jumamosi Edward Lowassa alikuwa mkoani Dar kusaka wadhamini wa CCM katika mbio zake za kutaka kuteuliwa kugombea urais kwa tiketi ya CCM mwaka huu, hapa chini ni baadhi ya ahadi alizozitoa Lowassa mwenyewe mbele ya wanaCCM.

1/Atamaliza tatizo la Miundo mbinu yote ya Dar(Barabara, mifereji, mitaro, mtandao wa maji safi na taka, madampo nk) ndani ya miezi sita tu, toka siku anatangazwa kuwa rais.

2/Atajenga nyumba milioni moja kila mwaka jijini Dar ili
Kuboresha makazi ya wakazi wa Dar.

3/Atajenga urafiki wa karibu na matajiri na maskini.

Source:Gazeti Mwananchi la Jana.
 
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar Ramadhan Madabida siku ya Jumamosi iliyopita akitoa salamu za wanachama wa CCM mkoa wa Dar wakati wa shamrashamra za ujio wa Lowassa kusaka wadhamini katika mbio za kutaka kuteuliwa kuwa mgombea urais wa CCM mwaka huu alisema, UADILIFU, UCHAPAKAZI NA KUPENDWA NA WATU WENGI KWA LOWASSA anamfananisha na Mtume Muhamad!!

Source:Gazeti la Mwananchi la Jana.

*Binafsi nimechukizwa sana na kauli hiyo, kwa kuwa ni kufuru tena ni kufuru kubwa kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu kumfananisha na -----. Nitashangaa sana kama wanachama wa CCM mkoa wa Dar watakaa kimya kuhusu kauli chafu kama hii ikapita hivi.

Kama ni kweli Muhammad (S. A. W) alifanana na Edward Lowassa, na ukanithibitishia hivyo basi mimi kuanzia leo Mimi Sio Muislam na nitaenda kutafuta kifungua kinywa nifungulie kabisa.
 
INALILAH WA INA LILAHI RAJUNI
ATII ,,,lowasa hajui kusoma na kuandika kama mtume muhamad SAW,,,, subuhana allah:angry:
Mitume wengi walikuwa na karama yao. Kujua au kutojua kusoma na kuandika haikuwa kikwazo cha kazi zao za utume. Inategemea ni elimu ya aina gani
 
Kama ni kweli Muhammad (S. A. W) alifanana na Edward Lowassa, na ukanithibitishia hivyo basi mimi kuanzia leo Mimi Sio Muislam na nitaenda kutafuta kifungua kinywa nifungulie kabisa.
Mkuu, hakika hawa jamaa ni wahuni sana. Wanajidhalilisha tu kumfananisha Mtume na huyu fisadi wao
 
Hata angeahidi kuwa atahakikisha kila familia ambayo haijafanikiwa kupata mtoto inapata singeshangaa.
 
Njaa mbaya sana,kesho watasema Lowasa ni Mwenyezi Mungu.
 
Lakini tukumbuke Mtume hakuwa Mungu bali binadamu na katika ubinadamu wake hakukosa mapungufu na baadhi ya mambo alitenda kibinadamu. Nani atabisha kwamba Mtume alikula chakula kama ilivyo kwa binadamu wote? Nani atakataa kwamba Mtume alioa kama ilivyo kwa binadamu?

Nani atakataa kwamba Mtume nje ya utume alifanya kazi zilizomwingizia kipato na hata kuwa tajiri? Yapo mengine mengi kumhusu Mtume ambayo sio Lowasa tu, bali mimi na wewe tunafana na Mtume. Ninaamini huyo mCCM aliwafananisha wawili hao katika ubinadamu wao na sio katika Utume.
 
Sikubaliani na Hoja yako. Mtume Muhammad na wala Yesu hawakupendwa wakati wa kazi zao. Mtume Muhammad alilazimika kuhama kutoka Makka, mji ambao alizaliwa na kwenda kuishi Madina kutokana na watu wengi kumchukia kutokana na kuhubiri dini ambayo haikuwa ya mababu zao. Walifanya jitihada nyingi za kutaka kumuua lakini Mungu alimnusuru.

Yesu ndo kabisaa hakupendwa. Ndo maana walifikia hatua ya kumtundika msalabani. Wakati anatundikwa, ni wale mitume wake tu ndio walionesha huzuni ila waliokuwa wengi walifurahi na kusherehekea tukio hilo. Hivyo kitendo cha kumfananisha Lowasa na Mitume wa Mungu hakika ni dharau ya hali ya juu sana
Kwa hiyo Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar hayajui hata mafundisho ya dini?
Inawezekana hata huu mwezi wenye jina lake ni shida kwake!! LOL
 
Siku ya Jumamosi Edward Lowassa alikuwa mkoani Dar kusaka wadhamini wa CCM katika mbio zake za kutaka kuteuliwa kugombea urais kwa tiketi ya CCM mwaka huu, hapa chini ni baadhi ya ahadi alizozitoa Lowassa mwenyewe mbele ya wanaCCM.

1/Atamaliza tatizo la Miundo mbinu yote ya Dar(Barabara, mifereji, mitaro, mtandao wa maji safi na taka, madampo nk) ndani ya miezi sita tu, toka siku anatangazwa kuwa rais.

2/Atajenga nyumba milioni moja kila mwaka jijini Dar ili
Kuboresha makazi ya wakazi wa Dar.

3/Atajenga urafiki wa karibu na matajiri na maskini.

Source:Gazeti Mwananchi la Jana.

Hizo ahadi za kiwendawazimu kweli kweli.

Licha ya kuwa na rasilimali nyingi, watanzania wengi ni maskini wa mali. Sasa mbaya zaidi kuna umaskini wa mawazo/akili. Huu ndiyo umaskini mbaya kuliko umaskini wowote ule.

Ahadi za Lowassa ni kwa maskini wa mawazo. Nadhani ndiyo anavyowaona watanzania. Kwa maana hiyo, anaweza kusema na kutoa ahadi ya kitu chochote bila kujali matokeo yake.
 
Mkuu, hakika hawa jamaa ni wahuni sana. Wanajidhalilisha tu kumfananisha Mtume na huyu fisadi wao

Dah,
Jamaa kasikitisha sana, kweli njaa ni mbaya sana. Yaani anauza utu wake kiasi cha kumfananisha Mtume na Fisadi, duh!!
 
katika watangaza nia wanaongea pumba tupu,ni lowasa na najiuliza anaweza kuandaa hutuba akawahutubia wasomi kama chuo kikuu kama alivyokuwa anafanya nyerere kweli ?kwa uwezo mdogo anaoonyesha kwa sasa,
 
Kwa hiyo Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar hayajui hata mafundisho ya dini?
Inawezekana hata huu mwezi wenye jina lake ni shida kwake!! LOL

Angeyajua hayo mafundisho basi asingekubali kampuni yake na mkewe wahusike kwenye kuwaibia wagonjwa wa Ukimwi.
 
Back
Top Bottom